Mange Kimambi na wadada wa mjini ni shida

Mange Kimambi na wadada wa mjini ni shida

Acha dharau.
Hata simu ya mchina ni simu.Kwa taarifa yako china wanatengeneza hadi simu za kuweza kucompete na mataifa makubwa kama ujerumani na uingereza au marekani katika technolojia.
Zinazokuja huku ni special kwa ajili ya third word.


Simu zote zinatengenezwa China bidada mana ndio wenye viwanda vya simu. Nimemuuliza huyo shoga yako huko juu maendeleo yake anayosema ni kuacha kutumia simu ya tochi na sasa anatumia Samsung?

Issue ya mashoga/marafiki nimekuelewa ila mm siamnini kuwa na urafiki wa hivyo wa kwenda hadi vocations ni a good idea sababu binadamu habebeki. Yani kujua moyo wa binadamu anawaza nini ni ngumu. Unaweza kumsafia mtu nia lakini bado habebeki.

Na watu wanatofautiana kwenye kuelewa kipimo cha urafiki, hawajui limitations za privacy. Ndio hao kutwa kutoleana siri.
 
Opra ana best friend zake wawili anaendaga nao hadi vacation peke yao kula maraha huko maparis na venice.
Kama wao wameshindwa kukaa na marafiki kwa sababu ya wivu, njaa na husda na midomo yao wasitake kufanya urafiki na dhana yake kiujumla ni mbaya.

Nashangaa kuwa na marafiki imekuwa shida, eti hutopata maendeleo, utagombana nao, kwa nini? Ukae unashinda kwenye TV na mitandao ya kijamii kisa kujitia maendeleo, ujinga usio kifani kuna muda wa kucheka kwenye mitandao na kuna muda wa kucheka na marafiki, watu kama hao ni wale wasiojiamini, na hapo walipo wanaona kama muujiza kuwa hapo ni wa kuwasamehe bure.
 
Exactly my point...
Ukiwa unashindwana na marafiki kila siku na kubadilisha marafiki its either you have a bad taste in friends, so you keep on making bad choices now and then and you get too emotionally attached.
Putting them ahead of your family and happiness (a friend addict), au wewe mwenyewe ni rafiki mbaya, sio wa kuaminiwa wala u dont deserve unavovitegemea kutoka kwao simply because u aint worth it.
Mi nina marafiki minimal sana.Na nilio soma nao na kukua nao udogoni.Huku ukubwani lazima uwe cautious na ni lazima uwe urafiki wa sababu, mostly kazi.
Na lazima ujue mambo huwa yanabadilika urafiki unapungua au kuongezeka., pia kupishana ni jambo la kawaida sana.
Sasa kutaka mirafiki rundooo, ya kuambatana nayo na kumantain status kama watoto wadogo ndio shida.

Nakubaliana na wewe asilimia mia moja, why uwe unatoa mambo yako ya siri kwa rafiki zako? Kwa niniuwe na kundi la watu na unawaita marafiki kisa wamekuja kwenye shughuli yako ndio kesho ukutane nae uanze kumkaribisha nyumbani na kuambatana kwenye vigodoro mtaacha kuchambana? Mtu umuokote barabarani umueleze mambo ya familia yako? Msururu wa marafiki ni ya watoto wa msingi ili wacheze rede, mtu mzima kuna mipaka ya urafiki, ila kama ndio hutaki rafiki hata mmoja kisa maendeleo hapo nashangaa.
 
Mange, Waluguru waliniambia kuwa ni mbaazi, sijui huyu dada wa Mg, kama ndiyo jina limesadifu.
 
Huyu mdada atakua mshari sana aisee, nilipata kusikia eti alimsuta mtu mpaka akajiua, duh.
 
hichi kimange kina majanga sana kinajidai mjuajii..subiri yatakuja kumkuta kama yaliyomkuta fisadi baba ake!!! hizi stress zitamrestisha in peace very soon...amejeruhi sana mioyo ya watu kwa kuwapa makashfa yasiyo kuwa na maana!!
 
Jamani wote ni binadamu kila mtu na mapungufu yake.Nakuhakikishia hao kina Nacky, Mwammy, Kiki, Bimdo etc wana mapungufu yao na wanayajua, ila wamemua kubehave kama watu wazima.Wako pamoja wameshikama, wanaheshimiana.Tatizo Mange anataka kujifanya yeye perfect sana na kuwa eti yeye ndio ambaye alikuwa poa kuwapita wote.Sasa amekaa kangojea weeee wagombane anaona wenzake wanazidi kusonga mbele.Halafu hawa wadada wala sio kundi kubwa, mnaowaona wanaalikana kwenye mashughuli wala sio wote walio close kivileee, walio close sana ni wachache wachache tu. 3-4 hivi.Mange anakuwa mwili tu akili haikuwi, aligombana na Zenat aliyeenda kumlelea watoto atashindwa kugombana na hao wa mitaani? mwenyewe anaona hii post itazidi kuwagombanisha wenzake, duuuuu pole Mange k´FYI wenzio wale sikuhizi wana MWIKO hawafungui wala kuisoma hiyo blog yako chafu.Kuna bidada aliona umbea wa mtu akampigia amuulize, weeee alifurumushwa kuwa kama unaongelea kitu kutoka blog ya Mange stop right there, wala sitaki kujua.Mange tafuta mwanaume utulize akili.Alikuwa kakazana msitake kunikosanisha na Mwamvita, mimi na Mwamvita we are cool, wakati dalili zoote zinaonyesha Mwamvita hamtaki huyu Mange kabisaaaa.Sasa kangojea weeee akidhani Mwamvita atakosana na wengine arudiane naye yeye, akaona hakuna hope, ndio akaanza kuporomosha matusi kwa January in the name of siasa.Haya sasa January kesho ndio anatangaza nia Mlimani City hata asipochaguliwa na CCM but kwa imani yake na siasa zake kajitahidi kivyakevyake, na Mwamvita ndio keshatua Dar sasahivi insta ni anatuma mapicha kamkumbatia kaka yake, kaja kumsupport.Nadhani matusi aliyotukanwa January kwenye blog ya Mange yatakuwa yamemuuma sana Mwamvita hata kama hakuyasoma yote lazima kuna wafuasi wa january watakuwa walifikisha habari kadhaa.Nadhani Mwammy roho imemuuma mno anaona kama ushosti wake na yule bichau Mange ndio umesababisha hadi kaka yake anatukanwa matusi machafuuu.Mange kweli kuna radi mbaya sana itakuja kumpiga, yetu macho

pole dada yaonesha nawe ni miongoni mwa waliomizwa nae au mtu wako wa karibu kaumizwa
tuneumbwa tofauti sana
binafsi mi siipendi hii tabia yake ya kudhalilisha wenzie na km kuna watu wanafurahia ni wehu pia
 
uwiiiiiiii KASHESHEEEEE MANGE KIMAMBI NDIO ATAMSAIDIA KWENYE KAMPENI SO KAENI MKAO WA KULA NA MATUSI YA HUYO MANGE NANI ATAMPIGIA KURA HUYU MAMA, SI NDIO HAWARA WAKE NA BABA MANGE MHAHAHAHAHAHAHAHAA BUAHAHAHAHAHAA UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
[h=1]Dk Mwele Malecela ajitosa urais CCM[/h]

Mwele-Malecela.jpg
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele Malecela mtoto wa Makamu wa zamani wa CCM John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM.
habarileo


Read more
 
Baada ya kule kusema mama mgombea alikuwa nyumba ndogo ya mzee kimambi, na ndio maana mange kaamua kuachana na siasa ili ya babake kuchepuka kwenye ndoa yasiwe hadharani mods wamenyofoa ul uzi aha basi tena na huu hauna maisha.
 
Nakubaliana na wewe asilimia mia moja, why uwe unatoa mambo yako ya siri kwa rafiki zako? Kwa niniuwe na kundi la watu na unawaita marafiki kisa wamekuja kwenye shughuli yako ndio kesho ukutane nae uanze kumkaribisha nyumbani na kuambatana kwenye vigodoro mtaacha kuchambana? Mtu umuokote barabarani umueleze mambo ya familia yako? Msururu wa marafiki ni ya watoto wa msingi ili wacheze rede, mtu mzima kuna mipaka ya urafiki, ila kama ndio hutaki rafiki hata mmoja kisa maendeleo hapo nashangaa.

ukiwa my friend ht tukikosana ukathubutu kuongea yale ya siri yangu....
sitokusamehe kamwe na ht nkikusamehe sitokuamini tena na mapenzi yangu kwako lazma yashuke

ndo maana huyu kimavi hawamtaki tena wenzie ni mtu wa aina gani anathubutu kusema ya wenzie tu tena angesema bas kipindi wako wote kasubiri wagombane ndo aseme ni mtu mbaya sana huyu
zaidi ya nyoka
 
ukiwa my friend ht tukikosana ukathubutu kuongea yale ya siri yangu....
sitokusamehe kamwe na ht nkikusamehe sitokuamini tena na mapenzi yangu kwako lazma yashuke

ndo maana huyu kimavi hawamtaki tena wenzie ni mtu wa aina gani anathubutu kusema ya wenzie tu tena angesema bas kipindi wako wote kasubiri wagombane ndo aseme ni mtu mbaya sana huyu
zaidi ya nyoka
Na ndio maana inatakiwa uwe na rafiki wa kweli kuna jambo litakukaa unatamani uliseme upate ahueni, sasa ukute una rafiki kama mange ndio utalia na utajuta kuwa na marafiki, ila wakati mwingine inabidi wanawake tujifunze kuwa hata na rafiki mmoja mama aliekuzidi umri mwenye stara zake, kuna mambo ya wanawake ukiwa kwenye familia kuna wa kumuomba ushauri, ila ukiwa na marafiki kumi woteee uwaeleze yaliyokusibu, mama wee tegemea maumivu tu. Rafiki wa kupeana ushauri na kustiriana ni muhimu kweli, ila na ukipata mropokaji kumchapa makofi inahusu haswa, ila eti hutaki rafiki ni wewe mwenyewe kivyako mh, utapata msongo.
 
Na ndio maana inatakiwa uwe na rafiki wa kweli kuna jambo litakukaa unatamani uliseme upate ahueni, sasa ukute una rafiki kama mange ndio utalia na utajuta kuwa na marafiki, ila wakati mwingine inabidi wanawake tujifunze kuwa hata na rafiki mmoja mama aliekuzidi umri mwenye stara zake, kuna mambo ya wanawake ukiwa kwenye familia kuna wa kumuomba ushauri, ila ukiwa na marafiki kumi woteee uwaeleze yaliyokusibu, mama wee tegemea maumivu tu. Rafiki wa kupeana ushauri na kustiriana ni muhimu kweli, ila na ukipata mropokaji kumchapa makofi inahusu haswa, ila eti hutaki rafiki ni wewe mwenyewe kivyako mh, utapata msongo.

yes uko sawa na hamna asie na rafiki ht mmoja km best ukiona huna we ni problem tena jishtukie kabisa maana haiwezekani usiwe na mtu ht wa ushauri
 
yes uko sawa na hamna asie na rafiki ht mmoja km best ukiona huna we ni problem tena jishtukie kabisa maana haiwezekani usiwe na mtu ht wa ushauri

I see.... basi mimi ni mmojawapo wa hao wenye matatizo. Wapendwa nahitaji dawa kabisa mnisaidie......
 
Radi itayo mpiga Mange bado iko gym inapiga push ups..... Trust me..

Huu umbea ni kiboko...lol
Radi itayo mpiga Mange bado iko gym inapiga push ups..... Trust me..


rushwa aliyokula
 
Back
Top Bottom