Mange Kimambi: Nimepata kiki ya kutosha

Msema kweli mpenzi wa Mungu kwasiku huwa hazipungui round nne na zaidi lazima nipite kwenye page yake!
Sehemu kubwa anayoyaandika huwa ni ya kweli.....
Nilifarijika siku nilipoona sister fulani msomi na ana cheo kikubwa tu ananiambia hivi huwa unapita insta kwa mtu anaitwa mange.....
nikajifanya simfahamu
 
Inabidi aanzishe kituo cha kutangazia habari,kwa mfano aanzishe,MANGE BROADCASTING CORPORATION(MBC) maana kila mtu anamfuatilia sasa,hakuna namna tena.ha ha haaa
 
ni nani huyo
 
Ni mfollow chizi sithubutu na wala sina time ya kufatilia kapost ujinga gani
 
Sio mchezo,huyu mwanadada anajulikana mpk mitaani,siku hizi hatufungui tv kuangalia habari,tunaingia kwa mange tu,tunajua habari za nchi.
Kweli tena maana wengine ni mwendo wa kuangalia series tu sasa ukishtuka unakuta taarifa ya habari ishapita unaona fresh tu unaingia kwa mange kuchungulia unajuwa nini kinaendelea nchini
 
Mm huwa siangalii taarifa ya habari najua imehaririwa naendaga direct kwa kimambi
 
Huyu mdada mpotoshaji sanah,, akae huko huko US hatumhitaji Tanzania,, just kufwata mambo kwa ushabiki ni shida sanah,, na huyu mdada ni a living proof kuwa watatnzania tuna ushabiki wa vitu vya ajabu sanah wakati mwingine
Hatumuhitaji au haumuhitaji semea nafsi yako unaongea hivyo wakati siku haipiti ushaangalia kaandika nini,acha kuidhulumu nafsi yako ndugu.
 
Naombeni jinsi yakuwasliana na Mange Kimambi
Nenda kwenye ukurasa wake utaona kaweka na!ba yake ya whassap au mtumie msj inbox yake ila tatizo watu wengi wanamtumia unaweza kuta msj yako ya 3000 mpaka aione kazi.
 
Hatumuhitaji au haumuhitaji semea nafsi yako unaongea hivyo wakati siku haipiti ushaangalia kaandika nini,acha kuidhulumu nafsi yako ndugu.
Mwongo Mkubwa ukute yy ndo shabiki take Mkubwa!
 
Hatumuhitaji au haumuhitaji semea nafsi yako unaongea hivyo wakati siku haipiti ushaangalia kaandika nini,acha kuidhulumu nafsi yako ndugu.
Sijawah pita kwa page ya yule mdada baada ya kuona ni kiasi gani ni kigeu geu na mpotoshati,, nakupa muda utaacha pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…