Mange Kimambi: Nimepata kiki ya kutosha

Mange Kimambi: Nimepata kiki ya kutosha

IMG_0369.JPG
 
Japo anawafuasi 1 m mpaka sasa kwenye akaunti yake ya instagram lakini inawezekaaa nusu na robo ya watu waliojiunga isntagram tz huwa wanangalia kile anachokipost kila siku,kuona alichokipost siyo lazima uwe umemfollow ,

Tumezowea mtu awe maarufu lazima anfanye jambo kama muziki ,filamu nk lakini kwa yeye anachokiandika insta tu ndo kimempa huo umaarufu,kwenye nyimbo anaibwa magazeti yanamuandika yaani ni balala tupu .

Lakini nakubali siyo yote anayoyaandika yanaukweli ndani yake mengine anayaandika kwa sababu ya mahaba yake kwa jambo fulani japokuwa mengi anayoyaandika huwa na ukweli.

Yeye ndiye aliibuwa kwa mara ya kwanza sakata la mkuu wa mkoa kuhusu vyeti mpaka likawa gumzo nchini,kifupi amekuwa mtu ambaye yale mambo ya hatari hatari watu wanamtumia yeye ili ayaseme,kama kuna watu wanajipa matumaini kuwa kunasiku atarudishwa nchini na serikali ya marekani sahauni kuhusu hilo mareakani haiwezi kumrudisha kwenye nchi mtu ambaye inajuwa kabisa anaenda kufugwa,kumbukeni yaliyotokea uturuki aliyepanga mapinduzi mareakani imekataa kumrudisha kama serikali ya huko inavyotaka japo inalaani mapinduzi hayo.

Swali ambalo najiuliza siku upinzani ukichukua dola ataacha kuwakosoa au atahamia upande wa upinzani wa wakati huo aendelee kuwakosoa tena.

Najuwa wapo watajitokeza kukanusha uzi huu lakini iulize nafsi yako ni kweli wewe huwa huangalii anachokiandika kwenye page yake au huwa husomi mambo yake kwenye page nyingine ambazo zinamtumia yeye kama chanzo cha taalifa zao.

Ukipata jibu ndilo likuongoze kukosowa unafki hautakiwi kwenye ukweli.
 
Unajadili kuvuka daraja wakati hujalifikia?
 
Japo anawafuasi 1 m mpaka sasa kwenye akaunti yake ya instagram lakini inawezekaaa nusu na robo ya watu waliojiunga isntagram tz huwa wanangalia kile anachokipost kila siku,kuona alichokipost siyo lazima uwe umemfollow ,

Tumezowea mtu awe maarufu lazima anfanye jambo kama muziki ,filamu nk lakini kwa yeye anachokiandika insta tu ndo kimempa huo umaarufu,kwenye nyimbo anaibwa magazeti yanamuandika yaani ni balala tupu .

Lakini nakubali siyo yote anayoyaandika yanaukweli ndani yake mengine anayaandika kwa sababu ya mahaba yake kwa jambo fulani japokuwa mengi anayoyaandika huwa na ukweli.

Yeye ndiye aliibuwa kwa mara ya kwanza sakata la mkuu wa mkoa kuhusu vyeti mpaka likawa gumzo nchini,kifupi amekuwa mtu ambaye yale mambo ya hatari hatari watu wanamtumia yeye ili ayaseme,kama kuna watu wanajipa matumaini kuwa kunasiku atarudishwa nchini na serikali ya marekani sahauni kuhusu hilo mareakani haiwezi kumrudisha kwenye nchi mtu ambaye inajuwa kabisa anaenda kufugwa,kumbukeni yaliyotokea uturuki aliyepanga mapinduzi mareakani imekataa kumrudisha kama serikali ya huko inavyotaka japo inalaani mapinduzi hayo.

Swali ambalo najiuliza siku upinzani ukichukua dola ataacha kuwakosoa au atahamia upande wa upinzani wa wakati huo aendelee kuwakosoa tena.

Najuwa wapo watajitokeza kukanusha uzi huu lakini iulize nafsi yako ni kweli wewe huwa huangalii anachokiandika kwenye page yake au huwa husomi mambo yake kwenye page nyingine ambazo zinamtumia yeye kama chanzo cha taalifa zao.

Ukipata jibu ndilo likuongoze kukosowa unafki hautakiwi kwenye ukweli.
Mange hanaga rafiki wa kudumu, hata 2015 alikuwa supporter mzuri wa CCM, mwanachama mzuri tuu, ila mda huu kawachenjia ndicho alichowafanyia marafiki zake wengi kama Mwamvita Makamba and the like, ashawahi kumchamba mtu mpaka akajiua [emoji38] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
Huwa anaongea mambo yenye ukweli sometimes mpaka unaogopa huyu binti hizi habari anazipateje wakati ni confidential.
 
Umaarufu wa Mange ulianza kipindi Lowassa anaenda Opposition ile 2015 though definately ndo umezidi maradufu...alikomaa sana na Lowassa kule Instagram
 
Daaaah,yan mim ndio nimetoka kuchungulia kwa mange saiv,yaani ni kama taarifa ya habari vile,tupate habari za nchi
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Japo anawafuasi 1 m mpaka sasa kwenye akaunti yake ya instagram lakini inawezekaaa nusu na robo ya watu waliojiunga isntagram tz huwa wanangalia kile anachokipost kila siku,kuona alichokipost siyo lazima uwe umemfollow ,

Tumezowea mtu awe maarufu lazima anfanye jambo kama muziki ,filamu nk lakini kwa yeye anachokiandika insta tu ndo kimempa huo umaarufu,kwenye nyimbo anaibwa magazeti yanamuandika yaani ni balala tupu .

Lakini nakubali siyo yote anayoyaandika yanaukweli ndani yake mengine anayaandika kwa sababu ya mahaba yake kwa jambo fulani japokuwa mengi anayoyaandika huwa na ukweli.

Yeye ndiye aliibuwa kwa mara ya kwanza sakata la mkuu wa mkoa kuhusu vyeti mpaka likawa gumzo nchini,kifupi amekuwa mtu ambaye yale mambo ya hatari hatari watu wanamtumia yeye ili ayaseme,kama kuna watu wanajipa matumaini kuwa kunasiku atarudishwa nchini na serikali ya marekani sahauni kuhusu hilo mareakani haiwezi kumrudisha kwenye nchi mtu ambaye inajuwa kabisa anaenda kufugwa,kumbukeni yaliyotokea uturuki aliyepanga mapinduzi mareakani imekataa kumrudisha kama serikali ya huko inavyotaka japo inalaani mapinduzi hayo.

Swali ambalo najiuliza siku upinzani ukichukua dola ataacha kuwakosoa au atahamia upande wa upinzani wa wakati huo aendelee kuwakosoa tena.

Najuwa wapo watajitokeza kukanusha uzi huu lakini iulize nafsi yako ni kweli wewe huwa huangalii anachokiandika kwenye page yake au huwa husomi mambo yake kwenye page nyingine ambazo zinamtumia yeye kama chanzo cha taalifa zao.

Ukipata jibu ndilo likuongoze kukosowa unafki hautakiwi kwenye ukweli.
Hongera sana ndugu na wewe umetumia haki yako ya kikatiba, UMEANDIKA NA KUPOST!
🙄
 
Huwa anaongea mambo yenye ukweli sometimes mpaka unaogopa huyu binti hizi habari anazipateje wakati ni confidential.
Habari za siri kunawatu wanajukumu la kuzitunza sasa hao hao nao washachoka ndo wanaamua kumtumia aitowe.
 
Japo anawafuasi 1 m mpaka sasa kwenye akaunti yake ya instagram lakini inawezekaaa nusu na robo ya watu waliojiunga isntagram tz huwa wanangalia kile anachokipost kila siku,kuona alichokipost siyo lazima uwe umemfollow ,

Tumezowea mtu awe maarufu lazima anfanye jambo kama muziki ,filamu nk lakini kwa yeye anachokiandika insta tu ndo kimempa huo umaarufu,kwenye nyimbo anaibwa magazeti yanamuandika yaani ni balala tupu .

Lakini nakubali siyo yote anayoyaandika yanaukweli ndani yake mengine anayaandika kwa sababu ya mahaba yake kwa jambo fulani japokuwa mengi anayoyaandika huwa na ukweli.

Yeye ndiye aliibuwa kwa mara ya kwanza sakata la mkuu wa mkoa kuhusu vyeti mpaka likawa gumzo nchini,kifupi amekuwa mtu ambaye yale mambo ya hatari hatari watu wanamtumia yeye ili ayaseme,kama kuna watu wanajipa matumaini kuwa kunasiku atarudishwa nchini na serikali ya marekani sahauni kuhusu hilo mareakani haiwezi kumrudisha kwenye nchi mtu ambaye inajuwa kabisa anaenda kufugwa,kumbukeni yaliyotokea uturuki aliyepanga mapinduzi mareakani imekataa kumrudisha kama serikali ya huko inavyotaka japo inalaani mapinduzi hayo.

Swali ambalo najiuliza siku upinzani ukichukua dola ataacha kuwakosoa au atahamia upande wa upinzani wa wakati huo aendelee kuwakosoa tena.

Najuwa wapo watajitokeza kukanusha uzi huu lakini iulize nafsi yako ni kweli wewe huwa huangalii anachokiandika kwenye page yake au huwa husomi mambo yake kwenye page nyingine ambazo zinamtumia yeye kama chanzo cha taalifa zao.

Ukipata jibu ndilo likuongoze kukosowa unafki hautakiwi kwenye ukweli.
Huyu mdada mpotoshaji sanah,, akae huko huko US hatumhitaji Tanzania,, just kufwata mambo kwa ushabiki ni shida sanah,, na huyu mdada ni a living proof kuwa watatnzania tuna ushabiki wa vitu vya ajabu sanah wakati mwingine
 
Back
Top Bottom