Mange Kimambi: Nimepata kiki ya kutosha

Mwingine huu hapa ushahidi wa bashite anawataja watu wanatumia madawa huku anavuta magari yao haya yote yametolewa na huyo mange,tulia nahisi hapa utajifanya hujuwi kusoma
 
Anawaweka watu kwenye list ya madwa kumbe uongo kisha anawapiga magari yao
 

Attachments

  • Screenshot_2017-03-22-14-34-43.png
    123.9 KB · Views: 53
Hebu andika kama mtu "uliyepitia shuleni",hiki ulichokiweka hapa ni nini na kinamuhusu nani kwa tatizo gani ???
I am done rengo lako ni kubishana siyo kupewa ushahidi mtu aliyejiandaa kukubishia hata umuletee ushahidi gani bado atabisha tu so tufurahie maisha tu,diamond katowa remix ya sikai kaa kimya inaitwa sikai kimya .
 
binamu na weeee nawe!
hii ni ironic writing!
SIKU HIZI HII KOZI YA UMBEA NA USHILAWADU UNAANZA KUFELI!ntakuanzishia post nitafte kiki !oh
 
Hivi hii"fa fa fa fa " ilitokeaje sijaipata ilipoibukia

Mdau anieleze kidogo
 
Umemuelewa lakini???
 
Maria Sarungi anatumia pesa ya babaake, huyo Mpuuzi aache kumtafuta Watu asiowafahamu!
 
Ni kiki tu
 
Huyu mdada mpotoshaji sanah,, akae huko huko US hatumhitaji Tanzania,, just kufwata mambo kwa ushabiki ni shida sanah,, na huyu mdada ni a living proof kuwa watatnzania tuna ushabiki wa vitu vya ajabu sanah wakati mwingine
Unafikiri Tanzania nchi ya babako nyambaf
Mi najua alianza kitambo baada ya bunge kuwekwa gizani
 
Kama msambwanda wa boss wako pale kifuani daah kajazia bana hata ajikondeshe vipi kifua hakidanganyi
Msukule wa Bashite kazini ,ukimaliza akakupunguzie msambwanda maana sio wa nchi hii
 
Kama msambwanda wa boss wako pale kifuani daah kajazia bana hata ajikondeshe vipi kifua hakidanganyi

Ahhhhhh acha kabisa mkuu, yale makitu dizaini ya isha mashauzi tunayapenda wanaume, sasa sijui na nyinyi wanawake manapenda wanaume wenye misambwanda kama Bashite?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…