Sio Brigitte Alfred ni Genevieve mpangala ndo aliekua anatoka na Malick
Hahahaha, umenifurahisha.... naomba unikaribishe yaeda chini
unajua kabisa kiswahili sijui.......dada yangu Flo alisutwa akafunga acc Insta........wewe unataka nihame JF........chonde chonde shosti.........twende taratibu.........
Mamii ni briggete huyo genev kaachwa co leo...ambaye alikuwa zenji na maliki ni brigette. Huo mkwara aliopigwa brigette akirudiana na malick atakua na roho ya kijasusi
anaitwa kima kwa sababu ya kisa + malick.......kama ilivyokuwa Kiki.......kisa + kinje.......
tutajasutwa ujue.........
halafu nipe link ya vitafunwa........nataka nichome bajia za kunde.........
Hahahaha, umenifurahisha.... naomba unikaribishe yaeda chini
Kweli yule Kinje mademu alotembea nao wakiambiwa washikane mikono wapange mstari.....huo mstari utafika hadi songea.....
Huyo kinje si ndio wanasema ni kimbilimbi???
Akahamia sa na Mkewe sijui demu wake baada ya kuzidiwa kete na salama???
Hahahahah
Flo aliniacha hoi
Facebook akashukuru kumshinda pepo.... alidai lilitaka kumpoteza..sasa hivi yupo busy na duka lake
Heheheh utamuomba invisible ban ya muda...
Maana mashabiki wa mange ni noma kwa vifronti front...walimfanyia kampeni team ukweli na uwazi IG mpaka akafungiwa akaunti
Ni mkewe alioaga harusi ya kishindo tu....Kumbe mkewe alikuwa anakobolewa na salama? Nlikuwa sijui....
Bora dada yangu umenisaidia, huyo Mange ni Miss ushuzi Mavi designer tu.
Wote wanajitahidi in their own way