Mange Kimambi Vs Kisa Zimba(KiKi)

Mange Kimambi Vs Kisa Zimba(KiKi)

Eti eeeh...[/QUOTE
Na kingine muke ya americano anawazidi wapinzani wake wengi wala sio kwa vile kaolewa na muzungu nooo....ni EDUCATION...wapinzani wake wengi shule ni mmmh....au za kayumba...kwa hilo tu yuko juu...
 
Haya haya kimenuka

Mume wa kiki akamatwa kwa utapeli

Magari

Kushowoff kumbe magari kajipatia kwa njia ya udanganyifu



Trip za nje na kadhalika kumbe pesa ya udanganyifuuuuuu

Nani zaidi kiki au mange
 
Haya haya kimenuka

Mume wa kiki akamatwa kwa utapeli

Magari

Kushowoff kumbe magari kajipatia kwa njia ya udanganyifu



Trip za nje na kadhalika kumbe pesa ya udanganyifuuuuuu

Nani zaidi kiki au mange

Shoga siku nyingine ukiona ubuyu kama huu wa kwa mzee Issa uwe unaniita.........sasa kurasa lukuki nitasamaraizi vipi lakini...........
 
hiyo ndiyo Tofauti ya Mange na wao , kutwa mnamsema anauza maronya kiko wapi ? heheheheheiyaaa wacha niwahi utani miyeee full Umbeiyaaaaa na kesho tunaenda kutambika kwa watoto yatima wewe ! My New Baby kumbe gari ya wizi si bora utembelee Baby walker ila ni jasho halali ???????????
 
Heheheh

Pole shosti

Huu ubuyu mpya

Mambobya show off za mjini zinaponza.......



Shoga siku nyingine ukiona ubuyu kama huu wa kwa mzee Issa uwe unaniita.........sasa kurasa lukuki nitasamaraizi vipi lakini...........
 
hiyo ndiyo Tofauti ya Mange na wao , kutwa mnamsema anauza maronya kiko wapi ? heheheheheiyaaa wacha niwahi utani miyeee full Umbeiyaaaaa na kesho tunaenda kutambika kwa watoto yatima wewe ! My New Baby kumbe gari ya wizi si bora utembelee Baby walker ila ni jasho halali ???????????

Picha ya kiBabywalker haipendezi kutupia instagram

Hahahahah
 
Heheheh

Pole shosti

Huu ubuyu mpya

Mambobya show off za mjini zinaponza.......

Watafurahi.........
wakituona tunaendesha Amarok zetu si watuulize tumepataje........
wanawafanya watoto wa kike kutamani maisha yao........watoto wa watu wanafanya vitu vya ajabu Ili wawe kama wao......kumbe matapeli........
nakwambia mjini siji.........bakini wenyewe huko............
 
Watafurahi.........
wakituona tunaendesha Amarok zetu si watuulize tumepataje........
wanawafanya watoto wa kike kutamani maisha yao........watoto wa watu wanafanya vitu vya ajabu Ili wawe kama wao......kumbe matapeli........
nakwambia mjini siji.........bakini wenyewe huko............

Utakuwa umevisaidia sana hivi vibinti ambavyo havijui kuchagua role model wao
 
Utakuwa umevisaidia sana hivi vibinti ambavyo havijui kuchagua role model wao

Hakuna zaidi ya kuhustle na kuongeza bidii na juhudi katika maisha...........raha sana unapotoa hela yako ya halali kununua bajaj kwa jina lako..........kuliko kuletewa Q7 usiyojua hata ni sh ngapi..........huyo aliyekuletea pesa haina picha yake.........tafuta yako..........gadem mazafantazzzz.......wanaopenda bwerereeee...........
 
Jamani yule kaka ni mtapeli mda tu kwa sisi tunaemjua ni arubaini yake tu imefika .lakini namshangaa huyo Kiki ujuaji wote huwo unakubali vipi mwanaume wa namna ile mpaka kuolewa na kuzaa looh kweli hana bahati kumpata mwanaume mwenye pesa za halali nae si mchezo ni bahati nayo mmh wengi wanaishia kuangukia kwa wauzaji wa unga huwezi kusema hao ni wanaume wa maana hawana mwisho mwema hao
 
Yaani mwaka wa wadada wa mjini huu

Huko IG ni showoff to ya magari na maisha vere eksipensivu.... mtu unajiuliza hawa wanafanya kazi saa ngapi??? Hupati jibu

wanatuharibia watoto haswaaaaa

Kumbe nyuma yake kuna wizi utapeli sembe na kila aina ya uchafu

Acha wadakwe wote itawafanya vijana wajue maisha mazuri yanaletwa kwa kazi....tena halali




Watafurahi.........
wakituona tunaendesha Amarok zetu si watuulize tumepataje........
wanawafanya watoto wa kike kutamani maisha yao........watoto wa watu wanafanya vitu vya ajabu Ili wawe kama wao......kumbe matapeli........
nakwambia mjini siji.........bakini wenyewe huko............
 
Yaani mwaka wa wadada wa mjini huu

Huko IG ni showoff to ya magari na maisha vere eksipensivu.... mtu unajiuliza hawa wanafanya kazi saa ngapi??? Hupati jibu

wanatuharibia watoto haswaaaaa

Kumbe nyuma yake kuna wizi utapeli sembe na kila aina ya uchafu

Acha wadakwe wote itawafanya vijana wajue maisha mazuri yanaletwa kwa kazi....tena halali

Ila kwa kweli jijini Dar kuna hitaji maombi..........tena ya mkesha..........
huku Yaeda kila mtu anauza vitunguu vyake na mchele wa magugu........
juzi Katarina kanunua passo.........Perpetua kasema hakubali........January na yeye anaagiza Duet.......X5 na 6 mnazijua nyie huko mjini hakyamama..........
 
Ila kwa kweli jijini Dar kuna hitaji maombi..........tena ya mkesha..........
huku Yaeda kila mtu anauza vitunguu vyake na mchele wa magugu........
juzi Katarina kanunua passo.........Perpetua kasema hakubali........January na yeye anaagiza Duet.......X5 na 6 mnazijua nyie huko mjini hakyamama..........

mbona wewe una AMAROK huko huko YAEDA....nakuja next weekend sio mbaya ukiniachia nioshe jina kwa watoto wa Chuga!!
 
mbona wewe una AMAROK huko huko YAEDA....nakuja next weekend sio mbaya ukiniachia nioshe jina kwa watoto wa Chuga!!

Nilianza kuuza vitunguu zamani..........kwanza sasa hivi nalima mwenyewe........so Amarok is there to stay.........and Puma as well.........we njoo utaendesha mpaka Katesh........hakuna wa kukuuliza...........ni yangu ya halali kabisa........
 
Back
Top Bottom