Mange Kimambi vs Le mutuz, chanzo cha bifu ni nini?

Status
Not open for further replies.
Hiyo picha ya zamani, ni kama nilishaiona humu.
 
Diva hii picha ilipowekwa mara ya kwanza aliyeiweka alidai hawa warembo ni wabongo. Mimi mwenyewe nimeshuhudia hili sana katika sehemu za kujirusha, kwenye parties, au harusini na nilipojaribu kuuliza sababu ya wanawake kupendelea kufanya hivi nje badala ya washroom sababu kubwa ni kwamba vyoo vichafu, kuna watu wengi wash rooms hawawezi kusubiri, ila nakubaliana nawe kwamba wanaume tunaongoza kwe hili lakini cha kushangaza kwenye nchi za wenzetu hili jambo ni nadra sana kuliona na ukionekana unaweza kupigwa faini ya kuchafua mazingira. Pia nchi za wenzetu sehemu za kujisaidia zipo kibao ukilinganisha na Tanzania yetu.

Ila wanaume mumezidi hao ni wa Asia huko ila wakibongo nadra sana
 
Wasichana usisahau wakienda kwenye vile vyoo vya kukaa nasikia wanapanda juu yake.
 
We umesoma shule gani?
Sentes zako hazina kituo kikubwa,koma,alama ya mshangao,alama ya kuuliza,wala.....
 
Wanaogopa kuambukizwa UTI.
Hahahahaha kumbe. Hivi mwanaume akikojoa mkono wake unachafukaje kwa sababu mimi najua nashika nyama inayo nisaidia kutoa maji nje ya mwili.
 
Reactions: BAK
Huyo le mutuz inabidi amuoe huyo mange, wenyewe wame match.kutwa kurushiana maneno back and forth, bora wamalizane le mutuz achukue jumla.maana wanayoyagombania hayana kichwa wala miguu
 
Njemba nyingine zilikuja na idea kwamba Wanaume tunawe mikono kabla ya kukojoa na si baada ya kukojoa πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ na wengine wana argument kama yako kwamba kushika dudu wakati anakojoa haina maana kwamba mikono yake imechafuka, hivyo wengi hawaoni sababu ya kunawa. 😱😱😱

Hahahahaha kumbe. Hivi mwanaume akikojoa mkono wake unachafukaje kwa sababu mimi najua nashika nyama inayo nisaidia kutoa maji nje ya mwili.
 
Hao wanaojisaidia nje ni wachafua mazingira tu tena hao wadada ndo wanajitaftia uti vizuri sasa kila mmoja akimwaga cheche sizinawarukia na kupata magonjwa
 
Reactions: BAK
Unataka wavunje rekodi ya kuwa harusi iliyodumu kwa muda mfupi duniani kulizo harusi zote? na hivyo kuingizwa kwenye Guinness book of records?

Huyo le mutuz inabidi amuoe huyo mange, wenyewe wame match.kutwa kurushiana maneno back and forth, bora wamalizane le mutuz achukue jumla.maana wanayoyagombania hayana kichwa wala miguu
 
Why washing coz we are not used to piss on our hands
 
Reactions: BAK
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…