Anamsema nyumba aliishi mama ake wakati yeye alizaliwa uswazi uswazi ndani ndani baada ya ababake kumpa mimba housegirl ambaye ni mama ake...kasota kwenye shida...naona anaelekea kurudi huko sababu na mzungu katimka mbio...na mama ake aliishi tena Dar tena sehemu sijui nayo wanasema mbaya sana hakuwa na kitu...hata kuiba pesa za baba ake amjengee mama yake alijuwa busy kusaka mzungu na kuomba ma binti na wanawake wa Kitanzania wampe dola mia awaunge kwenye mtandao wakutane na wazungu huku kujiunga ni dola 20... Yaani waingie alafu wasake wenyewe sio kwamba anawapa...ni tapeli wa grade A*** na pia nguo na sijui nini kaibia watu wa hapa nchini pesa walipomdai aliwatukana na kuwachafua mitandaoni.
Sasa yeye na lemutuz msaka pesa kwa jasho lake nani bora?? Ujiulize wewe mange. Acha upuuzi