Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzo Mange alivyoanza kumuandama nilijua ni bifu/chuki binafsi...Ila kwa hili lililotokea nimeona ni sahihi alichokuwa anakifanya Mange...Kama jamaa yuko clean kwa nn akimbie?Sioni na sielewi kabisa kwanini Dr. Mwaka anaandamwa namna hii.
Avalishwe mara ngapi..!huyo Le Mutuz bado kuvalishwa sidiria tu..
Hahahahaha Uknw si shindwi mapambano ...uknw wakati nachukua degree ya pili Mange hakuwa na degree hata moja uknw...
Uknw mimi ni akili kubwaz uknw na ninaamini Dr mwaka anaonewa wivu uknw...!
Lemadebez tupu hawanisumbui..hahahahha
the king of all social network....
Hahaha hili lijamaa lina akili fupi sijawai onaHahahahaha Uknw si shindwi mapambano ...uknw wakati nachukua degree ya pili Mange hakuwa na degree hata moja uknw...
Uknw mimi ni akili kubwaz uknw na ninaamini Dr mwaka anaonewa wivu uknw...!
Lemadebez tupu hawanisumbui..hahahahha
the king of all social network....
Hahahahaha Uknw si shindwi mapambano ...uknw wakati nachukua degree ya pili Mange hakuwa na degree hata moja uknw...
Uknw mimi ni akili kubwaz uknw na ninaamini Dr mwaka anaonewa wivu uknw...!
Lemadebez tupu hawanisumbui..hahahahha
the king of all social network....
Nasita kidogo kuamini kuwa hizo ni meseji zilizoandikwa na Le Mutuz.
Nasema hivyo kwa sababu uandishi wa Le Mutuz, baada ya kuwa naye kwenye haya majamvi ya mitandao kwa miaka 10 sasa, nadhani naujua kwa kiasi fulani.
Hizo meseji hazijakaa kama zimeandikwa na Le Mutuz.
Hahahahaha
Le big show
Babu yake kimnana
Amesarenda na kufuta posti yake aliyodai inasambazwa...
Hahahaha
Ruttashobolwa uneona mambo ya jirani yako?
Mwanzo Mange alivyoanza kumuandama nilijua ni bifu/chuki binafsi...Ila kwa hili lililotokea nimeona ni sahihi alichokuwa anakifanya Mange...Kama jamaa yuko clean kwa nn akimbie?
Haya sasa kumekucha instagram......Mzee wa degree 3 yupo katika mpambano wa hatari na Mkimama Mange Kimambi huko instagram kuhusu swala la Dr.mwaka
Naona mzee wa degree 3 anamtetea sana Dr.mwaka kwa hali na mali huku Mkimama wetu Mange kimambi Akimkosoa vibaya sana Dr Mwaka akidai elimu ake kapata Google!
Mzee wa degree 3 anaonekana sana kumtetea Dr.Mwaka hadi akaamua kumpigia simu Mange ili aache kile anacho kifanya kwani ana Contract inabido asign kwa Dr.Mwaka
Mange hajakausha kaamua Kumumbua Le Mutuzi kwa Kupost text zote alizotumiwa na kujibu
Baadae kidogo baba la baba Mtu munene Akajibu kuwa hizo ni text za kutengenezwa na akidai Mange kazitengeneza yeye hajawahi kumpigia simu Mange wala kuchat Nae ila anakiru kuwa Namba ni yake
Kabla hilo halijakaa sawa Mama la Mama Mange kimambi Akarudisha mapigo kwa kupost Video ikionesha kupitia Iphone ake anafungua app ya whatsapp then anaenda kwenye conversations anatafuta namba ya Le mutuzi Mara vuuu Aniona hii hapa Anaifungua na kuonesha kuwa kile alicho screenshot ni cha kweli pale hata mimi Naamini ile Conversation siyo ya kutengenezwa ni ya kweli
Baba la baba baad ya kuona hilo akajibu tena kwa majigambo
Najaribu kusoma Comment za watu insta kwa page ya Le mutuzi naona watu wamevurugwa wapo teari kama niblock wapigwe tuuu Ila wanadai Le mutuzi na Dr mwaka Nijibu na Mange analitumbua
Jamani siwezi kuelezea yote ila Kifupi ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu Le mutuz Kashikwa vibaya sana huko ingekuwa vita Angekuwa kashindwa
Mange pamoja kupelekewa dau la pesa lakini Kagoma kufuta post anasema anataka kuwatetea akina mama wote
Katishiwa uchawi lakini bado hebu nendeni huko insta mkaone
Mange Kaweka pia link inayo onesha elimu ya Dr Mwaka
http://www.ippmedia.com/frontend/?l=67245
Le mutuz anajifanyaga mwanaharakati na mtetezi wa wanyonge, leo mbona kama simuelewi😂😂😂😂😂😂
Uyu let mutuz miye aliniblock instagram hapendi challenge yeye kila afanyalo akaitaji makofi sasa akikutana na challenge huwa anapanic
Mwambieni hii inchi sasa haitaji ujanja ujanja
Hahahahaha Uknw si shindwi mapambano ...uknw wakati nachukua degree ya pili Mange hakuwa na degree hata moja uknw...
Uknw mimi ni akili kubwaz uknw na ninaamini Dr mwaka anaonewa wivu uknw...!
Lemadebez tupu hawanisumbui..hahahahha
the king of all social network....
Nasita kidogo kuamini kuwa hizo ni meseji zilizoandikwa na Le Mutuz.
Nasema hivyo kwa sababu uandishi wa Le Mutuz, baada ya kuwa naye kwenye haya majamvi ya mitandao kwa miaka 10 sasa, nadhani naujua kwa kiasi fulani.
Hizo meseji hazijakaa kama zimeandikwa na Le Mutuz.
huyo Le Mutuz bado kuvalishwa sidiria tu..
Haya sasa kumekucha instagram......Mzee wa degree 3 yupo katika mpambano wa hatari na Mkimama Mange Kimambi huko instagram kuhusu swala la Dr.mwaka
Naona mzee wa degree 3 anamtetea sana Dr.mwaka kwa hali na mali huku Mkimama wetu Mange kimambi Akimkosoa vibaya sana Dr Mwaka akidai elimu ake kapata Google!
Mzee wa degree 3 anaonekana sana kumtetea Dr.Mwaka hadi akaamua kumpigia simu Mange ili aache kile anacho kifanya kwani ana Contract inabido asign kwa Dr.Mwaka
Mange hajakausha kaamua Kumumbua Le Mutuzi kwa Kupost text zote alizotumiwa na kujibu
Baadae kidogo baba la baba Mtu munene Akajibu kuwa hizo ni text za kutengenezwa na akidai Mange kazitengeneza yeye hajawahi kumpigia simu Mange wala kuchat Nae ila anakiru kuwa Namba ni yake
Kabla hilo halijakaa sawa Mama la Mama Mange kimambi Akarudisha mapigo kwa kupost Video ikionesha kupitia Iphone ake anafungua app ya whatsapp then anaenda kwenye conversations anatafuta namba ya Le mutuzi Mara vuuu Aniona hii hapa Anaifungua na kuonesha kuwa kile alicho screenshot ni cha kweli pale hata mimi Naamini ile Conversation siyo ya kutengenezwa ni ya kweli
Baba la baba baad ya kuona hilo akajibu tena kwa majigambo
Najaribu kusoma Comment za watu insta kwa page ya Le mutuzi naona watu wamevurugwa wapo teari kama niblock wapigwe tuuu Ila wanadai Le mutuzi na Dr mwaka Nijibu na Mange analitumbua
Jamani siwezi kuelezea yote ila Kifupi ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu Le mutuz Kashikwa vibaya sana huko ingekuwa vita Angekuwa kashindwa
Mange pamoja kupelekewa dau la pesa lakini Kagoma kufuta post anasema anataka kuwatetea akina mama wote
Katishiwa uchawi lakini bado hebu nendeni huko insta mkaone
Mange Kaweka pia link inayo onesha elimu ya Dr Mwaka
Home