Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Status
Not open for further replies.
Sioni na sielewi kabisa kwanini Dr. Mwaka anaandamwa namna hii.
 
Sioni na sielewi kabisa kwanini Dr. Mwaka anaandamwa namna hii.
Mwanzo Mange alivyoanza kumuandama nilijua ni bifu/chuki binafsi...Ila kwa hili lililotokea nimeona ni sahihi alichokuwa anakifanya Mange...Kama jamaa yuko clean kwa nn akimbie?
 
Alichokosea huyu Mangi ni ku expose private masseges kwenye public kihivyo, hii inaonyesha akili zake zilivyo kama kuku.
 
Le mutuz ni akili fupi sana...mi nashangaa wanomsifia huyu kubwa jinga..yaani hua linakurupuka likidai ni facts ukilichallange kidogo linakublock..limezoea akili mburulaz kulisifia tu.
 
Hahahahaha Uknw si shindwi mapambano ...uknw wakati nachukua degree ya pili Mange hakuwa na degree hata moja uknw...
Uknw mimi ni akili kubwaz uknw na ninaamini Dr mwaka anaonewa wivu uknw...!
Lemadebez tupu hawanisumbui..hahahahha
the king of all social network....

Hahhahahahaaa loh
 
Hahahahaha Uknw si shindwi mapambano ...uknw wakati nachukua degree ya pili Mange hakuwa na degree hata moja uknw...
Uknw mimi ni akili kubwaz uknw na ninaamini Dr mwaka anaonewa wivu uknw...!
Lemadebez tupu hawanisumbui..hahahahha
the king of all social network....
Hahaha hili lijamaa lina akili fupi sijawai ona
 
Hahahahaha Uknw si shindwi mapambano ...uknw wakati nachukua degree ya pili Mange hakuwa na degree hata moja uknw...
Uknw mimi ni akili kubwaz uknw na ninaamini Dr mwaka anaonewa wivu uknw...!
Lemadebez tupu hawanisumbui..hahahahha
the king of all social network....

haa haa uwiii....le akili kubwazzzzz
 
Nasita kidogo kuamini kuwa hizo ni meseji zilizoandikwa na Le Mutuz.

Nasema hivyo kwa sababu uandishi wa Le Mutuz, baada ya kuwa naye kwenye haya majamvi ya mitandao kwa miaka 10 sasa, nadhani naujua kwa kiasi fulani.

Hizo meseji hazijakaa kama zimeandikwa na Le Mutuz.

Nenda kwenye Account ya mange insta Kaweka Video nayo usipo Amini duuu!
 
Mwanzo Mange alivyoanza kumuandama nilijua ni bifu/chuki binafsi...Ila kwa hili lililotokea nimeona ni sahihi alichokuwa anakifanya Mange...Kama jamaa yuko clean kwa nn akimbie?

Swali la msingi sana...kama anaona yupo clear kwa kila kitu kwann akimbie....Ngoma ikiwambwa sana mwishowe hupasuka....sijui atajiteteaje
 
Haya sasa kumekucha instagram......Mzee wa degree 3 yupo katika mpambano wa hatari na Mkimama Mange Kimambi huko instagram kuhusu swala la Dr.mwaka

Naona mzee wa degree 3 anamtetea sana Dr.mwaka kwa hali na mali huku Mkimama wetu Mange kimambi Akimkosoa vibaya sana Dr Mwaka akidai elimu ake kapata Google!

Mzee wa degree 3 anaonekana sana kumtetea Dr.Mwaka hadi akaamua kumpigia simu Mange ili aache kile anacho kifanya kwani ana Contract inabido asign kwa Dr.Mwaka

Mange hajakausha kaamua Kumumbua Le Mutuzi kwa Kupost text zote alizotumiwa na kujibu

Baadae kidogo baba la baba Mtu munene Akajibu kuwa hizo ni text za kutengenezwa na akidai Mange kazitengeneza yeye hajawahi kumpigia simu Mange wala kuchat Nae ila anakiru kuwa Namba ni yake

Kabla hilo halijakaa sawa Mama la Mama Mange kimambi Akarudisha mapigo kwa kupost Video ikionesha kupitia Iphone ake anafungua app ya whatsapp then anaenda kwenye conversations anatafuta namba ya Le mutuzi Mara vuuu Aniona hii hapa Anaifungua na kuonesha kuwa kile alicho screenshot ni cha kweli pale hata mimi Naamini ile Conversation siyo ya kutengenezwa ni ya kweli

Baba la baba baad ya kuona hilo akajibu tena kwa majigambo

Najaribu kusoma Comment za watu insta kwa page ya Le mutuzi naona watu wamevurugwa wapo teari kama niblock wapigwe tuuu Ila wanadai Le mutuzi na Dr mwaka Nijibu na Mange analitumbua

Jamani siwezi kuelezea yote ila Kifupi ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu Le mutuz Kashikwa vibaya sana huko ingekuwa vita Angekuwa kashindwa

Mange pamoja kupelekewa dau la pesa lakini Kagoma kufuta post anasema anataka kuwatetea akina mama wote

Katishiwa uchawi lakini bado hebu nendeni huko insta mkaone

Mange Kaweka pia link inayo onesha elimu ya Dr Mwaka

http://www.ippmedia.com/frontend/?l=67245

Le mutuz anajifanyaga mwanaharakati na mtetezi wa wanyonge, leo mbona kama simuelewi😂😂😂😂😂😂
 
Le mutuz anajifanyaga mwanaharakati na mtetezi wa wanyonge, leo mbona kama simuelewi😂😂😂😂😂😂

Kabanwa kila mtu anamuandama Lakini Jamaa mbishia sana!
 
Uyu let mutuz miye aliniblock instagram hapendi challenge yeye kila afanyalo akaitaji makofi sasa akikutana na challenge huwa anapanic

Mwambieni hii inchi sasa haitaji ujanja ujanja

Same mm jana
Nilimchallenge hii ishu ya Dr.Mwaka with facts as he usually prefers, cha ajabu asubuhi nakuta kani block
 
Hahahahaha Uknw si shindwi mapambano ...uknw wakati nachukua degree ya pili Mange hakuwa na degree hata moja uknw...
Uknw mimi ni akili kubwaz uknw na ninaamini Dr mwaka anaonewa wivu uknw...!
Lemadebez tupu hawanisumbui..hahahahha
the king of all social network....

Umesahau kumalizia


Kuna mwenye tatizo huko.....le mutuz
 
Sasa mange kimambi ndo anatishwa na dr mwaka na lemutuz
Idi azani mwenyewe ali sanda kwa huyo dada baada ya kumwambia anauza sembe aliwekwa ndani lakini wapi mange ni next level labda magufuli aingilie kati ila hao hawawezi kumzuia mange
 
Nasita kidogo kuamini kuwa hizo ni meseji zilizoandikwa na Le Mutuz.

Nasema hivyo kwa sababu uandishi wa Le Mutuz, baada ya kuwa naye kwenye haya majamvi ya mitandao kwa miaka 10 sasa, nadhani naujua kwa kiasi fulani.

Hizo meseji hazijakaa kama zimeandikwa na Le Mutuz.

- HAHAHAHAHA salute man, sijawahi in my life kujihusisha na Mange nilisema siku nyingi na ninarudia kwamba kwa sababu ana mahusiano ya karibu sana na my sister sitamgusa wala kumjibu na sijawahi, kumtafuta siwezi cause simjui na wala sijui yupo wapi au namba yake sina na wala sijawahi kumpigia in my life. Kama kuna anayemjua hapa amuulize kama in my life nimewahi hata kuzungumza naye sasa iweje nianze juzi?

- Dr. Mwaka ni my Client wa muda mrefu sana, siamini kwamba anatuhumiwa kwa tuhuma za ukweli siamini kwamba aliruhusiwa kuwa mpaka na kiwanda cha dawa huku hana sifa zinazotakiwa ndio maana ninamtete na hata leo nimemuuliza amenionyesha all needed documents za kazi zake, nimeishi sana USA ambako nilifundishwa "INNOCENT UNTIL PROVEN BEYOND REASONABLE DOUBT OF GUILTY"

- Mengine ni ukifanya biashara ya Samaki lazima utanukia harufu ya Samaki, Social Media ina FAIDA na HASARA zake ila kwangU FAIDA ni kubwa kuliko hasara na leo ndio kwanza ninaingia mikataba miwili mipya na TANAPA pamoja na DAWASCO, so nipo sawa sana U know!!

- IF ANYTHING NINAMSHUKURU KWA KUNIONGEZEA UMAARUFU

le Mutuz
 
Haya sasa kumekucha instagram......Mzee wa degree 3 yupo katika mpambano wa hatari na Mkimama Mange Kimambi huko instagram kuhusu swala la Dr.mwaka

Naona mzee wa degree 3 anamtetea sana Dr.mwaka kwa hali na mali huku Mkimama wetu Mange kimambi Akimkosoa vibaya sana Dr Mwaka akidai elimu ake kapata Google!

Mzee wa degree 3 anaonekana sana kumtetea Dr.Mwaka hadi akaamua kumpigia simu Mange ili aache kile anacho kifanya kwani ana Contract inabido asign kwa Dr.Mwaka

Mange hajakausha kaamua Kumumbua Le Mutuzi kwa Kupost text zote alizotumiwa na kujibu

Baadae kidogo baba la baba Mtu munene Akajibu kuwa hizo ni text za kutengenezwa na akidai Mange kazitengeneza yeye hajawahi kumpigia simu Mange wala kuchat Nae ila anakiru kuwa Namba ni yake

Kabla hilo halijakaa sawa Mama la Mama Mange kimambi Akarudisha mapigo kwa kupost Video ikionesha kupitia Iphone ake anafungua app ya whatsapp then anaenda kwenye conversations anatafuta namba ya Le mutuzi Mara vuuu Aniona hii hapa Anaifungua na kuonesha kuwa kile alicho screenshot ni cha kweli pale hata mimi Naamini ile Conversation siyo ya kutengenezwa ni ya kweli

Baba la baba baad ya kuona hilo akajibu tena kwa majigambo

Najaribu kusoma Comment za watu insta kwa page ya Le mutuzi naona watu wamevurugwa wapo teari kama niblock wapigwe tuuu Ila wanadai Le mutuzi na Dr mwaka Nijibu na Mange analitumbua

Jamani siwezi kuelezea yote ila Kifupi ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu Le mutuz Kashikwa vibaya sana huko ingekuwa vita Angekuwa kashindwa

Mange pamoja kupelekewa dau la pesa lakini Kagoma kufuta post anasema anataka kuwatetea akina mama wote

Katishiwa uchawi lakini bado hebu nendeni huko insta mkaone

Mange Kaweka pia link inayo onesha elimu ya Dr Mwaka

Home

- nonsense!!

le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom