William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
we babu bora jikalie tu kimya achana na mange atakuumbua zaidi
Babu mbona ile screenshot yako ya msg uliyoitoa kwa Mange uliifuta baada mange kuweka video???
Mjini raha watu wanaishi kwa ufadhili u know
Achana kabisa na akili kubwa
Cc: Ruttashobolwa
Kuna jamaa yangu huku bleiz aliwahi kumuambia kuwa abadilishe pose, kila akipiga picha mikono iko kifuani,hazikupita hata dakika 5 akakuta keshablokiwa.
Ndio maana followers wake hawaongezeki,mimi huwa namsoma kimyakimya tu.
Unaweza kuwa na degree hata kumi lakini hukawa not competent to deal with issues au to apply the knowledge and make the difference, mtu msomi utamjuwa tu u dont need to ask, sasa huyu le mutuz degree tatu but degree zake zimemfanya substandard,na kwa kauli yake hii he is completely used by mwaka to seize the situation,i wounder why he came up nakumsafisha hivyo huyu fake dr mwaka wakati soon his fake professional medical caree will be proven wrong and so do le mutuz
- Kwa mujibu wa Google nina followers 500,000 ndani ya Social Media kila siku, imagine hata bila wewe sina tatizo kwenye Instagram yangu ukiandika ujinga nakuondoa maana sihitaji followers mizigo kama wewe
le Mutuz
Wanao ku follow nao akili ni fupi tu kama zako.
- Kuna mambo mengine ni commonsense zaidi, Naibu Waziri ni rafiki yangu ndio maana sijamshukia hivi inakuingia akilini Waziri anataka kujua kama private Doctor yupo sawa anaenda kumvamia na Media zote what is that? I mean tumia akili kidogo kama sio commonsense
le Mutuz
- Namba yangu ya simu ipo kila mahali kwenye Social Media alichokifanya ni rahisi sana kwa dunia ya sasa, wapo watu wengi wengine mpaka wana vicoba kwa kutumia namba na jina langu, kumpigia sijawahi hata kuongea naye in my life nashangaa sana na all alichokifanya
le Mutuz
Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime...mlisapotiana sana kipindi cha kampeni....Muyamalize tu...
- Nilimsifia kwa kazi ya kampeni that is all, sina zaidi na wala simfahamu kabisa wala sijawahi hata kuongea naye infact hata nikikiutana naye mtaani sijui anafananaje
le Mutuz
Le superstar leo kaona hata asingoje uzi ufikishe page 10 teh
apaa mmawomi!!Heheheeeeee Imbombo Jilipo ! No COMMENT
Le mutuzzzz NAMPENDAGA MPAKA NAFWA
Mange ni Mchizi wangu wa Habare za Wana Darisalama .....kiruuuuuuu NO COMMENT NAWAPENDAJE WOTE !
@W.J. Malecela huyu mange si mtoto wa dada yako mwele? Mngeimaliza kifamilia tu
Maana kakudhalilisha utamchukulia hatua?
- HAHAHAHAHA salute man, sijawahi in my life kujihusisha na Mange nilisema siku nyingi na ninarudia kwamba kwa sababu ana mahusiano ya karibu sana na my sister sitamgusa wala kumjibu na sijawahi, kumtafuta siwezi cause simjui na wala sijui yupo wapi au namba yake sina na wala sijawahi kumpigia in my life. Kama kuna anayemjua hapa amuulize kama in my life nimewahi hata kuzungumza naye sasa iweje nianze juzi?
- Dr. Mwaka ni my Client wa muda mrefu sana, siamini kwamba anatuhumiwa kwa tuhuma za ukweli siamini kwamba aliruhusiwa kuwa mpaka na kiwanda cha dawa huku hana sifa zinazotakiwa ndio maana ninamtete na hata leo nimemuuliza amenionyesha all needed documents za kazi zake, nimeishi sana USA ambako nilifundishwa "INNOCENT UNTIL PROVEN BEYOND REASONABLE DOUBT OF GUILTY"
- Mengine ni ukifanya biashara ya Samaki lazima utanukia harufu ya Samaki, Social Media ina FAIDA na HASARA zake ila kwangU FAIDA ni kubwa kuliko hasara na leo ndio kwanza ninaingia mikataba miwili mipya na TANAPA pamoja na DAWASCO, so nipo sawa sana U know!!
- IF ANYTHING NINAMSHUKURU KWA KUNIONGEZEA UMAARUFU
le Mutuz
- HAHAHAHAHA salute man, sijawahi in my life kujihusisha na Mange nilisema siku nyingi na ninarudia kwamba kwa sababu ana mahusiano ya karibu sana na my sister sitamgusa wala kumjibu na sijawahi, kumtafuta siwezi cause simjui na wala sijui yupo wapi au namba yake sina na wala sijawahi kumpigia in my life. Kama kuna anayemjua hapa amuulize kama in my life nimewahi hata kuzungumza naye sasa iweje nianze juzi?
- Dr. Mwaka ni my Client wa muda mrefu sana, siamini kwamba anatuhumiwa kwa tuhuma za ukweli siamini kwamba aliruhusiwa kuwa mpaka na kiwanda cha dawa huku hana sifa zinazotakiwa ndio maana ninamtete na hata leo nimemuuliza amenionyesha all needed documents za kazi zake, nimeishi sana USA ambako nilifundishwa "INNOCENT UNTIL PROVEN BEYOND REASONABLE DOUBT OF GUILTY"
- Mengine ni ukifanya biashara ya Samaki lazima utanukia harufu ya Samaki, Social Media ina FAIDA na HASARA zake ila kwangU FAIDA ni kubwa kuliko hasara na leo ndio kwanza ninaingia mikataba miwili mipya na TANAPA pamoja na DAWASCO, so nipo sawa sana U know!!
- IF ANYTHING NINAMSHUKURU KWA KUNIONGEZEA UMAARUFU
le Mutuz
Teh teh teh Mbona kama unakuwa Mwongo Sana!
Leo wewe wakusema Humfaham Mange? hujui hata aliko kwa sasa?
Unakumbuka ile siku Mange kakamatwa na polisi uliandika nini kwenye ukurasa wako wa Instagram?
Unakumbuka ulitwambia ulienda kumuona pale kituoni?
Unakumbuka ulitwambia mpo mnashughulikia swala la kumuwekea dhamana ili atoke na ukatuahidj kupitia ukurasa wako wa instagram kuwa ukikamilisha utakuja kulizungumzia hio kitu
Baada yake ulikuja na kusema kuwa Watu wengi wamekushauri usizungumzie ile ishu
Unakumbuka baada ya ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu ulipost nini kuhusu Mange na kumpa sifa kibao
SWALI: JE unawezaje kufanya hayo yote kwa mtu usiemfaham? usie jua hata wapi anaishi? usie jua hata wapi alipo sasa?