Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Status
Not open for further replies.
Babu mbona ile screenshot yako ya msg uliyoitoa kwa Mange uliifuta baada mange kuweka video???

Mjini raha watu wanaishi kwa ufadhili u know

Achana kabisa na akili kubwa

Cc: Ruttashobolwa

- Hapa mjini ninaishi kwa kazi zangu kama kulipwa kwa kazi ni kufadhiliwa then kweli, sina muda wa kubishana na Mange never umeona kuna popote nimemjibu? I make money kwanza mambo ya kurushiana maneno nilishayapita siku nyingi sana now ni businesss kwanza

le Mutuz
 
Kuna jamaa yangu huku bleiz aliwahi kumuambia kuwa abadilishe pose, kila akipiga picha mikono iko kifuani,hazikupita hata dakika 5 akakuta keshablokiwa.
Ndio maana followers wake hawaongezeki,mimi huwa namsoma kimyakimya tu.

- Kwa mujibu wa Google nina followers 500,000 ndani ya Social Media kila siku, imagine hata bila wewe sina tatizo kwenye Instagram yangu ukiandika ujinga nakuondoa maana sihitaji followers mizigo kama wewe

le Mutuz
 
Unaweza kuwa na degree hata kumi lakini hukawa not competent to deal with issues au to apply the knowledge and make the difference, mtu msomi utamjuwa tu u dont need to ask, sasa huyu le mutuz degree tatu but degree zake zimemfanya substandard,na kwa kauli yake hii he is completely used by mwaka to seize the situation,i wounder why he came up nakumsafisha hivyo huyu fake dr mwaka wakati soon his fake professional medical caree will be proven wrong and so do le mutuz

- Kuna mambo mengine ni commonsense zaidi, Naibu Waziri ni rafiki yangu ndio maana sijamshukia hivi inakuingia akilini Waziri anataka kujua kama private Doctor yupo sawa anaenda kumvamia na Media zote what is that? I mean tumia akili kidogo kama sio commonsense

le Mutuz
 
- Kwa mujibu wa Google nina followers 500,000 ndani ya Social Media kila siku, imagine hata bila wewe sina tatizo kwenye Instagram yangu ukiandika ujinga nakuondoa maana sihitaji followers mizigo kama wewe

le Mutuz

Wanao ku follow nao akili ni fupi tu kama zako.
 
- Kuna mambo mengine ni commonsense zaidi, Naibu Waziri ni rafiki yangu ndio maana sijamshukia hivi inakuingia akilini Waziri anataka kujua kama private Doctor yupo sawa anaenda kumvamia na Media zote what is that? I mean tumia akili kidogo kama sio commonsense

le Mutuz

Hahahahaaa le mutuz upo Mheshimiwa???

Le big boss mjini anaetembelea Noah!
 
Last edited by a moderator:
- Namba yangu ya simu ipo kila mahali kwenye Social Media alichokifanya ni rahisi sana kwa dunia ya sasa, wapo watu wengi wengine mpaka wana vicoba kwa kutumia namba na jina langu, kumpigia sijawahi hata kuongea naye in my life nashangaa sana na all alichokifanya

le Mutuz

Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime...mlisapotiana sana kipindi cha kampeni....Muyamalize tu...
 
Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime...mlisapotiana sana kipindi cha kampeni....Muyamalize tu...

- Nilimsifia kwa kazi ya kampeni that is all, sina zaidi na wala simfahamu kabisa wala sijawahi hata kuongea naye infact hata nikikiutana naye mtaani sijui anafananaje

le Mutuz
 
- Nilimsifia kwa kazi ya kampeni that is all, sina zaidi na wala simfahamu kabisa wala sijawahi hata kuongea naye infact hata nikikiutana naye mtaani sijui anafananaje

le Mutuz

Maana kakudhalilisha utamchukulia hatua?
 
Heheheeeeee Imbombo Jilipo ! No COMMENT

Le mutuzzzz NAMPENDAGA MPAKA NAFWA
Mange ni Mchizi wangu wa Habare za Wana Darisalama .....kiruuuuuuu NO COMMENT NAWAPENDAJE WOTE !
 
Heheheeeeee Imbombo Jilipo ! No COMMENT

Le mutuzzzz NAMPENDAGA MPAKA NAFWA
Mange ni Mchizi wangu wa Habare za Wana Darisalama .....kiruuuuuuu NO COMMENT NAWAPENDAJE WOTE !
apaa mmawomi!!
 
- HAHAHAHAHA salute man, sijawahi in my life kujihusisha na Mange nilisema siku nyingi na ninarudia kwamba kwa sababu ana mahusiano ya karibu sana na my sister sitamgusa wala kumjibu na sijawahi, kumtafuta siwezi cause simjui na wala sijui yupo wapi au namba yake sina na wala sijawahi kumpigia in my life. Kama kuna anayemjua hapa amuulize kama in my life nimewahi hata kuzungumza naye sasa iweje nianze juzi?

- Dr. Mwaka ni my Client wa muda mrefu sana, siamini kwamba anatuhumiwa kwa tuhuma za ukweli siamini kwamba aliruhusiwa kuwa mpaka na kiwanda cha dawa huku hana sifa zinazotakiwa ndio maana ninamtete na hata leo nimemuuliza amenionyesha all needed documents za kazi zake, nimeishi sana USA ambako nilifundishwa "INNOCENT UNTIL PROVEN BEYOND REASONABLE DOUBT OF GUILTY"

- Mengine ni ukifanya biashara ya Samaki lazima utanukia harufu ya Samaki, Social Media ina FAIDA na HASARA zake ila kwangU FAIDA ni kubwa kuliko hasara na leo ndio kwanza ninaingia mikataba miwili mipya na TANAPA pamoja na DAWASCO, so nipo sawa sana U know!!

- IF ANYTHING NINAMSHUKURU KWA KUNIONGEZEA UMAARUFU

le Mutuz

Teh teh teh Mbona kama unakuwa Mwongo Sana!

Leo wewe wakusema Humfaham Mange? hujui hata aliko kwa sasa?

Unakumbuka ile siku Mange kakamatwa na polisi uliandika nini kwenye ukurasa wako wa Instagram?

Unakumbuka ulitwambia ulienda kumuona pale kituoni?

Unakumbuka ulitwambia mpo mnashughulikia swala la kumuwekea dhamana ili atoke na ukatuahidj kupitia ukurasa wako wa instagram kuwa ukikamilisha utakuja kulizungumzia hio kitu

Baada yake ulikuja na kusema kuwa Watu wengi wamekushauri usizungumzie ile ishu

Unakumbuka baada ya ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu ulipost nini kuhusu Mange na kumpa sifa kibao

SWALI: JE unawezaje kufanya hayo yote kwa mtu usiemfaham? usie jua hata wapi anaishi? usie jua hata wapi alipo sasa?
 
- HAHAHAHAHA salute man, sijawahi in my life kujihusisha na Mange nilisema siku nyingi na ninarudia kwamba kwa sababu ana mahusiano ya karibu sana na my sister sitamgusa wala kumjibu na sijawahi, kumtafuta siwezi cause simjui na wala sijui yupo wapi au namba yake sina na wala sijawahi kumpigia in my life. Kama kuna anayemjua hapa amuulize kama in my life nimewahi hata kuzungumza naye sasa iweje nianze juzi?

- Dr. Mwaka ni my Client wa muda mrefu sana, siamini kwamba anatuhumiwa kwa tuhuma za ukweli siamini kwamba aliruhusiwa kuwa mpaka na kiwanda cha dawa huku hana sifa zinazotakiwa ndio maana ninamtete na hata leo nimemuuliza amenionyesha all needed documents za kazi zake, nimeishi sana USA ambako nilifundishwa "INNOCENT UNTIL PROVEN BEYOND REASONABLE DOUBT OF GUILTY"

- Mengine ni ukifanya biashara ya Samaki lazima utanukia harufu ya Samaki, Social Media ina FAIDA na HASARA zake ila kwangU FAIDA ni kubwa kuliko hasara na leo ndio kwanza ninaingia mikataba miwili mipya na TANAPA pamoja na DAWASCO, so nipo sawa sana U know!!

- IF ANYTHING NINAMSHUKURU KWA KUNIONGEZEA UMAARUFU

le Mutuz

Jana kama sa Nane usiku kama sio sa saba Mange alipost Video ambayo ilikuwa ikionesha kuwa anachukua Iphone ake anafungua whatsapp anatafuta conversation yako anaiona anaifungua anaonesha kwa kuslide kupanda juu na kushuka ambayo ni sawa na ile screenshoot vipi nayo unabisha pia?
 
Teh teh teh Mbona kama unakuwa Mwongo Sana!

Leo wewe wakusema Humfaham Mange? hujui hata aliko kwa sasa?

Unakumbuka ile siku Mange kakamatwa na polisi uliandika nini kwenye ukurasa wako wa Instagram?

Unakumbuka ulitwambia ulienda kumuona pale kituoni?

Unakumbuka ulitwambia mpo mnashughulikia swala la kumuwekea dhamana ili atoke na ukatuahidj kupitia ukurasa wako wa instagram kuwa ukikamilisha utakuja kulizungumzia hio kitu

Baada yake ulikuja na kusema kuwa Watu wengi wamekushauri usizungumzie ile ishu

Unakumbuka baada ya ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu ulipost nini kuhusu Mange na kumpa sifa kibao

SWALI: JE unawezaje kufanya hayo yote kwa mtu usiemfaham? usie jua hata wapi anaishi? usie jua hata wapi alipo sasa?

- Nonsense kwenye my Social Media outlets unajua ninapost habari za watu wangapi ambao siwajui wala sijawahi kuwaona? I mean wewe ni mzima kweli? Yaani watu wanapo post watu kwenye Social Media ni kwa sababu wanawajua? hahahahaha mburulazzzzzz

le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom