William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Jana kama sa Nane usiku kama sio sa saba Mange alipost Video ambayo ilikuwa ikionesha kuwa anachukua Iphone ake anafungua whatsapp anatafuta conversation yako anaiona anaifungua anaonesha kwa kuslide kupanda juu na kushuka ambayo ni sawa na ile screenshoot vipi nayo unabisha pia?
- Hapa mjini ninaishi kwa kazi zangu kama kulipwa kwa kazi ni kufadhiliwa then kweli, sina muda wa kubishana na Mange never umeona kuna popote nimemjibu? I make money kwanza mambo ya kurushiana maneno nilishayapita siku nyingi sana now ni businesss kwanza
le Mutuz
Kama kweli anaonewa nadhani ni vyema mwenyewe ajitokeze kwenye media na kuweka vitu clear Zaidi ya hapo sidhani kama utetezi wako una maana..Kauli ya Dr mwenyewe itakuwa na uzito zaidi..Na kama kweli tuhuma si za kweli basi waliomchafua inabidi wamsafishe.- Dr. Mwaka ni my Client wa muda mrefu sana, siamini kwamba anatuhumiwa kwa tuhuma za ukweli siamini kwamba aliruhusiwa kuwa mpaka na kiwanda cha dawa huku hana sifa zinazotakiwa ndio maana ninamtete na hata leo nimemuuliza amenionyesha all needed documents za kazi zake, nimeishi sana USA ambako nilifundishwa "INNOCENT UNTIL PROVEN BEYOND REASONABLE DOUBT OF GUILTY"
- Nilimsifia kwa kazi ya kampeni that is all, sina zaidi na wala simfahamu kabisa wala sijawahi hata kuongea naye infact hata nikikiutana naye mtaani sijui anafananaje
le Mutuz
Sasa mbona ww unatukana jibu hoja hapa vipi- Nonsense kwenye my Social Media outlets unajua ninapost habari za watu wangapi ambao siwajui wala sijawahi kuwaona? I mean wewe ni mzima kweli? Yaani watu wanapo post watu kwenye Social Media ni kwa sababu wanawajua? hahahahaha mburulazzzzzz
le Mutuz
Le kubwa LA wazee kijana vijana limekumbana usokwa USO na le mdada katiri.
Sasa mbona ww unatukana jibu hoja hapa vipi
Mbna jana umemjibu kwa kupost Ile screenshoot?
Na baadae ukandika vingine hapo vipi mkuu unasemaje
Na ulivyo kwenda kituoni kule alikokamatwa na polisi hukuongea nae unaposema hunawahi kuongea nae unamanisha nini
Jana si umepost kuwa ni ndugu yako yule ulijuaje kuwa ni ndugu ako ukiwa hujawahi ongea nae?
Kama kweli anaonewa nadhani ni vyema mwenyewe ajitokeze kwenye media na kuweka vitu clear Zaidi ya hapo sidhani kama utetezi wako una maana..Kauli ya Dr mwenyewe itakuwa na uzito zaidi..Na kama kweli tuhuma si za kweli basi waliomchafua inabidi wamsafishe.
Asante Le Mutuz nainjoy majibu yako! naona wauliza maswali wameshakukimbia wamekuacha unatamba! Ndaga nkamu....
Hivi kuna nini chini ya kapeti? why ghafla baada ya Diamond kumpost Dr Mwaka ndo aanze kuandamwa hivi?
- Kama kuna hoja muhimu in all this ni kwamba kaniongezea followers 2,000 which is good for my Social Media business, mengine ni wast of my time ok inaonekana huna kazi mkuu zaidi ya kuhangaika kwenye mitandao kutafuta habari za watu hahahah
le Mutuz
- Nimemuandika Masamaki wa TRA kuwa yupo rumande na sijawahi hata kumuona hahaha mbona huna hoja
le Mutuz
Teh teh teh
kwani ww hapa uko wapi si Mtandaoni Mkuu or? Hapa sisi hatuongelei mambo ya Followers mbona unachanganya Mambo Mkuu
Danya unapoteza nguvu zako tu...huyo zemburura huwezi muelewa hata siku moha mzee wa facts za kijinga..
Teh teh teh
- Sijawahi kuchanganya mambo ndio maana hapa ninapoandika I make money je na wewe unafanya hivyo au unaandika for fun?
le Mutuz