William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Jana kama sa Nane usiku kama sio sa saba Mange alipost Video ambayo ilikuwa ikionesha kuwa anachukua Iphone ake anafungua whatsapp anatafuta conversation yako anaiona anaifungua anaonesha kwa kuslide kupanda juu na kushuka ambayo ni sawa na ile screenshoot vipi nayo unabisha pia?
- Kwa hiyo ukifanya haya ni FACT kwamba anayoyasema ni kweli? Jamani hivi siku hizi JF imeingiliwa na watu wa aina gani wewe ni mzima kweli? Video alirekodiwa na nani na ilikuwa wapi na saa ngapi? Nenda Facebook na Isntagram uone watu wangapi wanatumia jina langu na siwajui? please tumia basi hata busara kama huna akili
le Mutuz