Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

Status
Not open for further replies.
- I am businessman ninajali kelele zake zimeningizia pesa ngapi, sio mengine ya ujinga I am a Capitalist anything and any situation kwangu ni about making money!!

le Mutuz

kwahyo wewe hata ukikosolewa kisingizio chako you are making money,hata majambazi,makahaba,wezi mafisadi wote wanatengeneza pesa tena pengine zaidi yako,lakini hilo halihalalishi vitendo vyao.Mara nyengine nibusara kunyamaza tu mambo yakapita.a.k.a kufunika kombe
 
Nilikuwa nakukubali lakini hili la kumtetea dr mwaka kisa una maslahi binafsi nimekushusha!
Kuchezea afya za watu si kitu cha kufanyia mzaha,mamlaka na dr mwaka watuweke wazi kama kuna uhalali otherwise sheria ichukue mkondo wake bila kujali umaarufu mjini!na dawa zake zimefanyiwa utafiti?

- Dr. Mwaka ni rafiki yangu na my Client mimi sio mjinga kama wewe wa kuambiwa na Mange na kuamini, nimemuuliza Dr. MWaka leo ukweli wote kuhusu hizi tuhuma amekataa na amenionyesha ushahidi wa kutosha kwamba anafanya mambo yako kihalali,

- Now lets say kwa mfano wewe huniheshimu tena sikujui wala hujulikani unatumia jina la bandia, ninatakuwa kufanya nini now kulia machozi kwamba kuna mtu anatumia jina la bandia JF haniheshimu tena so nianze kulia? hahahahaha

le Mutuz
 
kwahyo wewe hata ukikosolewa kisingizio chako you are making money,hata majambazi,makahaba,wezi mafisadi wote wanatengeneza pesa tena pengine zaidi yako,lakini hilo halihalalishi vitendo vyao.Mara nyengine nibusara kunyamaza tu mambo yakapita.a.k.a kufunika kombe

- Eti umekosoa nini hapa zaidi tu ya kuandika utumbo, what is your point hapa? Dr. MWaka amehukumiwa na Mahakama gani mpaka nimchukie kwamba sio mkweli? Wewe ndiye unatakiwa kutumia busara unyamaze

-le Mutuz
 
kwahyo wewe hata ukikosolewa kisingizio chako you are making money,hata majambazi,makahaba,wezi mafisadi wote wanatengeneza pesa tena pengine zaidi yako,lakini hilo halihalalishi vitendo vyao.Mara nyengine nibusara kunyamaza tu mambo yakapita.a.k.a kufunika kombe

hujamuelewa huyo bonge nyanya? anamaanisha huyo dr.mwaka amempa pesa za kuja kumtetea huku,,, anavyomtetea yuko kazini
 
hujamuelewa huyo bonge nyanya? anamaanisha huyo dr.mwaka amempa pesa za kuja kumtetea huku,,, anavyomtetea yuko kazini

- hahahahaha huwa unapewa pesa kuja kutetea watu huku so unadhani ni kila mtu, soma tena mada limetejwa jina langu THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK, ndio maana nipo hapa kuwaelimisha kwamba akisema Mange sio lazima iwe kweli tumia akili zako kufikiri kwanza okee!!

le Mutuz
 
- And supposedly you are stable mentally and here you are arguing with unstable? hahaha

le Mutuz

Sometimes i find my mind to be unstable too, so i learned some self control. I don't know where you draw your strength from, but you can surely learn to control your mind. Upon close analysis of the mind you can learn how illusive it is. Learn to distance yourself from it, and look at it dispassionately
 
Uyu let mutuz miye aliniblock instagram hapendi challenge yeye kila afanyalo akaitaji makofi sasa akikutana na challenge huwa anapanic

Mwambieni hii inchi sasa haitaji ujanja ujanja

Le mutuz alini block instagram kwakuwa nilikuwa naipa makavu CCM... na digree zake hata zingekuwa 70... kama hataki kushindwa au kushinda kwa hoja basi ni mjinga tu milele
 
Sometimes i find my mind to be unstable too, so i learned some self control. I don't know where you draw your strength from, but you can surely learn to control your mind. Upon close analysis of the mind you can learn how illusive it is. Learn to distance yourself from it, and look at it dispassionately

- Thank you the words in red tells it all, pole sana!!

le Mutuz
 
- I am businessman ninajali kelele zake zimeningizia pesa ngapi, sio mengine ya ujinga I am a Capitalist anything and any situation kwangu ni about making money!!

le Mutuz
Utakuja kushikishwa ukuta na kupumuliwa kisogoni mkuu na u capitalist wako wa kujali hela kwanza mengine baadae
 
- Eti umekosoa nini hapa zaidi tu ya kuandika utumbo, what is your point hapa? Dr. MWaka amehukumiwa na Mahakama gani mpaka nimchukie kwamba sio mkweli? Wewe ndiye unatakiwa kutumia busara unyamaze

-le Mutuz

Nachokusifu ni jinsi unavyojua kujibu maswali kisiasa yaani hujibu ile hoja bali ni kumshusha thamani aliyeitoa ama kum attack personly .sasa mimi wapi hapo nlipozungumzia kuhusu dk mwaka,mimi sina tabia ya kumtuhumu mtu bila ushahidi na sijatoa maoni yoyote kuhusu yeye zaidi ya kumwachia yeye mwenyewe na mamlaka husika kutoa ufafanuzi wa hii kadhia.Mimi nimezungumzia tu swala la wewe kila ishu unayobanwa nayo maelezo yako ni eti unatengeneza hela,utafikiri wewe ni wa kwanza ama wa mwisho kutengeneza pesa.hoja nyingi za msingi zilizoletwa hapa hujazijibu.
 
Le mutuz alini block instagram kwakuwa nilikuwa naipa makavu CCM... na digree zake hata zingekuwa 70... kama hataki kushindwa au kushinda kwa hoja basi ni mjinga tu milele

- pure mburulazzzz sikujui wala sikufahamu nimekublock cause uliandika ujinga na sina business na watu wajinga wasioweza kuona opportunity, mtu mzima unajaza bundle kujakutumia majina ya bandia ni mjinga I have no time for ujinga kwenye my insta, pole sana wala hata sijui wewe ni nani cause nina followers wengi sana! hahahahahah

- Mimi ni Big Celeb. ndio maana unaona hii thread tayari ndio habari ya mjini sasa hivi viewers karibu 8,000 sasa wewe mtu mmoja kwanza hujulikani sio Celeb wa nini ndio maana nimekublock

le Mutuz
 
Utakuja kushikishwa ukuta na kupumuliwa kisogoni mkuu na u capitalist wako wa kujali hela kwanza mengine baadae

- hahahahaha maaan yake ni moja tu umeshafanyiwa pole sana ila hujaulizwa hapa wala hakuna mwenye shida na wewe maana ni uchafu u know hahahahahah

le Mutuz
 
- Thank you the words in red tells it all, pole sana!!

le Mutuz

It actually tells that i'm human operating with a mind which sometimes get clogged with anger, lust, envy and all other emotions they tend to block reasoning. So if you learn to be above those things, life becomes smooth. Once you have some self control you can overcome a lot, i see your mind is not settled and there's a lot of trivialities in your mind. That's all
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom