mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
hayo ni matusi kwa wazazi wengi wanaowapeleka watoto wao st Kayumba (SHULE za kata), si kwa sababu ni wazembe ila kwa sababu ndio uwezo wao kwa wakati huo!unafurahia uzembe wa baba ako kukupeleka st.kayumba?...baba ake mange alisimamia nafasi yake kama baba kuhakikisha wanae wanasoma shule nzuri na wanatambua mambo yanavyoenda...we una kazi yakuponda tu...ndo mana st.kayumba zako zimekufanya uwe mjinga usijue mambo ya nchi yako yanavyoenda....bora huyo mange anaeongeaga point kuiokoa nchi
Alipokua anatukana kina lowasa mlikua mnamuona ana akili Sasa kawageukia mnasema Hana akili ... Mbona mnakua wanafiki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] MIE mange sjaona tatizo lake..
Hana jipya, ni punguani tu.
nikipata pesa naruhusiwa kucharua? au ndo lazma ntafiliwaHawatoi kafara hapo hapo
ila wanakupa njia za kupata pesa kwanza baada ya muda ndio kafara inahusika.
Inaweza ikawa baada ya miaka 3 au 5 au zaidi, ni maamuzi yao wenyewe.
Hapana sio punguani-mambo mengi yanayofichwa hapa Tanzania ambayo public tunafichwa anatufungua machoHana jipya, ni punguani tu.
Hapana sio punguani-mambo mengi yanayofichwa hapa Tanzania ambayo public tunafichwa anatufungua macho
Ame campaign sana against kuondoa Bunge live na Freedom of information-sisi tukamuona mjinga-leo hii Tanzania is ime slip back to the abyss of dark ages gone bySioni lipi hilo alilowafungua nalo macho.
Sana sana anakujaza ujinga tu.
leo wameenda 4 tu kati ya 65 waliotajwa kwa jumla wapo sita kati ya 65me napita tu bado nipo central nasubiri kama nitaitwa
Wewe unatokea Ugweno?atanichamba mara ngapi? rita mlaki shangazi yangu eti
WEWE mama usituletee sera zako za chama wewe kama njaa zako zinamalizwa na hao majani basi usitujaze ujinga sie kaa ukielewa waambie na hao mbwa wenzio wa hapo lumumba tumeshachokaa na matendo yenuuuu.Sioni lipi hilo alilowafungua nalo macho.
Sana sana anakujaza ujinga tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ana masters ya instagram posts management
Madongo yake yote hua anayapata....
Kumbe unamfatilia hadi her personal life ..ulijuaje hayo yote aiseeeYumo ila kwa sasa hawezi kuja humu kwani anauguza vidonda vya kuachwa pia anatafuta kibabu kingine cha kizungu kimtunze.
Kumbe unamfatilia hadi her personal life ..ulijuaje hayo yote aiseee
Tunaweza tukawa ndugu ati mi mzee mlaki namwita mjomba.atanichamba mara ngapi? rita mlaki shangazi yangu eti
WEWE mama usituletee sera zako za chama wewe kama njaa zako zinamalizwa na hao majani basi usitujaze ujinga sie kaa ukielewa waambie na hao mbwa wenzio wa hapo lumumba tumeshachokaa na matendo yenuuuu.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Kama unamfatilia mange vizuri basi utajua kama Ana mtu au vipi acheni wivu wenu wakipumbavuYumo ila kwa sasa hawezi kuja humu kwani anauguza vidonda vya kuachwa pia anatafuta kibabu kingine cha kizungu kimtunze.
Mange Ana mwanaume na soon anaolewa tena we baki kuwasimulia wenzio uongo tuu jfKuna mtu aliandika hapa JF kumpa pole na pia ni rafiki wa ndugu wa demu wa rafiki yangu, hivyo usishangae.
Hhahahaa akikuskia atakuchamba wik nzima ...na id yako ataipata na picha yakijjn kwenu atakua nayo....simpendi jmn yule mdd mbeeeea km nn cjuimange hana mkopo yule aliishia la saba elimu yake kaunga unga sana ana certificate ya uarabuni ya sayansi kimu