Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Nina mashaka na chanzo chako cha taarifa. Mange Kimambi amesoma UDSM kiwango cha shahada ya kwanza(Bachelor degree) miaka 2002 hadi 2006 hapo katikati. Kuna watu wamesoma nae humu watakuja kutuambia exactly alisoma lini na kozi gani kwa miaka mingapi.mange hana mkopo kilaaaza yule aliishia la saba elimu yake kaunga unga sana ana certificate ya uarabuni ya sayansi kimu