Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisoma visual nini sijui , hicho kitengo kilikua chini ya computer science ,ila aliishi mabibo alikuwa na kigari hivi , ila alikuwa Matawi ya juu , ukilinganisha na sisi kina kaluma nzila . Hakugombania shuttle kama wengine kina kayumba walioiishi mabibo
Sawa mkuu lakini mimi nimeleta taarifa ambazo ninazo siku nyingi. AVU na sikuhizi CVL chini ya Idara ya Computer Science zamani au siku hizi chini ya COET pale UDSM wamewahi kutoa Degree , Diploma na Certificate. Wenye taarifa zaidi watujuze hasa wale classmate wake.WEWE NSDO UN MASHAKA NA TAARIFA ZAKO
ALISOMA UDSM IPI?
Wafuasi wake wanavyomwona ana akili sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Victoria umepatia...kulikua kuna kakitengo fulani hivi pale Faculty of Science kanahusu kitu kinaitwa "Virtual Learning" na mkuu wake alikua professor mmoja hivi wa Engineering alikua anaitwa Prof BMM Mwinyiwiwa...
Hicho kiprogram kilikua hakichukui waliofaulu form six,walikua wanachukua waliofeli na vi form four failure ni kama Mature Entry hivi na sidhani kama kulikua na kitu "degree" kwenye hiyo kitu...
Yaani huyu dada ni kilaaaza halafu mbwembweee,I really doubt ukweli wa anayosema[emoji23]
Hivi Mange akusoma UDSM? Mimi sijui au ni wewe haujui? Tena LLB.
Embu njoo unihakikishie kuwa ameishia darasa la 7.
Degreeeh? hapana bwana walikuwa hawatowi degreeSawa mkuu lakini mimi nimeleta taarifa ambazo ninazo siku nyingi. AVU na sikuhizi CVU chini ya Idara ya Computer Science zamani au siku hizi chini ya COET pale UDSM wamewahi kutoa Degree , Diploma na Certificate. Wenye taarifa zaidi watujuze hasa wale classmate wake.
MANGE KIMAMBI ndo yule aliyeshindwa urais na Trump?
😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Mbona kuna watu wanamuona Le mutuz ana akili? kumbe ni just another failure who is trying to make ends meetWafuasi wake wanavyomwona ana akili sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
exactly....hiyo si yeyeKaongea ukweli gani hapo ye ka screenshot tu...au hujaelewa hiyo picha...
Degreeeh? hapana bwana walikuwa hawatowi degree
Sema tu group lake lilikua la akina irene kiwia , loveness wale ndo walikuwa wanasomea degree . Ila Mange hana degree.labda hiyo MSc in bussiness administration , aliosomea DubaiVictoria umepatia...kulikua kuna kakitengo fulani hivi pale Faculty of Science kanahusu kitu kinaitwa "Virtual Learning" na mkuu wake alikua professor mmoja hivi wa Engineering alikua anaitwa Prof BMM Mwinyiwiwa...
Hicho kiprogram kilikua hakichukui waliofaulu form six,walikua wanachukua waliofeli na vi form four failure ni kama Mature Entry hivi na sidhani kama kulikua na kitu "degree" kwenye hiyo kitu...
Yaani huyu dada ni kilaaaza halafu mbwembweee,I really doubt ukweli wa anayosema[emoji23]
Hata wewe huenda wapo wanaokuona una maakili mengi mengi...Mbona kuna watu wanamuona Le mutuz ana akili? kumbe ni just another failure who is trying to make ends meet
Sema tu group lake lilikua la akina irene kiwia , loveness wale ndo walikuwa wanasomea degree . Ila Mange hana degree.labda hiyo MSc in bussiness administration , aliosomea Dubai
Nisingependa kuwataja majina humu classmate wangu elimu ya chini ya University ambao wamepata degree ya BSc Computer Science chini ya AVU-African Virtual University wakati huo inafadhiliwa kama sikosei chini ya wadenish kwa ushirika na Department of Computer Science back then 2002. Ila watu wa Diploma na Certificates walikuwa wengi. hata Mwaka 2011 au 2012 kulikuwa na rafiki yangu na classmate wangu alikuwa anasoma degree ya mambo ya ICT wakati huu kozi hii ilikuwa wanashirikiana na chuo kikuu flani cha India palepale UDSM kitengo cha CVL-Centre for Virtual learning ambayo zamani iliyoiitwa AVU.Degreeeh? hapana bwana walikuwa hawatowi degree
Kwa hiyo point yako ni irrelevantHata wewe huenda wapo wanaokuona una maakili mengi mengi...
Nisingependa kuwataja majina humu classmate wangu elimu ya chininya University ambao wamepata degree ya BSc Computer Science chini ya AVU-African Virtual University wakati huo inafadhiliwa chini ya wadenish nadhani. Ila watu wa Diploma na Certificates walikuwa wengi. hata Mwaka 2011 au 2012 kulikuwa na rafiki yangu na classmate wangu alikuwa anasoma degree ya mambo ya ICT wakati huu kozi hii ilikuwa wanashirikiana na chuo kikuu flani cha India palepale CVL-Centre for Virtual learning ambayo zamani iliyoiitwa AVU.