Mange Kimambi yumo humu JF....

sasa unaweza kulinganisha sisi wa st kayumba na watoto wa mr kimambi?
 
waambie mkuu mange kuhusu shule hana lolote bora mzee wake angempa tu hyo hela awekeze
 
executive secretary !
halafu kuna watu wakisikia secretary sijui wanachukuliaje
cheki maana ya secretary mkuu ! mimi sio office attendant
Hivi kumbe U-secretary sio kazi ya maana? Duh......au mi ndo sielewi hapa?
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
executive secretary !
halafu kuna watu wakisikia secretary sijui wanachukuliaje
cheki maana ya secretary mkuu ! mimi sio office attendant
Sawa.
Kuna sehemu nimekuta Senior secretary, principal secretary etc.
It depends upo wapi na unafanya kazi gani na qualification gani.
 
Mbona una sound kama Mange mwenyewe ?
 
Sema tu group lake lilikua la akina irene kiwia , loveness wale ndo walikuwa wanasomea degree . Ila Mange hana degree.labda hiyo MSc in bussiness administration , aliosomea Dubai
Sasa kafanyaje Msc wakati hana Bsc ?
Halafu inakuwaje ni Msc in Business administration ?
 
Mkuu kama unge andika kwa lugha ya kiswahili nahisi kinge nyooka. Hiki kimalikia Elizabeth hakija nyooka hapa.
Sema ningeshuka level yako ya lugha ungenielewa- Wana Shakespeare wote wamenielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…