In the first world we don't kiss arse-its your ability/intellect etc etc anything short of that-you are semi deadthat is just how Lemutuz roll,,he is comfortable with who he is,actually he isnt pretending to be young,and he isnt ashamed by the fact that he is above 50,his phsique doesnt bother him,he is just living the way he want,minding his own business,
aaand about kissing arses,am not sure,but arent we all at some point in life kiss some arses,
i mean if you are let say employed,kissing some arses become routine to you,
if you in business,you are sure going to kiss some arse to get maybe a loan,permit,etc
MIMI NI SECRETARY NILIKUWA NAMJIBU JAMAA ALOPONDA USECRETARY WANGU MKUUHivi kumbe U-secretary sio kazi ya maana? Duh......au mi ndo sielewi hapa?
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Okay![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]MIMI NI SECRETARY NILIKUWA NAMJIBU JAMAA ALOPONDA USECRETARY WANGU MKUU
Skin tight[emoji23]Umejiandaa lakini?! uko tayari kupokea matusi yake? maana nikisoma vitu vyake huwa naona amewatukana watu matusi ambayo yako uchi kabisa hayana hata skin tight
Hata kama anatumia jina lake, hiyo haiondoi ukweli kuwa anatukana akiwa kwenye comfort ya nyumbani kwake.Haogopi ndiyo , japokuwa anatukana mitandaoni ila ujumbe umefika , yupo tofauti sana na wewe , hapa penyewe tunatumia majina fake ,.Yule mwanamke ni something else.kutokana kwa jina lako la ukweli napo ni kipaji .
Pia yaweza kuwa ni ukichaa...kitendo cha kutumia real name tu ni ushujaa tosha
Hata wewe kazi ya kujamba unaiweza mkuu[emoji23] [emoji23]We jamaa kazi ya kunya barabarani unaiweza Mkuu.
Hey Nyani Ngabu niaje mazee...Njoo na ile nyingine sijui nini nini dude.
Bora nirudi Kagera kulikopatwa na tetemeko nikakate fito bibi yangu apate pa kulala!![emoji23][emoji23]shikamoo Mange akija mm niko Bkalikuwa udbs kule na sio law
Mkuu you had wrong info. Mimi nina rafiki zangu wako vizuri sana na o-level walipiga Div I , walipomaliza Six waka opt kusoma AVU now CVL kwa kigezo cha Course content bora ya BSc Comp. Jamaa wako vizuri sana kupiga Code mambo ya programming na academically wapo vizuri wengine wameajiriwa pale UDSM kitengo muhimu sana, naomba nisizidi kuongea mengi ambayo wenyewe wasingependa tuongee hapa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yu made my day nlikua cjacheka hv leo daaa.hatar sanaHalafu bora matusi basi huwa anakwenda mbali zaidi ya hapo ,anatafuta details zako zote unashangaa anaweka picha ya marehemu dada ya mwaka 90
Nasikia una ID 50 kidogo....Eti ukiingia Forbes NN net worth wanasema 50+JF IDsπππππ....Sasa inakuwaje watu wengi wanaku-suspect kwamba una ID nyingi tatizo ni nini?Hata wewe kazi ya kujamba unaiweza mkuu[emoji23] [emoji23]
Hata kama anatumia jina lake, hiyo haiondoi ukweli kuwa anatukana akiwa kwenye comfort ya nyumbani kwake.
Ningemwona ni jasiri kwelikweli endapo angekuwa anawatukana ana kwa ana hao anaowatukanaga.
Nyuma ya keyboard yeyote yule anaweza kuwa jasiri feki.
maybe,but if obama himself can kiss some arse,you could be very exceptional if you dont madame jack.In the first world we don't kiss arse-its your ability/intellect etc etc anything short of that-you are semi dead
Hata CHARMILTON ni ID yangu...Nasikia una ID 50 kidogo....Eti ukiingia Forbes NN net worth wanasema 50+JF IDsπππππ....Sasa inakuwaje watu wengi wanaku-suspect kwamba una ID nyingi tatizo ni nini?
Duh!Hapana mkuu sifa yake ya ujasiri apewe tu usimwonee wivu, kama sio Mange basi tutajie ni nani unayemwona jasiri anayeweza kuwatukana viongozi wote bila kuogopa? kwamba watu hawafahamu Mange anaishi sehemu gani marekani? Viongozi wangapi wanaenda marekani kila siku na wanashindwa kumfanyia umafia huko alipo?
Hawa wadada wanaomponda humu kina miss nafuta watakuwa ndo kina kichwa panzi, recho danga, milly a.k.a mwamvua, recho temu au mtoto wa rita ....kumtukana kule kawashinda sasa hasira zao wanamalizia hapa
Kwataarifa yenu mange huwepa taarifa , hata hapa mamoderata wanawez mpa mpa vilevile sasa akikushukia atawachamba hadi waliomakaburini,kwenu hata kuku hataachwa...
Mange anaongoza , Lema anafuata
ACHANA NAE MKUU KUNA WATU WAJINGA HUMU JF SIJAWAI ONAHata CHARMILTON ni ID yangu...
[emoji23][emoji23]mange hana mkopo yule aliishia la saba elimu yake kaunga unga sana ana certificate ya uarabuni ya sayansi kimu
Umejuaje ana IDs nyingi humu?Mange yupo na ID nyingi tu humu, zinaibukaga ikibidi ajiteteee.