Mange Kimambi yumo humu JF....

Mange Kimambi yumo humu JF....

that is just how Lemutuz roll,,he is comfortable with who he is,actually he isnt pretending to be young,and he isnt ashamed by the fact that he is above 50,his phsique doesnt bother him,he is just living the way he want,minding his own business,
aaand about kissing arses,am not sure,but arent we all at some point in life kiss some arses,
i mean if you are let say employed,kissing some arses become routine to you,

if you in business,you are sure going to kiss some arse to get maybe a loan,permit,etc
In the first world we don't kiss arse-its your ability/intellect etc etc anything short of that-you are semi dead
 
Haogopi ndiyo , japokuwa anatukana mitandaoni ila ujumbe umefika , yupo tofauti sana na wewe , hapa penyewe tunatumia majina fake ,.Yule mwanamke ni something else.kutokana kwa jina lako la ukweli napo ni kipaji .
Hata kama anatumia jina lake, hiyo haiondoi ukweli kuwa anatukana akiwa kwenye comfort ya nyumbani kwake.

Ningemwona ni jasiri kwelikweli endapo angekuwa anawatukana ana kwa ana hao anaowatukanaga.

Nyuma ya keyboard yeyote yule anaweza kuwa jasiri feki.
 
Mkuu you had wrong info. Mimi nina rafiki zangu wako vizuri sana na o-level walipiga Div I , walipomaliza Six waka opt kusoma AVU now CVL kwa kigezo cha Course content bora ya BSc Comp. Jamaa wako vizuri sana kupiga Code mambo ya programming na academically wapo vizuri wengine wameajiriwa pale UDSM kitengo muhimu sana, naomba nisizidi kuongea mengi ambayo wenyewe wasingependa tuongee hapa.

Mkuu hujanishawishi eti mtu ana kitu kama 1.4 au div 1 yoyote aache BSc IN Computer Science pale FIVE au kozi yeyote ya mfumo rasmi eti aje achague AVU ya course content?

Hebu toa Course Content za BSc in Comp Engineering ya AVU na Coet tuone ipi imeshiba...hamna section iliyochoka kama AVU...toa content za both sides japo kwa 1st Year tu.

Hivi vi-program kama AVU maprof wanaanzisha kama chanzo cha kupiga hela,hakuna kingine...

AVU walikua wanaenda Form Four mkuu,watu wanajishughulisha na Certificate na Diploma unaweka sawa na mfumo rasmi?Aisee tusitaniane kabisa.
 
Halafu bora matusi basi huwa anakwenda mbali zaidi ya hapo ,anatafuta details zako zote unashangaa anaweka picha ya marehemu dada ya mwaka 90
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yu made my day nlikua cjacheka hv leo daaa.hatar sana
 
Hata wewe kazi ya kujamba unaiweza mkuu[emoji23] [emoji23]
Nasikia una ID 50 kidogo....Eti ukiingia Forbes NN net worth wanasema 50+JF IDs🙁🙁🙁🙁🙁....Sasa inakuwaje watu wengi wanaku-suspect kwamba una ID nyingi tatizo ni nini?
 
Hata kama anatumia jina lake, hiyo haiondoi ukweli kuwa anatukana akiwa kwenye comfort ya nyumbani kwake.

Ningemwona ni jasiri kwelikweli endapo angekuwa anawatukana ana kwa ana hao anaowatukanaga.

Nyuma ya keyboard yeyote yule anaweza kuwa jasiri feki.


Hapana mkuu sifa yake ya ujasiri apewe tu usimwonee wivu, kama sio Mange basi tutajie ni nani unayemwona jasiri anayeweza kuwatukana viongozi wote bila kuogopa? kwamba watu hawafahamu Mange anaishi sehemu gani marekani? Viongozi wangapi wanaenda marekani kila siku na wanashindwa kumfanyia umafia huko alipo?

Hawa wadada wanaomponda humu kina miss nafuta watakuwa ndo kina kichwa panzi, recho danga, milly a.k.a mwamvua, recho temu au mtoto wa rita ....kumtukana kule kawashinda sasa hasira zao wanamalizia hapa

Kwataarifa yenu mange huwepa taarifa , hata hapa mamoderata wanawez mpa mpa vilevile sasa akikushukia atawachamba hadi waliomakaburini,kwenu hata kuku hataachwa...

Mange anaongoza , Lema anafuata
 
In the first world we don't kiss arse-its your ability/intellect etc etc anything short of that-you are semi dead
maybe,but if obama himself can kiss some arse,you could be very exceptional if you dont madame jack.
obama-bow-saudi-king-680x365.jpg
.

After All The Butt Kissing, Saudis Still Reject Obama - Truth And Action
 
Nasikia una ID 50 kidogo....Eti ukiingia Forbes NN net worth wanasema 50+JF IDs🙁🙁🙁🙁🙁....Sasa inakuwaje watu wengi wanaku-suspect kwamba una ID nyingi tatizo ni nini?
Hata CHARMILTON ni ID yangu...
 
Hapana mkuu sifa yake ya ujasiri apewe tu usimwonee wivu, kama sio Mange basi tutajie ni nani unayemwona jasiri anayeweza kuwatukana viongozi wote bila kuogopa? kwamba watu hawafahamu Mange anaishi sehemu gani marekani? Viongozi wangapi wanaenda marekani kila siku na wanashindwa kumfanyia umafia huko alipo?

Hawa wadada wanaomponda humu kina miss nafuta watakuwa ndo kina kichwa panzi, recho danga, milly a.k.a mwamvua, recho temu au mtoto wa rita ....kumtukana kule kawashinda sasa hasira zao wanamalizia hapa

Kwataarifa yenu mange huwepa taarifa , hata hapa mamoderata wanawez mpa mpa vilevile sasa akikushukia atawachamba hadi waliomakaburini,kwenu hata kuku hataachwa...

Mange anaongoza , Lema anafuata
Duh!

Sasa nimwonee wivu wa nini? Matusi anayoyaporomoshaga?

Come on now.

Yeyote anayetukana mitandaoni ni fisi tu, point blank period.
 
Mange yupo na ID nyingi tu humu, zinaibukaga ikibidi ajiteteee.

Zingine amezitema sababu ya kujulikana.
 
Back
Top Bottom