Mange Kimambi yumo humu JF....

Kilikua kinaitwa AVU, ni kama affiliation Fulani hivi
 
ACHANA NAE MKUU KUNA WATU WAJINGA HUMU JF SIJAWAI ONA
Hivi bado hawajasema kuwa na wewe ndo mimi?

Manake sasa nasingiziwa kila aina ya ID[emoji23] [emoji23].

Natabiri hii siku haitaisha kabla ya mtu kudai Miss Natafuta ndo Nyani Ngabu [emoji23].

Majinga sana haya mamtu.
 
ACHANA NAE MKUU KUNA WATU WAJINGA HUMU JF SIJAWAI ONA
We binti POVU lote hilo ni kwa ajili ya nani?....Mimi nimeuliza kwa utaratibu wala sipo serious kiasi cha kukutapisha mapovu......Hivi kumbe kuna watu mnachukulia mizaha ya JF kama uhalisia?
 
Umejiandaa lakini?! uko tayari kupokea matusi yake? maana nikisoma vitu vyake huwa naona amewatukana watu matusi ambayo yako uchi kabisa hayana hata skin tight
Aisee mbn mjinga ww? Ss yy nani kwni? Halafu nikwmbie ki2 kimoja ujue!! Usione anavyoropoka ukazani anaogopewa!! Hajaamuliwa tuu, usione watu wmekaa kimya yy ni mtu mdogo sna tena sna!! Serikali ikimuamulia ni siku kadhaa tuu mbn, just imagine serikali ina jeshi, kodi na mahakama, yy jee? [emoji45] [emoji45] [emoji45]
 
Nenda kaulize vizuri hiyo programme ilikuja kwa majaribio na ikasitishwa. Ilikuwa chini ya Department of Comp Science kupitia AVU-African Virtual University na chuo flani kama sio wamarekani ni wadenish. Jaribu kumtafuta mwalimu Abdil au Babu Dr. Koda watakupa info usiwe mbishi. Sasa nenda pale kitengo cha ARIS kawaulize kuna mtu alisoma hii programme. Wabongo kwa kudhania wanajua kila kitu wakati walikuwa hawana taarifa sahihi. Lack of knowledge of existence of something does not mean it doesn't exist or it never existed at all.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…