Mbona ya kusagana hayasemi? Au tumsaidie ,maana
Mdomo unawashaa ata chai sijanywa apa
Mie tena, nshamaliza assignment, kumbe aligombana na esha buheti, mdada mmoja ivi wa bongo movie,alikuwa anamrusha roho naona walikuwa wanachat na ndikumana nimeona chat zao, nyie ndikumana mswahili yule jaman, uwoya ana haki ya kuchepuka, yani ana maneno warumi anasubir khaa, ndio ivo bibie uwoja jana kapanick, akawa anampa madongo esha kuwa anajipendekeza kwa mumewe
NItashangaa kama biashara yote ile aliyokua akifanya bado anaishi maisha magumu, maana alikuwa ana deal na waheshimiwa na wazungu matajir, yani wengi sana kawaoa madil ya kwenda south, na ulaya
Mie tena, nshamaliza assignment, kumbe aligombana na esha buheti, mdada mmoja ivi wa bongo movie,alikuwa anamrusha roho naona walikuwa wanachat na ndikumana nimeona chat zao, nyie ndikumana mswahili yule jaman, uwoya ana haki ya kuchepuka, yani ana maneno warumi anasubir khaa, ndio ivo bibie uwoja jana kapanick, akawa anampa madongo esha kuwa anajipendekeza kwa mumewe
Mbona ya kusagana hayasemi? Au tumsaidie ,maana
Mdomo unawashaa ata chai sijanywa apa
Hahahah mnataka list ya wanaume mtamfanya mwenzenu afungwe bure hasa atakapoifikia ile namba ya Wakili sijui Mwanasheria yule wa IMMA sijui yule alimchapaga makofi kiwanja sijui ndo mwaita Level 8 nini nini...
Eh mdomo koma eh.... usinchonganishe na Shutup Law mie.
I love her. She is very open kwakweli
weee...!!!binamu wadada wa mjini wa enzi hizo wengi geto lilikua kwa kine fide pale wanajijua kwa majina
wengine ssa hv wake za waheshimiwa sana,mara wameolewa na wazungu,wengine wana NGO'S then pretend that education is sexy while the power of their pussy put them where they ar now...
hapa mjini hasa dar wadada wengi wengi tena walikua wauzaji wakubwa tu wa nyapu...
shoati insta bado haijachafuka??????
Ila ushosti mkishazidi 3 lazima kuwe na mvurugano.......
Haswa ushoga wa mjini ambao wako kimaslahi zaidi na kumaintain status.....
Mswaki je binamu... huo ushaupiga
sijaingia tangu jana.. Leo jf tu
marafiki wengi wa kazi gani... Circle yenu inakua kusemana
Mswaki wangu umbea, mswaki upi tena? Apa sura limenivimba nakwambia ukiniona utataman kukimbia ata uso sijanawa mwenzangu,mi brekafast yangu umbea tu menginr baadae
Binamu nimeona hiyo msg za ndikumana huko IG....
I wonder irene aliwezaje kuishi na mwanaume mwenye vijembe vile khaaaa
sijaingia tangu jana.. Leo jf tu
marafiki wengi wa kazi gani... Circle yenu inakua kusemana
warumi kiboko. Aliweka wazi kabisa ndo yamejirudia Leo. Na huyo bwana nasikia alikuwa na MTU wanaishi km hubby and wife thou ndoa ilikuwa bado. Flavy akamnyakua.
binamu nimeona hiyo msg za ndikumana huko ig....
I wonder irene aliwezaje kuishi na mwanaume mwenye vijembe vile khaaaa
Hicho kiflaviana kumbe ndio kinafki hivyo?Halafu umeona ile comment ya anavyopigwa three some na akina FA? Ni balaa.
Sio wanaume wote wana tabia hyo, kuna baadhi wanajiheshimu tu na hawaendekez majungu, japokuwa asilimia nyingi kwel wapo wenye tabia izo, yote tisa, kumi omba mungu usikutane na mtu anaitwa warumi, utajuta kuzaliwa hakyamungu