Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange ni mkweli na ukweli wake ndo unafanya awe na maadui wengi,kwa sbb watu hawapendi ukweli.
Ukweli wa kutoa siri za mashost? Wangemalizana hukohuko ili ku keep friendship. Urafiki ni gharama sana, lazima uwaelewe na kuwapenda marafiki.
Mtu akiwa anakurupuka na decisions za kum favor yeye binafsi, urafiki hauwezi kudumu.
Kuna siku kwa blog yake aliandika, bi fulani (mpole mno na rafik wa kigroup chao) alisaliti ndoa yake akalala hotel flani na fulani.
Yaani, sikumuelewa kabisa huyo msema kweli. Mi hata tukosanaje na shosti.. Bado siri yake ni yangu
 
Huyo mke wa mihayo ni shida. Halafu mihayo na akili zote akazama mazima. Suicide inaitwa hiyo.

Wahuni wanakwambia demu alichungulia Alaina mihayo Yuko potential kuwa tajiri akajilengesha.

Maana ukiangalia trend hata ya mama kuzama kwa Waziri mkuu ni Kama business plan Fulani hivi watoto wa mjini wanaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom