Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mangereza ana mashauzi ka pichu ilokosa mpira,na hivi anajshaua kakulia familia matawi tabia zake ziko kilimbukeni km vile Mambo kayaonea ukubwani kibaya ka kibibi jitu kutukana watoto wa wenzie wakati yeye ana wa kwake kidogo afanane na nyara za serikali ya tz,Mungu anisamehe lkn lol Uzee wake sijui utakuwaje ndo maana kukosa pesa ya kurudishia zile silicon kwenye kalio over
 
Jamani nasikia hiki kibibi kilitiwa nguvuni jana,,je kimeshatoka au??
 
Sasa hao wote wanatakiwa kumfungulia mashitaka maana wote aliwatukana yeye kwa mdomo wake mchafu.
 
chance ya lemutuz kuwa karibu na dada ake Mwele kupitia ishuu hii

maana upo live for breaking news kama kawa panapompa kitu hakosi now undugu atauivisha kwa raha zake
 
Mbona ile thread yake siioni tena imepotea au mimi macho yangu
 
Nasikia Kibatara na Joyce Kiria ndio walienda pale kituoni kwa ajili ya kumdhamini
 
Back
Top Bottom