Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Ni figoKile ki kenzo, si kiliwahi kuumwa maini, sijui figo!
Watoto wake anawaita Malaika wa wenzie ni kina nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni figoKile ki kenzo, si kiliwahi kuumwa maini, sijui figo!
Watoto wake anawaita Malaika wa wenzie ni kina nani?
[emoji106]Mange ni mkweli na ukweli wake ndo unafanya awe na maadui wengi,kwa sbb watu hawapendi ukweli.
Mzee mamaAliefufua huu uzi kanikumbusha sana U turn. Umeumiza hisia zangu maana nilikua nacheka sana na kula ubuyu wa mjini
Mshaurini Mange atilie mkazo app yake itamtoa kwa fanbase aliyonayoAliefufua huu uzi kanikumbusha sana U turn. Umeumiza hisia zangu maana nilikua nacheka sana na kula ubuyu wa mjini
Kuna nini kimetokea jf.
Mbona kuna id fulank fulani za wakongwe zimeanza kuwa active kwa mpigo ?
Habari ya huko mlikotoka
charminglady
Ila Flaviana toka akiwa shule hakuwa binti mzuri mwenye kupendeka. Alikuwa mnafk sanaNilisoma hadi nikachoka refu hilo. Cha Flaviana na Magese vimenishangaza mno. Hao ndo marafiki ati!
Flaviana toka shule alikuwa mnafk sana. Wenzie wengi hawakumpenda. Sura yake na nyota vilimbebaNa ni mnafiki kweli akiwa nje ana pretend ka malaika kumbe na mchafu ka wengine. Hyo ya mwa FA kumla mzigo niliona. Kumbe na yeye wale wale. Ana mpapu mwenzake andika hivi hafu baadae anamponda hajielewi loh!
Ila naye mange hayuko reserved. Yaan akiamua kumwagika haangalii nini ni nini na wapi. Hebu tuone umbea wa mjini utasemajeIla baada ya ile posti ya mange siri zote za uvunguni za wote 26 zitakuwa hadharani.... labda mange abanie comment
Nzuri
I miss you my daughter
Mange hafai kuwa bff. Mkizinguana hata kidogo tu, siri zote zinamwagwa hadharani. Juzi kati alitupia siri za mdogo wake ambae hawakukutana road, Wema.Ila naye mange hayuko reserved. Yaan akiamua kumwagika haangalii nini ni nini na wapi. Hebu tuone umbea wa mjini utasemaje