Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapuuzi wote tumekutana upuuzini, hahah hahah
Ndo sawa mtu ukutane na mchawi mwenzio usiku mkiwa uchi wa mnyama mnawanga, halafu wewe unamuuliza mwenzio wewe unawanga? Apo ushasahau kuwa na wewe unafanya vile vile, hahaha haah
Hahahahahaa hata mimi nitataka hayo maoffer ila sio kwa kujipendekeza kule kwakweli.
Mwamvita anamaanisha South Africa alipohamia kikazi.
Mie nahisi pia konections nazo lazima bibie Nacky alizitaka maana hakuna kingine Mange anamkandia zaidi ya kujipendekeza na umbeya, so lazima ana akili fulani ya maendeleo na kusaka pesa.
Ni kama wake wanaoshinda wanasumulia rafiki zao juu ya waume zao bila kuficha kitu...lol
Dada wa south siyo Mwamvita kuna mdada sijui hata jina lake yupo New York kwa sasa
Twende pm naogopa kumchafua madame, maisha matamu
Miss you too dear, wewe nae unapotea sana bibie khaaa!
warumi itabidi ufungue group humu sijui yanaitwaje yale tujiunge tupate ubuyu....bado nacheka na uliyosema ya wanga kukutana usiku...lolWaaaiiii na nyie hata hamnogeshi huu ubuyu. Sasa sisi wengine msiotuita PM tufanyeje?
Network niliko ni tabu kweli niko madongo poromoka huku umbew wanipita fyuuuuuuu
warumi itabidi ufungue group humu sijui yanaitwaje yale tujiunge tupate ubuyu....bado nacheka na uliyosema ya wanga kukutana usiku...lol
Ndio mambo ua udaku wa nisiowajua najiwekea jina naendelea kusoma....lol
warumi itabidi ufungue group humu sijui yanaitwaje yale tujiunge tupate ubuyu....bado nacheka na uliyosema ya wanga kukutana usiku...lol
Hata mimi nilishawaza hiki kitu.Na tunataka wambea tu watu wengine hatuwataki.
Sasa wale ambao hua wanapita huku kusoma umbea itakula kwao...
Natamani mimi ndio nipewe access ya kuruhusu members, nitahakikisha hakuna zaidi ya wambea kwenye hilo group. warumi fanya hivyo basi....au mbea mwingine anayejua kufanya hilo jambo.
Aahahah hahahah, nimejikuta na mimi nikicheka kwa nguvu apa navutia picha apa, unakuta mtu mchana anakwambia mchawi, then usiku mnakutana wote uko mnawanga uchi wa mnyama, halafu unakuta anakuuliza we mchawi eeh? AHaha hahaha mbavu zangu