Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Nimemkubali sana huyu mwana mama, anaandika vizur, na anajua kuteka akili za watu kupitia maandishi yake, she is good, nimempenda

Hata mi nimemkubali ni good narrator ingawa no one is perfect under the sun. Hongera zake.
 
Nimetoka kulisoma huko u turn nusu saa iliyopita hadi kichwa kinauma kwakweli.
Hongera zake, ni typist mzuri sana.

Nimependa alivyoelezea bifu lake na millen, eti anakiri kabisa ye mbea ni kweli alimkosea, hahahah ahah ,yupo vizur

Katika wanawake wote alio beef nao naona wengi ni wanawake wa nguvu, wenye maisha yao na hadhi zao, kasoro sintah tu ndo naona kidogo anamuonea sidhan kama ni level zake
 
Nimemkubali sana huyu mwana mama, anaandika vizur, na anajua kuteka akili za watu kupitia maandishi yake, she is good, nimempenda

Hahahahaa binamu sijawahi kukuona ukimkubali Mange ila leo tu.
 
Mjini sihami

Hivi wadau walipodai anatimu ya mpira amegombana nayo ni kweli.... Kahhhh ... Atakuwa na serious problem huyu bint...

Na huyu number 9 inaelekea hata akiwa na uchungu atazaa ameweka caps kabisa I HATE this woman,,
Dah
 
Hicho kiflaviana kumbe ndio kinafki hivyo?Halafu umeona ile comment ya anavyopigwa three some na akina FA? Ni balaa.

Na ni mnafiki kweli akiwa nje ana pretend ka malaika kumbe na mchafu ka wengine. Hyo ya mwa FA kumla mzigo niliona. Kumbe na yeye wale wale. Ana mpapu mwenzake andika hivi hafu baadae anamponda hajielewi loh!
 
Huyu Mange na babu yake BADILI TABIA bora waoane tuu...yani wanapenda umaarufu wakijinga kabisa yani anaona sifa kugombana hata na dunia nzima duu!
Halafu karibu 99.9% ni wanawake wenzie....duu nimeamini kikulacho ki nguoni mwako maana wengi wao walikuwa marafiki zao!

Kuna msanii alisema hivi!
" Huwa na na mshangaa na sijui inakuwaje...ninapo muomba Mungu anipunguzie wanifi ndipo ninapo wapoteza marafiki-Fidq "

Mtu kama Mange hawezi kuwa na urafiki na mtu kwa sababu anapenda umaarufu wakijinga kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Na ni mnafiki kweli akiwa nje ana pretend ka malaika kumbe na mchafu ka wengine. Hyo ya mwa FA kumla mzigo niliona. Kumbe na yeye wale wale. Ana mpapu mwenzake andika hivi hafu baadae anamponda hajielewi loh!

Mwenzangu nimechokaje? Ila hilo suala la Flaviana kumteta Millen nilishalisikia na hii leo nilivyosikia na mengine nimeamini.
Hilo la kugawa ....... niliwahi kusikia pia hayuko nyuma shoga.
 
HUlka yake ndio inamfanya aonekane mbaya, duh nimechoka flavy kumbe nae mbea eeh? Loh ndio maana hakanenepi

Hahahaa leo tumejua na tutazidi kuyajua mengi ngoja comments ziongezeke.
 
Msipende kusikiliza upande mmoja.

Inabidi wajibu nao kwa kweli tusikie pande zingine.

Lol natumaini amejijua makosa yake maana bado hajaandika wotee, hata wasio julikana nao ni binadamu.

Na ndugu zake awaweke pia, itamsaidia rohoni kujisafisha.
 
Mwenzangu nimechokaje? Ila hilo suala la Flaviana kumteta Millen nilishalisikia na hii leo nilivyosikia na mengine nimeamini.
Hilo la kugawa ....... niliwahi kusikia pia hayuko nyuma shoga.

Hilo la kumpondea Millen sijui kigongwe hapati deal kubwa ka yeye niliskia kitambo kidogo. Nikasema huyu Dada mbona huwa mpole na leo nimeona tena ngachoka kabisaaaa.
 
Aintah alidandia treni kwa mbele

Alivyoona ngoma nzito ikabidi aingie mitini (chezea kupigwa biti la picha zake za uchi kutupiwa uturn)


 
Hilo la kumpondea Millen sijui kigongwe hapati deal kubwa ka yeye niliskia kitambo kidogo. Nikasema huyu Dada mbona huwa mpole na leo nimeona tena ngachoka kabisaaaa.

Kitajiju na umbea wake bwana.Ndio walewale akina Nancy wapole wa sura rohoni chui mwenye njaa kali.
Tusubiri hiyo ndoa yake sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…