Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ushoga wa wanawake hasa wawe na uswahili sasa ndo shiider. Mfano mko watatu ukiondoka tu wewe wanaanza kuku discuss mapungufu yako.
Na unakuta mwingine ka mumeshibana naye kwenye group lazima akukosanishe na yule maana anaona ka unafaidi bure.

Mfano hyo ya Mwamvita na Mange kuwa introduce hao marafiki kwa Mwamii na wale wakaanza chokochoko kwa mwami wakifikiri mwenzao ana faidi kumbe wala na ukute mwapiga story mnamwongelea mmoja yeye atatoka akamwambie flani anakusema hivi na vile sijui nin?
Mi nakua na rafiki najiwekea mipaka asinijue sana zaidi ya juu kwa juu wanawake sometimes hatueleweki na unaye mu trust ndo anakugeuka.

Tulivyo wadada wengi kwetu kitchen party hatualiki mtu maana wenyewe tunatosha sijui rafiki wa kutafutana nae undani nitamtaka wa nini.. mara chache sana utampata rafiki wa ukweli wewe unaweza kuwa wa kweli kwake yeye akakuona kiazi tu.
 
Umekipata ulichokitaka, nakujua sana wewe mwanamke!
Hahahahahaa!


acha uchawi hujui mwez mtukufu umekaribiaaa,basi na Mie sitaki Geniveroz awemo alaaaaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
siku hizi unauza fish? mbona hukusema ningekununuza ila ndo ushachelewa nimetoka kidogo


heheeeeeeeee yoloooo nauza samaki aina wote nipe namba yako nikutumieee 😆😄
 
Jamani jamani mtamkosesha Max ulaji... jukwaa hili lilikuwa linajaa kwa umbeya sasa umbeya mumeamua kuupeleka strong room?!

Tuoneeni huruma na sie tusio na mashoga jamaani
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom