Jamani kuna watu wapya nimewatumia invitation za lile group letu, nao ni witnessj Avemaria na BADILI TABIA.
Waliokwisha kutumiwa invitation tokea jana na hadi sasa hawajajiunga ni Diva Beyonce warumi binti kiziwi TATIANA na geniveros
Kwani geniveros hujaona kama nilishammention? Hapo labda Mrembo by Nature Heaven Sent na tumuongeze na Honey Faith na J.lee
Huyo Paula kilaki ana umbea gani? Mimi simuonagi labda kwenye mambo ya Domo tu.
Huko hatutaki hayo mambo tunataka umbea tu, upo?
Haya mambo sijui ya timu nani sijui timu nini yasiwepo kuwe na umbeya mwanzo mwisho.
Kwani geniveros hujaona kama nilishammention? Hapo labda Mrembo by Nature Heaven Sent na tumuongeze na Honey Faith na J.lee
Huyo Paula kilaki ana umbea gani? Mimi simuonagi labda kwenye mambo ya Domo tu.
Huko hatutaki hayo mambo tunataka umbea tu, upo?
hhheeeeeeeeeeeee uwiioo
Ushoga wa wanawake hasa wawe na uswahili sasa ndo shiider. Mfano mko watatu ukiondoka tu wewe wanaanza kuku discuss mapungufu yako.
Na unakuta mwingine ka mumeshibana naye kwenye group lazima akukosanishe na yule maana anaona ka unafaidi bure.
Mfano hyo ya Mwamvita na Mange kuwa introduce hao marafiki kwa Mwamii na wale wakaanza chokochoko kwa mwami wakifikiri mwenzao ana faidi kumbe wala na ukute mwapiga story mnamwongelea mmoja yeye atatoka akamwambie flani anakusema hivi na vile sijui nin?
Mi nakua na rafiki najiwekea mipaka asinijue sana zaidi ya juu kwa juu wanawake sometimes hatueleweki na unaye mu trust ndo anakugeuka.
Pouwaaa naja maeJamani kuna watu wapya nimewatumia invitation za lile group letu, nao ni witnessj Avemaria na BADILI TABIA.Waliokwisha kutumiwa invitation tokea jana na hadi sasa hawajajiunga ni Diva Beyonce warumi binti kiziwi TATIANA na geniveros
nimekaa kifungoni hadi nimechoka akau mie nimeingilia mlango wa nyuma sasa
siku hizi unauza fish? mbona hukusema ningekununuza ila ndo ushachelewa nimetoka kidogonauza bado hehehehehehe
nimekaa kifungoni hadi nimechoka akau mie nimeingilia mlango wa nyuma sasa
siku hizi unauza fish? mbona hukusema ningekununuza ila ndo ushachelewa nimetoka kidogo
nimekaa kifungoni hadi nimechoka akau mie nimeingilia mlango wa nyuma sasa
Utakuwa Mrembo by Nature wewe.....hahahaaaa.
hhhhhaaa poye shostiiiiiiiiiiiii,ndio hivyo wasikuchosheee, hata wa katikati tutapita Tu
Asante MonitaHatukujui
Kwani geniveros hujaona kama nilishammention? Hapo labda Mrembo by Nature Heaven Sent na tumuongeze na Honey Faith na J.lee
Huyo Paula kilaki ana umbea gani? Mimi simuonagi labda kwenye mambo ya Domo tu.
Huko hatutaki hayo mambo tunataka umbea tu, upo?