BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Huyu Mange na babu yake BADILI TABIA bora waoane tuu...yani wanapenda umaarufu wakijinga kabisa yani anaona sifa kugombana hata na dunia nzima duu!
Halafu karibu 99.9% ni wanawake wenzie....duu nimeamini kikulacho ki nguoni mwako maana wengi wao walikuwa marafiki zao!
Kuna msanii alisema hivi!
" Huwa na na mshangaa na sijui inakuwaje...ninapo muomba Mungu anipunguzie wanifi ndipo ninapo wapoteza marafiki-Fidq "
Mtu kama Mange hawezi kuwa na urafiki na mtu kwa sababu anapenda umaarufu wakijinga kabisa!
Na ni mnafiki kweli akiwa nje ana pretend ka malaika kumbe na mchafu ka wengine. Hyo ya mwa FA kumla mzigo niliona. Kumbe na yeye wale wale. Ana mpapu mwenzake andika hivi hafu baadae anamponda hajielewi loh!
Kitajiju na umbea wake bwana.Ndio walewale akina Nancy wapole wa sura rohoni chui mwenye njaa kali.
Tusubiri hiyo ndoa yake sasa.
Msipende kusikiliza upande mmoja.
Hivi anaolewa na nani huyo Flaviana. Kuna kipindi niliona amevishwa Pete.
Mjini sihami
Nyani Ngabu raia zako huko kwa wapiga box haujawapangia utaratibu wa kupima afya za akili zao? Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Mange ni mzima.
Njoo Yaeda bana.........
nataka nimualike Mange aje nimpatie asali........coz pombe hanywi..........
namkubali sana huyu dada............
Mie pia kwa posti ya leo nimempenda bure....
Nani anakubali kuanika mapungufu na madhaifu yake na kukiri alipokosea au kupatia hadharani???
Anyway...nikija yaeda maubuyu ya mjini nitapata????
Hivi anaolewa na nani huyo Flaviana. Kuna kipindi niliona amevishwa Pete.
Mimi ni mke wa balozi.......minara yote ya mawasiliano tunaimiliki..........labda siku moja moja tukiamua kuifunga..............
Somebody Deo I think......mi watu wa Daresalama siwajui vizuri........
Asee..hawa si ndugu
Ikumbo
Nafue
Nacky
Na wote kagombana nao
kwa nacky na Flavian nawajua fika alichosema mange ni u kweli mtupu ni watu wabaya mno.....kuna mmoja wa hao aliniumiza mnoooo ...ni maelezo marefu siwezi andika hapavuruga kabisa.........ila huyo Nacky atakuwa wa namna gani........?.......mbona wanamuongelea vibaya hivyo........?........
vuruga kabisa.........ila huyo Nacky atakuwa wa namna gani........?.......mbona wanamuongelea vibaya hivyo........?........
kwa nacky na Flavian nawajua fika alichosema mange ni u kweli mtupu ni watu wabaya mno.....kuna mmoja wa hao aliniumiza mnoooo ...ni maelezo marefu siwezi andika hapa
kwa nacky na Flavian nawajua fika alichosema mange ni u kweli mtupu ni watu wabaya mno.....kuna mmoja wa hao aliniumiza mnoooo ...ni maelezo marefu siwezi andika hapa