Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

kwa nacky na Flavian nawajua fika alichosema mange ni u kweli mtupu ni watu wabaya mno.....kuna mmoja wa hao aliniumiza mnoooo ...ni maelezo marefu siwezi andika hapa

Mwaga ubuyu banaa.....

Kumbe huyo nacky ana mambo mabaya kama anavyosifika mitandaoni?????

Kuna mwwnye kapicha kake???

Au anatumia id gani IG ( sipati picha followers watakaowakusanya leo)
 
Hivi anaolewa na nani huyo Flaviana. Kuna kipindi niliona amevishwa Pete.

Sikumbuki anaitwa nani yule mkaka ila ni kijana wa kichagga. Mdakuzi aliwahi kuweka picha yake huku kipindi fulani.
 
Last edited by a moderator:
kwa nacky na Flavian nawajua fika alichosema mange ni u kweli mtupu ni watu wabaya mno.....kuna mmoja wa hao aliniumiza mnoooo ...ni maelezo marefu siwezi andika hapa

Hebu funguka tujue vizuri mana kwa vile Mange kaongea watajua ni uzushi. Ikiwezekana na picha zao mweeeeeh.
 
Hebu funguka tujue vizuri mana kwa vile Mange kaongea watajua ni uzushi. Ikiwezekana na picha zao mweeeeeh.

Hahahahaa watu mnavyopenda umbea ni balaa.Huyo dada anavyoombwa autoe huo ubuyu na atuambie tu. warumi angekuwepo sijui ingekuwaje!
 
Last edited by a moderator:
Sikumbuki anaitwa nani yule mkaka ila ni kijana wa kichagga. Mdakuzi aliwahi kuweka picha yake huku kipindi fulani.

Nakumbuka hata mimi niliona picha zake kipindi flani. Ila sikumbuki ni wapi.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaa watu mnavyopenda umbea ni balaa.Huyo dada anavyoombwa autoe huo ubuyu na atuambie tu. warumi angekuwepo sijui ingekuwaje!

Ubuyu nusu nusu haunogi kabisa yani. Afunguke bwana hao wadada nawaskia tu sijajui sura SIERA funguka buaaana.
 
Last edited by a moderator:
Hats warumi alishaisema hii ya three some kipind flani. Itakuwa ni kweli

Ohoooo, nimekumbuka kweli aliwahi kusema.Kweli nimemvulia kofia warumi ni mbea aliyeshindikana!
Bibie naona kawa mzungu haswaaa!
Waafrika na three some wapi na wapi?
 
Last edited by a moderator:
Ubuyu nusu nusu haunogi kabisa yani. Afunguke bwana hao wadada nawaskia tu sijajui sura SIERA funguka buaaana.

Hahahahaaa, tutamuombaje sasa? Na atuambie tu kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
Mwaga ubuyu banaa.....

Kumbe huyo nacky ana mambo mabaya kama anavyosifika mitandaoni?????

Kuna mwwnye kapicha kake???

Au anatumia id gani IG ( sipati picha followers watakaowakusanya leo)

Unaniangusha sasa.......mjini uhami na watu huwajui..........nenda kwa Shamim tea party angalia mdada aliyejipakaaaaaaa kuliko wote..........huyo huyo.......
 
Aisee mtu inakuaje unataka majina namna hii online iwe kweli au si kweli?

Yaani kuna watu vichaa,huyu dada kama ni mtu anae exist basi si mzima kabisa..

Tupac was dead because of his big mouth,sasa huyu mtu sidhani kama ana maisha marefu kiivyo,they will close her up!
 
Ohoooo, nimekumbuka kweli aliwahi kusema.Kweli nimemvulia kofia warumi ni mbea aliyeshindikana!
Bibie naona kawa mzungu haswaaa!
Waafrika na three some wapi na wapi?
warumi kiboko. Aliweka wazi kabisa ndo yamejirudia Leo. Na huyo bwana nasikia alikuwa na MTU wanaishi km hubby and wife thou ndoa ilikuwa bado. Flavy akamnyakua.
 
Last edited by a moderator:
Ohoooo, nimekumbuka kweli aliwahi kusema.Kweli nimemvulia kofia warumi ni mbea aliyeshindikana!
Bibie naona kawa mzungu haswaaa!
Waafrika na three some wapi na wapi?

Eehe kumbe mnakumbuka eeh? Yule anajificha mauchafu yake, maana three some kwao ni fashion, jaman mdada kafanywa yule, mpaka kupata madeal uko south na nchi nyingine kashachezea sana duduz, hawa wanaoenakana wasaf kwa kuwa image yao waliojiwekea kwenye jamii tu ila ni wachafu mama ubaya anasubir, sema wema mcharuko tu na watu wanamfuatilia sana ila ngoma zile mtu nyeusi ni noma
 
Last edited by a moderator:
Hats warumi alishaisema hii ya three some kipind flani. Itakuwa ni kweli

Enzi izo fiderin iranga ndo kuwadi mkubwa apo bongo, anajifanya anawaunganishia watu umodo kumbe anawauza kwa wanaume, kashawauza sana hadi akina naniliuu, kuna lijumba lao la ufirauni uko oysterbay yan ni shidaa, wale kwa umalaya wameshindikana sema wanajificha tu, mama ubaya anasubir
 
Last edited by a moderator:
Eehe kumbe mnakumbuka eeh? Yule anajificha mauchafu yake, maana three some kwao ni fashion, jaman mdada kafanywa yule, mpaka kupata madeal uko south na nchi nyingine kashachezea sana duduz, hawa wanaoenakana wasaf kwa kuwa image yao waliojiwekea kwenye jamii tu ila ni wachafu mama ubaya anasubir, sema wema mcharuko tu na watu wanamfuatilia sana ila ngoma zile mtu nyeusi ni noma

Wema wala hana ubaya Wa hivyo sema bongo ushuzi wenzake ndo wanampaka fitina
 
The funny thing kwenye whole story yeye ana print picture kwamba ni mtu makini hao wengine wote ndio wana matatizo...

Sidanganyiki na hiyo narration...yaani anajenga picture kwamba yeye msafi,cha ajabu wafuasi lazima waikariri hii bila kuuliza mizani
 
Loh warumi mhhh kote huko kutaka umbea hadi kujifanya Wa mjini hehehe

Chezeya binamu? MJini apa lazima ujiongeze, utapataje umbea sasa? Ila mange kiboko kwa umbea aisehh, inabid nimfuate niombe collaboration tulisongeshe gurudumu la umbea Africa mashariki khaa, ila mbona scandal yao ya usagaji anaizima? Atuelezee jaman yale ma msg ya mtongozo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom