Mange na Kimambi wazaliwa

Shost yangu kajifungua watoto mapacha, wakike na wa kiume.
Wanafamilia wamekaa pamoja na kuwapa watoto hao majina.
Msichana ameitwa Mange na Mvulana anaitwa Kimambi.
Hongera zake kwa kupata watoto mapacha
Duuuh! [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Shost yangu kajifungua watoto mapacha, wakike na wa kiume.
Wanafamilia wamekaa pamoja na kuwapa watoto hao majina.
Msichana ameitwa Mange na Mvulana anaitwa Kimambi.
Hongera zake kwa kupata watoto mapacha
hahahahahaha uwii mange ataiona maana yupo humu
 
Shost yangu kajifungua watoto mapacha, wakike na wa kiume.
Wanafamilia wamekaa pamoja na kuwapa watoto hao majina.
Msichana ameitwa Mange na Mvulana anaitwa Kimambi.
Hongera zake kwa kupata watoto mapacha
Mpelekee Mange hii habari lakini usisahau kumuomba afiche ID yako.
 
Kimambi sio jina la kwanza ni jina la ukoo so haileti mantiki....
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mtani nilivuta bangi kidogo wakati na post hiyo hahahahahha ni jokes tu
NGOJA AJE AKILI ZAKE ZINAMTOSHA MWENYEWE HAHAHA NIKIWA NA STRESS NAINGIA KWENYE PAGE YAKE UANDISHI WAKE TU HAHAHA HATA KAMA NI USIKU WA MANANE NACHEKAGA KWA SAUTI KUU
 
NGOJA AJE AKILI ZAKE ZINAMTOSHA MWENYEWE HAHAHA NIKIWA NA STRESS NAINGIA KWENYE PAGE YAKE UANDISHI WAKE TU HAHAHA HATA KAMA NI USIKU WA MANANE NACHEKAGA KWA SAUTI KUU
Mie huwa Napata raha pale watu wanapomsisitiza kuwa "Da Mange tunasubiria hiyo habari..." na yeye anajibu "subirini nakusanya taarifa nitawaletea muda si mrefu...) hahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…