Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati anasema vya ukweli kuna wakati mmmh! Sasa kama hii za sasa kuhusu "ujazito wa dada Yulee" mmmm! Mange bwana!!!Huyu dada kwa wanaomsoma maandiko yake karibuni siwalaumu kumuona shujaa
hahahahahahha biggest tehe tehe tehebola mmoja angemuita anajurikana na mwingne angeitwa mzima.
Hana ushujaa anatumikia maslahi yake, anabadilika anytime kulingana na mazingira, Kuna watu huwa anawachukia wakiwa side fulani na yeye lazima anunue ugomvi na she has a price tagKuna wakati anasema vya ukweli kuna wakati mmmh! Sasa kama hii za sasa kuhusu "ujazito wa dada Yulee" mmmm! Mange bwana!!!
Tuombe iwe hivyo lkn ikiwa vinginevyo, walahi kawachongea viumbe wasiokuwa na hatia, mana tuna Raisi wa visasi haijawai kutokea.hahahaha, wakati huo itakuwa ni baada ya 2020 EDO ndie atakuwa rais?!
du! ila sijui anajiamini huyu dada maana haogopi mtu!!Hana ushujaa anatumikia maslahi yake, anabadilika anytime kulingana na mazingira, Kuna watu huwa anawachukia wakiwa side fulani na yeye lazima anunue ugomvi na she has a price tag
Usijali itakuwa na mambo yatakuwa hiviTuombe iwe hivyo lkn ikiwa vinginevyo, walahi kawachongea viumbe wasiokuwa na hatia, mana tuna Raisi wa visasi haijawai kutokea.
Muda ukifika kwa wale waliomwagia masiri yao watajuta!Hana ushujaa anatumikia maslahi yake, anabadilika anytime kulingana na mazingira, Kuna watu huwa anawachukia wakiwa side fulani na yeye lazima anunue ugomvi na she has a price tag
Anaogopa ila sema hana busara! Siipendi Ccm ila huyu dada kwa jinsi alivyomtukana na kumzushia Lowasa vitu vya ajabu 2015, nashangaa hata hao CDM wanaojiachia kumuamindu! ila sijui anajiamini huyu dada maana haogopi mtu!!
Alimwaga siri za Mwamvita Makamba wakati kuna kipindi alisema hana rafiki mwenye roho nzuri na anaweza kukupa hata dola 2000 bila kujiuliza kama MwamvitaMuda ukifika kwa wale waliomwagia masiri yao watajuta!
Hata ile ya Geita kuwa |EDO "kajiendea haja kubwa" yeye ndie alizushaAnaogopa ila sema hana busara! Siipendi Ccm ila huyu dada kwa jinsi alivyomtukana na kumzushia Lowasa vitu vya ajabu 2015, nashangaa hata hao CDM wanaojiachia kumuamin
Tuko pamoja.Anaogopa ila sema hana busara! Siipendi Ccm ila huyu dada kwa jinsi alivyomtukana na kumzushia Lowasa vitu vya ajabu 2015, nashangaa hata hao CDM wanaojiachia kumuamin
He! Mungu wangu!!!Alimwaga siri za Mwamvita Makamba wakati kuna kipindi alisema hana rafiki mwenye roho nzuri na anaweza kukupa hata dola 2000 bila kujiuliza kama Mwamvita
Umesema kweli Mrs Van umakini ni muhimuTuko pamoja.
Sio mtu wa kumuachia mtoto wako
Si nasikia wengine ni watu wa system kabisa wanaompa "vijisiri"Muda ukifika kwa wale waliomwagia masiri yao watajuta!
hahahahh Sky, sasa vikifikia kusoma si hawa watakuwa muda wao umeisha 2020!!! ahahahahahahAngewaita Pombe na Janeth wangesoma bure
Ukiona post zake za kumsifia Magufuli na anachoandika sasa hivi, na kama unajua psychology ndogo tu ya mtu hauwezi kumuamini au ukamuita mwanao jina lake eti ni shujaaHe! Mungu wangu!!!
why? mimi namuona Mange ni mwanamke anayejisimami. Ni fighter kama aliweza kupenyeza kufika huko aliko, siwezi kum underate! Mamdenyi huwezi kufanya anayoyafanya. Unaweza usione lakini ukiingia ulingoni ndipo utajua tofautiheri angewaita hata treni na mwendokasi
Pombe anatoa amri kama msaafu wasome bure 😀hahahahh Sky, sasa vikifikia kusoma si hawa watakuwa muda wao umeisha 2020!!! ahahahahahah