Mzee wangu, ni vile tu nakuheshimu kwa sababu you sound too way matured. I can tell from your choice of words.. Lakini sasa nitafanyaje na umeamua kujitoa ufahamu? Ngoja nikuweke sawa.
Kwanza, videos zipo all over youtube and elsewhere. Nyerere alikemea kuomba kura kwa misingi ya udini, Huyo Mlutheri anakuja kuyafanya hayo makosa 2015. Ni mzima kweli?
Nyerere alitahadharisha kuhusu mgombea anayeng'ang'ania kwenda Ikulu, hususani kwa kutumia fedha nyingi. Tumeona wazi wazi jinsi huyo 'mgonjwa' anavyotumia mapesa mpaka ya akina Rost na the invisible kusaka Ikulu. Hii haikushtui?!
Unashangaa ya Wajumbe wa NEC kuimba tuna Imani na Lowassa, halafu unaacha kumshangaa Kikwete anavyosindikizia na makofi juu?
Angalau hao wanaoimba wameamua 'kumfurahisha mfalme' kwa kuwa wanatumikia ----- mshahara wao upande. Wewe Je?!
Umebashiri Kura watampa? Hahaha! Kura ni siri mkuu... Hapo watu 'wamefanya' kazi yao. Mbona wakina Sophia Simba na Nchimbi mpaka sasa wapo kwenye Kampeni na wakati wao ndio walionyesha kiburi cha waziwazi?! Hela tamu mzee wangu!
Simshangai Mbowe kuuza chama, ni mjanja na ameshapiga hesabu ndefu za kushinda majimbo na mkwanja juu. Anajua ilivyo ngumu kushinda Urais kwa kumtumia huyo mzee, lakini atafanyaje sasa na Mbuzi kajileta mwenyewe kwa muuza supu!?
Would you like to read this 'Fake' email Dad?!
View attachment 291522
Or you want to read this thread started on 2011?!
Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa
Or you're still interested in videos za JKN?!
Nakushauri, punguza matarajio. This time around u guys have made it easier for CCM to win than how it was in 2010.. Swallow that!!!
#TukutaneOktoba