Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

Hii tabia ya kurukaruka kama bisi haikupendezi mkuu. Unalinganisha matumizi ya fedha za kampeni za Magufuli na EL? Unatetea tu kimacho macho kwa kuwa umejawa mahaba kumzidi hata Mama Regina! Muulize vizuri Mzee wako Mvua yetu ya kununua iko wapi?!

Kuhusu Udini hebu usijitoe fahamu. Kulikuwa na maana gani kusema nchi hii haijawahi kupata rais Mlutheri? Kwanini iwe ni 'zamu ya Mlutheri' kama alivyosema? Zamu ya Wasabato ni lini? Waanglikana Je? Unatetea kwa vile tu umeamua kutetea, shame on you!

Tunaweza kutumia muda mwingi kupiga mboyoyo hapa, lakini Oktoba 25 sio mbali, nimekushauri upunguze matarajio mzee wangu.....

Tutakutana hapa hapa!

1. Kwa hiyo wewe kati ya Magufuli na Lowassa unaona kampeni yenye hela ni ya Lowassa? Jibu hili kwanza.
2. Mvua ya kununua ililipiwa shilingi ngapi? Hebu weka wazi, maana watanzania makini wanajua HAKUNA FEDHA yoyote iliyowahi kutolewa kwa huo mradi, na ule ulikuwa ni ushauri tu wa mheshimiwa Lowassa, sio mkakati wala amri. Serikali ilikwenda ziara Thailand na wakajionea teknolojia ile inavyofanya kazi wakarudi na mapendekezo. Na serikali ya Thailand iliahidi kutusaidia. Kwa serikali kama yetu fedha za kufanya mradi ule ni kubwa mno hivyo mradi ule tukaachana nao na wala haukuanza. Na vile vile wale tuliowategemea kutusaidia i.e serikali ya Thailand, chini ya Thaksin shinawatra walipinduliwa huko kwao. Tafuta hansard ya mwaka 2013 bungeni, waziri William Lukuvi alilitolea ufafanuzi hili suala KWA NIABA YA SERIKALI YA CHAMA UNACHOKIPENDA CHA CCM. Hii ni miaka 7 baada ya Lowassa kujiuzulu! Narudia tena shilingi ngapi Lowassa kala? Mbona unaibua tuhuma holela holela tu?

3. umeanza tena na quotes zako za kutunga, sasa ili tuondoe ubishi naweka hiyo video halafu wewe useme ni dakika ya ngapi amesema 'zamu ya Mlutheri'. Vinginevyo weka video yako wewe yenye maneno hayo. Unapandikizia watu maneno mdomoni bila aibu!



Nyinyi timu ya Magufuli mnajidai eti "hapa kazi tu" lakini toka tuanze kulumbana hapa, wewe unaonekana "hapa majungu tu". Shame on you!
 
Last edited by a moderator:
Hii tabia ya kurukaruka kama bisi haikupendezi mkuu. Unalinganisha matumizi ya fedha za kampeni za Magufuli na EL? Unatetea tu kimacho macho kwa kuwa umejawa mahaba kumzidi hata Mama Regina! Muulize vizuri Mzee wako Mvua yetu ya kununua iko wapi?!

Kuhusu Udini hebu usijitoe fahamu. Kulikuwa na maana gani kusema nchi hii haijawahi kupata rais Mlutheri? Kwanini iwe ni 'zamu ya Mlutheri' kama alivyosema? Zamu ya Wasabato ni lini? Waanglikana Je? Unatetea kwa vile tu umeamua kutetea, shame on you!

Tunaweza kutumia muda mwingi kupiga mboyoyo hapa, lakini Oktoba 25 sio mbali, nimekushauri upunguze matarajio mzee wangu.....

Tutakutana hapa hapa!

mzee mbona unahama hama maada fasta hivo aiseee,,aya ya kwanza nilidhani utamjibu jamaa vitu viwil 1.pesa za magufuli za kampeni zinatoka wapi!,, 2.nan katumia pesa nyingi kwenye kampeni kati ya magufuli na team yake na lowasa......bahati mbaya hujajibu hata swali moja unahamia mvua ya kutengeneza.

labda nikuulize,,kwann unahama hama hoja hivo?? hiyo mvua angeileta vipi wakat kakaa ktk nafas yake kwa miaka mi2??

mwisho umemshauri jamaa jMali apunguze matarajio kwa mzee kwa sababu okt 25 sio mbali,,,,,na mimi nakushaur punguza matarajio kwa ccm kwa sabb watanzania wanao taabika na shida nchii hii ni wengi mno! chochote chaweza kutokea mkuu Interest
 
Last edited by a moderator:
mzee mbona unahama hama maada fasta hivo aiseee,,aya ya kwanza nilidhani utamjibu jamaa vitu viwil 1.pesa za magufuli za kampeni zinatoka wapi!,, 2.nan katumia pesa nyingi kwenye kampeni kati ya magufuli na team yake na lowasa......bahati mbaya hujajibu hata swali moja unahamia mvua ya kutengeneza.

labda nikuulize,,kwann unahama hama hoja hivo?? hiyo mvua angeileta vipi wakat kakaa ktk nafas yake kwa miaka mi2??

mwisho umemshauri jamaa jMali apunguze matarajio kwa mzee kwa sababu okt 25 sio mbali,,,,,na mimi nakushaur punguza matarajio kwa ccm kwa sabb watanzania wanao taabika na shida nchii hii ni wengi mno! chochote chaweza kutokea mkuu Interest

Kuhama hama?! Kweli mahaba hutia upofu. Yaani huyo jMali anavyomanipulate hoja humwoni, au kwa kuwa anaongea unayopenda kuyasikia?!

Mtu anayebishana na ushahidi wa wazi kuna haja ya kuendelea kupigizana nae kelele?! Bunge lilielekea kumwajibisha EL. Upinzani wamepiga kelele na kutuaminisha kwamba wana ushahidi kuhusu EL wa ufisadi wake. Na mpk leo Dr Slaa anasubiria kesi na amesema wazi atakuwa shahidi namba moja. Unataka nini zaidi?

Ngoja Magufuli aingie Madarakani umwone atakavyothibitisha kwa vitendo. JK ana huruma kupitiliza!

Tuwepo!
 
jMali napiga salute kwako na nakupandisha na vyeo
 
Kuhama hama?! Kweli mahaba hutia upofu. Yaani huyo jMali anavyomanipulate hoja humwoni, au kwa kuwa anaongea unayopenda kuyasikia?!

Mtu anayebishana na ushahidi wa wazi kuna haja ya kuendelea kupigizana nae kelele?! Bunge lilielekea kumwajibisha EL. Upinzani wamepiga kelele na kutuaminisha kwamba wana ushahidi kuhusu EL wa ufisadi wake. Na mpk leo Dr Slaa anasubiria kesi na amesema wazi atakuwa shahidi namba moja. Unataka nini zaidi?

Ngoja Magufuli aingie Madarakani umwone atakavyothibitisha kwa vitendo. JK ana huruma kupitiliza!

Tuwepo!

1. Anayemanipulate hoja toka tumeanza ni wewe. Huoni haya kudanganya wakati kila mtu anajionea kila kitu hapa?

2. Ushahidi: Wewe umeleta ushahidi gani dhabiti ambao mimi naubishia? Hata kuleta hotuba ya ukweli umeshindwa, badala yake umetengeneza za kwako! Au kale kagraphic unakokaita email ndio ushahidi?

3. Upinzani na tuhuma: Wewe si unashabikia CCM, ya upinzani waachie upinzani. Wao walikuwa wanamtuhumu Lowassa, kama wao wameshamuelewa Lowassa wewe shida yako nini ilihali uko upande wa CCM? Wameshasema wanaamini mhusika ni Kikwete na wameishia hapo.

4. Bunge lilielekea kumuajibisha EL: Hilo ni sawa. Sasa nikuulize wewe mwenye mahaba ya CCM, iweje CCM impe tena EL huyo huyo asiye mwadilifu uenyekiti wa kamati ya mambo ya nje BUNGENI HAPO HAPO? We si unasema EL mchafu?

5. JK ana huruma kupitiliza: of course kwa wewe unaona ni huruma, kwangu mimi naomba nisiseme hiyo 'huruma' mimi kwangu tafsiri yake ni nini because wameanzisha Cybercrime law kwa ajili ya muda kama huu. Hivyo nikukubalie kuwa JK na CCM wana 'huruma' sana, tena sana. Mwenyekiti wa CCM Dar ana kesi ya kutengeneza ARV feki, ila bado ni mwenyekiti wa CCM Dar, na si ajabu anasema Lowassa aliyejiuzulu ni fisadi! Katibu wa CCM nadhani unajua mambo yake, kesi ya UDA, iddi simba na Simon Group unajua mambo yake, bado sijaongelea BILIONS UPON BILIONS ambazo CAG anaripoti kila mwaka kuwa zimeyeyuka. Yote hayo na mengineyo ni chini ya JK na CCM yenye 'huruma'.

Hebu soma hii ikuburudishe, maana serikali kupitia mwanasheria mkuu IMEFUTA KESI NA INADAI HAINA MASLAHI YOYOTE KUMSHITAKI YOYOTE KWENYE HILI SAKATA. Hii kweli 'huruma' au?

headline_bullet.jpg
Admitting being duped, Simon Group reveals how it won the deal over the counter



Simon.jpg

Robert Kisena, the Executive Chairman of Simon Group


At a time when the Dar es Salaam Transport Services Company was on the brink of collapse with a financial and management crisis, one man emerged suddenly a leading contender as city investors scrambled to buy properties of the dying firm in a Tsh 1.2bn deal.

The young man, Robert Kisena, the Executive Chairman of Simon Group, who is currently in a battle for the control of assets of the company known as "Usafiri Dar es Salaam" (UDA), which was valued at Sh12 billion in 2008, is finally revealing how he landed the deal.

To his allies he has a strong case against UDA but to his critics he is just bluffing, trying to conceal the mess that has clouded the scandal-haunted deal.

Having made headlines for months now, finally Kisena, a 40-year-old multimillionaire who made his fortune in the cotton sector, having started as an agent or middleman for an international firm, this week told the Guardian on Sunday the details of his controversial deal with UDA.

But in his story he also narrates how he was apparently misdirected by the Board Chairman of UDA, Iddi Simba, a former cabinet minister and well known business leader who once championed the cause of indigenization, before it backfired against him.

Though Simba has repeatedly denied the facts as presented by UDA's new investor, insisting that the over Sh300 million paid into his personal bank account was consultancy fees. He asserts that the multimillion shillings payments were intended as consultancy services rendered by himself to Simon Group, to facilitate its bid to acquire properties and assets of the transport services firm.

However so far no concrete proofs has been issued by Simba to help verify his side of the story, while his accuser this week insisted that he has written evidence directing him to pay what he understood to be ‘commitment fees' amounting to Sh400 million.

He said that UDA board members told him that having been duped by various investors, they were now requiring that in order to prove his seriousness in acquiring majority shares in the troubled transport firm, he should deposit Sh400 million in commitment fees.

Kisena said that after the deal obtained approval, the amount paid as commitment would have been deducted from the total cost of buying majority shares.

"After consultation with my lawyers, we agreed to pay the money as directed, but we were again stunned by new directives that wanted us to pay the commitment fees in Simba's account instead of UDA," he stated.

Why was he told to pay Tsh400 million into0 Simba's account? According to Kisena, the UDA board led by Simba made it clear that the company's account was in the red from bank overdrafts, and therefore any payments through those accounts would just be absorbed by the bank.

"I again consulted my lawyers…they told me that as long as there was a written instruction from the Board, there's no problem." He says, adding that it didn't ring into his mind that one day the commitments fees would become consultancy fees.

Today the deal has gone sour, attracting court battles as well as political battles, but Kisena is still optimistic that he acquired the shares legally through a clean process and will soon be the majority shareholder.

But why didn't he sue Simba if there was no genuine transaction between the two? "When I discovered that he (Simba) had swindled the money, I instructed my lawyers to ask him in writing to repay back the money, but he didn't comply for several months."

"If it was really commitment fees he would have written to us stating it very clearly as well as providing evidence of any consultancy service agreements signed between Simon Group and himself," he further asserts.

On September 2, 2009 the then UDA General Manager Victor Millanzi wrote to Simon Group directing it to pay Sh400 million into personal bank account of UDA chairman Idd Simba.

The letter leads: "refer your conversation with the chairman of board of directors of UDA in regard to your intention to purchase government shares and the unallotted shares."

It added: "I request you to act as agreed by paying Tsh 400 million as commitment of your intention on this matter. These funds will be part of the payment for the shares and will be taken into account during the second phase payment as stipulated in the share description agreement."

"….As we explained to you our bank accounts are facing overdraft therefore deposit the money in the account number 0210001002 belongs to board chairman Idd Simba which is at Bank M. Sea View Branch in Dar es Salaam. This money would be transferred to UDA account when the matter of overdraft is over," the letter concluded.

However despite his tale of the controversial deal, his mission to acquire majority share in the cash-strapped company is still far from reached as a fresh bid to re-evaluate the company's assets is launched.

Following the situation, the fate of UDA and its associated sale of part of shares stands to face delays as the government had decided to carry out a second evaluation to establish the actual value of the company.

The fresh evaluation would be conducted by the Consolidated Holding Corporation (CHC), the state body charged with overseeing public organisations listed for divestiture.



Shareholders: Dar es Salaam City Council, Simon Group Ltd and the government through Treasury Registrar agreed in principle last December that the second evaluation should be done for the purpose of clearing the air over the much hyped malpractices and non-adherence to set procedures during the sale of UDA shares to Simon Group Ltd in February 2011.

According to the Memorandum of Understanding signed in tripartite, Simon Group is recognised as one of three shareholders, though there is no justification as who should be regarded as the main shareholder until the evaluation is concluded by CHC.

source: http://www.ippmedia.com/frontend/?l=37919
 
hivi uyu mange ndpo babaake aliliwa tope nakina she gon gon
 
Mwenyewe hana mbele wala nyuma kujiona malaika
 

Attachments

  • 1443444691686.jpg
    1443444691686.jpg
    37.9 KB · Views: 206
2. Ushahidi: Wewe umeleta ushahidi gani dhabiti ambao mimi naubishia? Hata kuleta hotuba ya ukweli umeshindwa, badala yake umetengeneza za kwako! Au kale kagraphic unakokaita email ndio ushahidi?

Kulikuwa na haja gani ya kuhangaika kukuletea vitu ambavyo ni popular?! Wewe umeleta video ya Mlutheri wako tu na ukaipindisha mwenyewe kwa maelezo tofauti na yaliyomo. Unakana kwamba jamaa hakutaka aombewe kwa kuwa yeye ni Mlutheri?

Dua ndio mpaka kusema "Naomba mniombee, nyie walutheri mna sababu ya kuniombea zaidi. Nchi hii tangu imeumbwa haijawahi kupata rais Mlutheri" Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa alikuwa Mkatoliki. Sasa nadhani Mungu ametuongoza sasa....."
Huwezi kuona, mahaba yamekuelemea!!

3. Upinzani na tuhuma: Wewe si unashabikia CCM, ya upinzani waachie upinzani. Wao walikuwa wanamtuhumu Lowassa, kama wao wameshamuelewa Lowassa wewe shida yako nini ilihali uko upande wa CCM? Wameshasema wanaamini mhusika ni Kikwete na wameishia hapo
.
Halafu bado unataka tuendelee kujadiliana? Walichokuwa wanatuhumia ilikuwa ni kwa maslahi ya nani? Na huo ushahidi waliodai wanao umekuwaje? Tunawaamini kwa lipi tena?! Bado nasubiri jibu la kwanini wametoa orodha ya mafisadi kwenye site yao, kama huna jibu kalagabaho!

4. Bunge lilielekea kumuajibisha EL: Hilo ni sawa. Sasa nikuulize wewe mwenye mahaba ya CCM, iweje CCM impe tena EL huyo huyo asiye mwadilifu uenyekiti wa kamati ya mambo ya nje BUNGENI HAPO HAPO? We si unasema EL mchafu?

Huruma na ushikaji wa JK kwa EL hauna vipimo, lakini ulifikia mwisho kwa kusema 'sasa yatosha' kwenye kamati ya maadili! Katika vitu ninavyomlaumu JK, ni kumfuga huyu old friend wake.. Makubaliano ya 'Ukitoka wewe, ni zamu yangu' hayakuwa mazuri kwa ustawi wa nchi. Hii sio nchi ya 'Boyz II Men' pekee. Ila safi sana kwa JK alipoamua 'The game is over, let democracy prevail'. Babu yenu huyooooo.... Kaenda kununua wanaUKAWA. Ndio nyie mnaotusumbua sasa!

Nikukumbushe tu, Urais ni zaidi ya hizo second chances alizompa akashindwa kujirekebisha. Mtu ana uchu wa madaraka mpk anatia kinyaa!!! Akishindwa uchaguzi najua hatosita kwenda kujaribu bahati yake Uganda. Walutheri endeleeni kumwombea dua!

5. JK ana huruma kupitiliza: of course kwa wewe unaona ni huruma, kwangu mimi naomba nisiseme hiyo 'huruma' mimi kwangu tafsiri yake ni nini because wameanzisha Cybercrime law kwa ajili ya muda kama huu. Hivyo nikukubalie kuwa JK na CCM wana 'huruma' sana, tena sana. Mwenyekiti wa CCM Dar ana kesi ya kutengeneza ARV feki, ila bado ni mwenyekiti wa CCM Dar, na si ajabu anasema Lowassa aliyejiuzulu ni fisadi! Katibu wa CCM nadhani unajua mambo yake, kesi ya UDA, iddi simba na Simon Group unajua mambo yake, bado sijaongelea BILIONS UPON BILIONS ambazo CAG anaripoti kila mwaka kuwa zimeyeyuka. Yote hayo na mengineyo ni chini ya JK na CCM yenye 'huruma'.

Hebu soma hii ikuburudishe, maana serikali kupitia mwanasheria mkuu IMEFUTA KESI NA INADAI HAINA MASLAHI YOYOTE KUMSHITAKI YOYOTE KWENYE HILI SAKATA. Hii kweli 'huruma' au?

Kwenye makosa, Serikali itajisahihisha. Asante kwa ushauri ndugu mpinzani, ndio kazi yako hiyo hahahaha, kuisimamia serikali na kuishauri!

Lakini utambue tu kuna baadhi ya viongozi wanaharibu sifa za chama/serikali kwa ujumla. Bahati nzuri wameshaanza kuchoropoka. Najua kuna zaidi watakuja, mjiandae kuwapokea.

Yaani harakati zenu zote kumbe mnawatamani hao hao mafisadi kuja kuwasaidia uongozi? Tena bila vikao halali vya kuwapima na mmekubali hadi kupindisha kanuni zenu na kuwatosa walioujenga Upinzani kwa jasho na damu? Kuna jina gani lingine linalowafaa zaidi ya unafiki na uchu wa madaraka?

Unatetea usichokijua mzee.. Kuna aliyetarajia mzee ATAKATWA!? Jibu unalo!
 
Mange ni mufilisi kichwani... Njaa yake kali ndio maana akajaribu ubunge maana kubeba BOX na kuvitawaza vibibi na vibabu huko US sio mchezo.
 
Kulikuwa na haja gani ya kuhangaika kukuletea vitu ambavyo ni popular?! Wewe umeleta video ya Mlutheri wako tu na ukaipindisha mwenyewe kwa maelezo tofauti na yaliyomo. Unakana kwamba jamaa hakutaka aombewe kwa kuwa yeye ni Mlutheri?

Dua ndio mpaka kusema "Naomba mniombee, nyie walutheri mna sababu ya kuniombea zaidi. Nchi hii tangu imeumbwa haijawahi kupata rais Mlutheri" Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa alikuwa Mkatoliki. Sasa nadhani Mungu ametuongoza sasa....."

Hebu elezea kijana, huko kwenu kiswahili "Naomba mniombee" maana yake ni nini? Huku kwetu maana yake mnisalie nishinde, sasa kuna hatari gani kwa watu wa dini moja KUMUOMBEA muumini mwenzao ashinde? Ndio maana nikakuuliza kuna mgombea gani unayemjua wewe hajakwenda au hatakwenda kuombewa/kuswaliwa kwa imani yake ashinde uchaguzi? Au pale wanaposhinda huoni watu wanafanya ibada/sadaka ya shukrani?? Je hilo ni udini?


Halafu bado unataka tuendelee kujadiliana? Walichokuwa wanatuhumia ilikuwa ni kwa maslahi ya nani? Na huo ushahidi waliodai wanao umekuwaje? Tunawaamini kwa lipi tena?! Bado nasubiri jibu la kwanini wametoa orodha ya mafisadi kwenye site yao, kama huna jibu kalagabaho!

Kwanza sikumbuki kama Chadema waliwahi kusema wana ushahidi tofauti na ule uliotolewa bungeni na kamati ya Mwakyembe. Kama wewe unaweza kuthibitisha hilo la ushahidi wa ziada basi karibu. Hata hivyo nashangaa kwa nini unafanya hii kuwa ishu, Chadema hawajafuta madhambi ya Richmond, walichofanya ni update tu. Bado sakata lipo pale pale. Kilichobadilika ni kuwa mtuhumiwa sasa ni Kikwete sio Lowassa. Na hii ni baada ya kujiridhisha kuwa Lowassa aliwajibika na kubeba msalaba kwa maslahi ya CCM na serikali yake. Je Kikwete au CCM yoyote yule unayemjua wewe AMEKATAA KUWA KIKWETE HAKUAMRISHA MKATABA UENDELEE LICHA YA LOWASSA KUTAKA KUUVUNJA? Hebu jibu hilo. Na ingawa hutaki lakini ukweli ni kuwa kuendelea kuteuliwa kwa Lowassa katika nafasi kubwa za chama BAADA ya Richmond ni uthibitisho tosha kuwa maelezo yake ya yeye kuwa 'mbuzi wa kafara' ni ukweli. Maana haiwezekani hata kidogo kwa mtu anayedaiwa kuingiza taifa hasara, ufisadi na tuhuma zingine kedekede kuchaguliwa na chama hicho hicho kwenye nafasi nyingine kubwa kama UENYEKITI WA KAMATI YA BUNGE-MAMBO YA NJE!

Huruma na ushikaji wa JK kwa EL hauna vipimo, lakini ulifikia mwisho kwa kusema 'sasa yatosha' kwenye kamati ya maadili! Katika vitu ninavyomlaumu JK, ni kumfuga huyu old friend wake.. Makubaliano ya 'Ukitoka wewe, ni zamu yangu' hayakuwa mazuri kwa ustawi wa nchi. Hii sio nchi ya 'Boyz II Men' pekee. Ila safi sana kwa JK alipoamua 'The game is over, let democracy prevail'. Babu yenu huyooooo.... Kaenda kununua wanaUKAWA. Ndio nyie mnaotusumbua sasa!

Nikukumbushe tu kijana wangu kuwa Lowassa alienguliwa sambamba na wenzake zaidi ya 30! Je hao nao vepee? Mwakyembe vepee? Makongoro vepee? Wassira vepee? Jaji ramadhani? Mahiga? Malecela? Mwandosya? Na ninavyofahamu hatua ya democracy ni kwenye halmashari kuu na sio kwenye maadili na usalama. Hivyo demokrasia haikutendeka, ndio maana leo hii Lowassa yuko Chadema. We unasema mimi nina mahaba, lakini seriously, do you think kama Lowassa angeingia halmashauri kuu kura zake za kidemokrasia zisingetosha na angeshindwa na Magufuli? C'mon son/girl!

Kwenye makosa, Serikali itajisahihisha. Asante kwa ushauri ndugu mpinzani, ndio kazi yako hiyo hahahaha, kuisimamia serikali na kuishauri!
Lakini utambue tu kuna baadhi ya viongozi wanaharibu sifa za chama/serikali kwa ujumla. Bahati nzuri wameshaanza kuchoropoka. Najua kuna zaidi watakuja, mjiandae kuwapokea.
Yaani harakati zenu zote kumbe mnawatamani hao hao mafisadi kuja kuwasaidia uongozi? Tena bila vikao halali vya kuwapima na mmekubali hadi kupindisha kanuni zenu na kuwatosa walioujenga Upinzani kwa jasho na damu? Kuna jina gani lingine linalowafaa zaidi ya unafiki na uchu wa madaraka?
Unatetea usichokijua mzee.. Kuna aliyetarajia mzee ATAKATWA!? Jibu unalo!

Hapo ndipo unaposhangaza, yani unakiri kuwa serikali yenu imeoza, lakini badala ya kuwachukulia hatua wahusika, wewe unasubiri wahame wenyewe??? Hivi hizo akili kweli kijana? Na wasipohama je? Waendelee kula sio? Nilishakuambia kwenye orodha ya mafisadi ambayo kuondolewa kwake unaona ishu, aliyehamia chadema ni Lowassa peke yake, wengine 10 mbona bado wako CCM?? Sasa wewe na chama chako hamuwashughulikii lakini unataka tumnyime Lowassa ambaye ni MMOJA TU? Na hao wengine je? Nipe sababu moja ya msingi kwa nini hawashughulikiwi na kwa nini unadhani Magufuli atawashughulikia? Magufuli anatuambia eti ataunda mahakama ya mafisadi, wakati tayari kashawapitisha watuhumiwa kama Chenge kuwa wabunge, ambao jukumu lao kimsingi ni kuisimamia serikali yake mwenyewe, dogo grow up!
 
1. Aha, naona taratibu dawa inaanza kukuingia, unaanza sasa kuondoka kwenye madai yako ya kuwa mwalimu alimsema Lowassa specifically na unaanza reference kwa video kama za udini ambazo mwalimu aliongea generally. Safi kabisa. Sasa tuje kwenye huo udini wa Lowassa. Video mimi nimeiona na wewe najua unaijua. What did Lowassa say exactly ambacho wewe unaona ni udini? "niombeeni kwa kuwa mimi ni mlutheri mwenzenu"? Sasa hapo mzigo si anatupiwa Mungu? Shida iko wapi? Angesema nipigieni kura kwa kuwa mimi mlutheri mwenzenu hapo sawa, ingekuwa udini. Hivi ni mgombea gani hajaenda/hataenda kuombewa/kuswaliwa kwa imani ya dini yake kufanikisha uchaguzi wake? Lowassa ni mlutheri, yuko kanisa la walutheri, anaomba AOMBEWE kwa mungu wa kilutheri, tena aombewe sana wewe unasemaje udini hapo? Hilo mme-exaggerate kupitiliza. Hebu kataa kuwa Magufuli hatafanya (kama bado) maombi/sala kwa mujibu wa imani yake ili ashinde halafu ndio useme Lowassa mdini kwasababu kawaomba wa dini yake wamsalie!

2. kwenye matumizi ya pesa: Tunarudi pale pale, mwenzetu wewe ulilipwa na Lowassa? Ushahidi wako uko wapi kuwa Lowassa anatumia fedha zake? Najua huwa hunaga ushahidi dhidi ya Lowassa. So let me ask you this. Do you know where Magufuli's campaign money comes from? Je huoni hata kwa macho kuwa kampeni ya Magufuli ina fedha nyingi kuliko huyo Lowassa unayedai ana mapesa?
Pili, unamu associate Rostam na Lowassa, lakini sijui umesahau au unafanya makusudi kukumbuka kuwa Rostam alikuwa MWEKA HAZINA wa kampeni za JK 2005 na MWEKA HAZINA WA CCM (2007-9). Unajifanya hujui kuwa waliokuwa wafanyakazi wake kama Salva Rweyemamu (Richmond) alipewa cheo cha msemaji wa Ikulu, William Ngeleja (vodacom) akapewa uwaziri na anagombea tena kupitia chama unachokitetea...Sasa kuna shida gani kama akimpa fedha Lowassa wakati CCM wenyewe hawajawahi kuona ubaya wake?

3. Asante kwa kuniunga mkono kuhusu kina Sophia Simba, naona umekubali kuwa hela ni tamu na kwa kuwa 'kula' yao iko CCM basi wameufyata in public. Sasa sijui unataka kumconvince nani kuwa Nchimbi na Simba mioyo yao iko CCM. Magufuli mwenyewe nadhani umeshamsikia akisema anajua ndani ya timu yake kuna team Lowassa, that's the bitter truth! Swallow that!

4. Nimepost references toka magazeti mbalimbali, nimeposti videos, wewe umeposti nini cha maana zaidi ya hotuba za kuchakachua na kunielekeza youtube pasipo na link hata moja? Kupost kwako hicho ki graphic unachokiita email kinanifanya nikubali tu wewe uniite mzee pamoja na kwamba bado hata sijaoa! Clearly mi sio saizi yako!

acha kuwa zuzu basi mwalimu alitoa general characters za watu wasiotakiwa kwenda ikulu wewe japo unaziona kwa lowasa hizo character bado unabisha tu. ulitaka mwalimu ataje majina ili nini
 
acha kuwa zuzu basi mwalimu alitoa general characters za watu wasiotakiwa kwenda ikulu wewe japo unaziona kwa lowasa hizo character bado unabisha tu. ulitaka mwalimu ataje majina ili nini

Mwenzako anataka kusikia mwalimu akisema Lowassa hafai kwenda Ikulu... Zipo fununu kwamba hata mzee ilibidi aondolewe kuwapisha the gang, lakini kinachotokea ni JK - The Master kubadili mchezo mzima..... Hawaaamini!!!! Hahahaha

Halafu huyu 'Dingi' jMali sasa anaaza kuchosha. Lakini inabidi kumwelewesha tu kwa kuwa nae ameamua kuwa muuza utumbo asiyeogopa nzi! Mwenzake Mbowe ana Maslahi, hana cha kupoteza for whatever results... Sasa inasikitisha kuona watu wa aina hii nao wanalea watoto wao nyumbani na wanafurahia kuitwa baba/mama... Wamejaa ushabiki wa kipuuzi. Si ajabu ukasikia Muhongo amehamia upinzani na bado wakamtetea!? Au hata huyo chenge. Political Sluts!

Hivi hawajiulizi pamoja na 'udhoofu' wote alionao bwana mapesa kiasi cha kudhalilika majukwaani (najua huu ni ukweli wasiopenda kuusikia), kwanini bado anang'ang'ania kuingia Ikulu!? Is it for good faith!? Hell no!

Hoja za huyu Jamali, eti mbona wakina Jaji Agustino na wengineo wamekatwa pia, sasa alitaka wote wapitishwe kugombea urais?!! Anachosha.. Ngoja Oktoba ifike tuone atakuja na sera gani mpya. Maana hapa anajaribu kupulizia manukato kinyesi!

Kinachonishangaza ni huyo EL kutumia nguvu nyiiiingi, si apumzike tu, kufosi hivi anatudai nini!??? Kwani lazima yeye kwenda Ikulu???

*Harsh* Jitu mpaka linajinyea jukwaani limekazana tu (am feeling bad to write this, but the truth is always inevitable)..

jMali. Tukutane Oktoba. Naona mmemsajili 'Chizi' awasaidie kuiba kura hahahahahahah...

#VivaCCMViva
 
Last edited by a moderator:
acha kuwa zuzu basi mwalimu alitoa general characters za watu wasiotakiwa kwenda ikulu wewe japo unaziona kwa lowasa hizo character bado unabisha tu. ulitaka mwalimu ataje majina ili nini

FACT: Mkapa kageuza ikulu kuwa ofisi ya kampuni yake binafsi (ANBEM) na kajibinafsishia mgodi wa umma na yuko CCM, hizo ni characteristics za mtu anayetakiwa Ikulu au hata ndani ya CCM? je mmemfukuza? Au mnasubiri ahamie Chadema ndio muanze kumsema?
FACT: Kikwete kaingia Ikulu kwa nguvu ya watu wanaitwa 'mtandao'. Je wewe kama sio zuzu unataka kusema mtandao ni malaika? Je ni watu Mwalimu hakuwa na shida nao wawe na uhusiano na ikulu?
CONCLUSION: hata ikiwa kweli kuwa Lowassa ana mapungufu kwenye characteristics alizotaja mwalimu. Ukweli ni kuwa tayari tumeshaexperience marais wawili ambao nao wana mapungufu yale yale na labda hata kuzidi. Sioni hatari yoyote kumchagua Lowassa kama tayari tumeshamchagua Ben na Kikwete. Ben alikuwa msafi, Kikwete alikua msafi, Magufuli naye sasa ni msafi...ila mimi na mazuzu wenzangu tumeshaona trend kuwa mwisho wake atalazimika kuwa kama hawa wenzake kwa sababu tatizo ni mfumo!
 
Mwenzako anataka kusikia mwalimu akisema Lowassa hafai kwenda Ikulu... Zipo fununu kwamba hata mzee ilibidi aondolewe kuwapisha the gang, lakini kinachotokea ni JK - The Master kubadili mchezo mzima..... Hawaaamini!!!! Hahahaha
Halafu huyu 'Dingi' jMali sasa anaaza kuchosha. Lakini inabidi kumwelewesha tu kwa kuwa nae ameamua kuwa muuza utumbo asiyeogopa nzi! Mwenzake Mbowe ana Maslahi, hana cha kupoteza for whatever results... Sasa inasikitisha kuona watu wa aina hii nao wanalea watoto wao nyumbani na wanafurahia kuitwa baba/mama... Wamejaa ushabiki wa kipuuzi. Si ajabu ukasikia Muhongo amehamia upinzani na bado wakamtetea!? Au hata huyo chenge. Political Sluts!

We kijana shida kweli kweli, unanilaumu kisa nataka ushahidi wa tuhuma zako lakini hapo hapo wewe unaleta 'fununu'. Wacha facebook politics. Haya umeanza kumsakama na Muhongo. Je sio Kikwete wako huyo unayemuita "master" aliyemsafisha kwenye kashfa ya ESCROW majuzi tu hapa? Je wewe umelalamikia wapi matokeo ya tume ya Kikwete iliyowasafisha mawaziri wote na kutangaza kuwa PESA ZA ESCROW SIO ZA UMMA? Haya huyu Chenge unayemtaja mbona tayari kashapigiwa kampeni jimboni kwake na Magufuli wako kuwa ni msafi? Sasa watageukaje mafisadi ghafla wakihamia Chadema? Hivi unajua kuwa Steven wassira na Makongoro Nyerere walihamia NCCR kwa kupinga kukatwa mwaka 1995 na wakarudi CCM? Hao sio political sluts? Mbona wako kwenye timu ya kampeni ya Magufuli?

Hivi hawajiulizi pamoja na 'udhoofu' wote alionao bwana mapesa kiasi cha kudhalilika majukwaani (najua huu ni ukweli wasiopenda kuusikia), kwanini bado anang'ang'ania kuingia Ikulu!? Is it for good faith!? Hell no!

Kijana weka akiba ya maneno, unaweza kudhani unatukana watu kumbe unatukana wenzako wenyewe. Marehemu Mhe (mungu amrehemu) alisema "Lowassa anaenda kufia chadema", matokeo yake kafa yeye, kamuacha Lowassa anapeta!

Hoja za huyu Jamali, eti mbona wakina Jaji Agustino na wengineo wamekatwa pia, sasa alitaka wote wapitishwe kugombea urais?!! Anachosha.. Ngoja Oktoba ifike tuone atakuja na sera gani mpya. Maana hapa anajaribu kupulizia manukato kinyesi!

Kijana naona sasa mjadala umekuelemea maana unabadili hoja kila ukipost. Hoja iko wazi. Kama unasema Lowassa alikatwa na tume ya maadili kwa sababu ni fisadi, mbona husemi na kina Augustino ambao nao walikatwa na tume hiyo hiyo ni mafisadi as well? Kama Lowassa ni fisadi si angekatwa peke yake halafu wenzake 30+ wakaingia halmashauri kuu kupigiwa kura? Mbona hoja rahisi huielewi? Huu ndio mfano wa uelewa wenu nyinyi watu mliosomea mitaala ya kina Mulugo chini ya CCM! Ndio maana kipaumbele lazima kipaumbele kiwe ELIMU, ELIMU na ELIMU. Kama watu wenye degree wanasema Zanzibar imeungana na Zimbabwe na Saddam alikuwa rais wa Kuwait, sikushangai wewe kwa kutoelewa hoja kama hii, kuna watu wana Phd wanaitwa madokta, lakini sentensi rahisi tu za kingereza zinawashinda, sasa sijui hizo Phd walisomea kwa lugha gani? Anyway nisiseme mengi sana... 'i am politicians' :A S wink:.

Kinachonishangaza ni huyo EL kutumia nguvu nyiiiingi, si apumzike tu, kufosi hivi anatudai nini!??? Kwani lazima yeye kwenda Ikulu???

Hujalazimishwa kumpigia Lowassa, nashangaa kwa nini unapinga haki yake ya kikatiba ya kugombea urais. Unachoogopa ni nini? Ingekuwa Lowassa ameunda jeshi la waasi kama M23 hapo sawa, ungekuwa sahihi kusema "anang'ang'ania", lakini mtu amechukua fomu kihalali tatizo lako ni nini? Kwa 'wazee' kama mimi naona unatishwa na mafuriko tu. Udhaifu wa mgombea wetu kwa nini linakuwa suala kwako? Kama anaharisha, tuko watu tutakaoharisha nae mpaka ikulu!

jMali. Tukutane Oktoba. Naona mmemsajili 'Chizi' awasaidie kuiba kura hahahahahahah...


Whether CCM inashinda au Chadema inashinda sio tatizo kwangu. Mimi sifanyi mashindano kama nyinyi watoto wadogo mnaogeuza siasa kuwa vita. Ikishinda CCM maana yake ni kuwa watu wenye akili kama zako ni wengi kuliko watu wenye akili kama zangu. Wala haitakuwa na uhusiano wowote na suala la ubora wa CCM.


Hahaha, wazee wa kukopi na kupesti kwenye ubora wenu. Lowassa akisema mabadiliko, Magufuli naye anasema yeye ndio mabadiliko, Lowassa akisema M4C, Magufuli naye anaiga M4C, mkiona nyomi la watu, nyie mnakodi bongofleva nzima, bongo muvi nzima na mafuso juu, ili tu mpige picha mseme na nyie mlijaza uwanja. Roma kaimba viva Roma, naona na wewe unaleta VivaCCM. Halafu bado unadai CCM iko juu? Haya bwana....
 
We kijana shida kweli kweli, unanilaumu kisa nataka ushahidi wa tuhuma zako lakini hapo hapo wewe unaleta 'fununu'. Wacha facebook politics. Haya umeanza kumsakama na Muhongo. Je sio Kikwete wako huyo unayemuita "master" aliyemsafisha kwenye kashfa ya ESCROW majuzi tu hapa? Je wewe umelalamikia wapi matokeo ya tume ya Kikwete iliyowasafisha mawaziri wote na kutangaza kuwa PESA ZA ESCROW SIO ZA UMMA? Haya huyu Chenge unayemtaja mbona tayari kashapigiwa kampeni jimboni kwake na Magufuli wako kuwa ni msafi? Sasa watageukaje mafisadi ghafla wakihamia Chadema? Hivi unajua kuwa Steven wassira na Makongoro Nyerere walihamia NCCR kwa kupinga kukatwa mwaka 1995 na wakarudi CCM? Hao sio political sluts? Mbona wako kwenye timu ya kampeni ya Magufuli?
*********

Hoja ya Ufisadi iliibuliwa nanyi. Mmeweza kuitetea?! Si ni hao mliowaita Mafisadi ndio sasa hivi mnawaita makamanda? Kuna jipya gani!? Huo sio Umalaya wa kisiasa?!

Kijana weka akiba ya maneno, unaweza kudhani unatukana watu kumbe unatukana wenzako wenyewe. Marehemu Mhe (mungu amrehemu) alisema "Lowassa anaenda kufia chadema", matokeo yake kafa yeye, kamuacha Lowassa anapeta!

Unaogopa kufa kana kwamba ni dhambi. Kusema yaliyo dhahiri ni tatizo? Nikisema amedhoofu na kama ni kweli shida iko wapi? Sina tatizo na kufa wala kuumwa, nina tatizo na mtu anayetaka ridhaa ya kuniongoza ilihali hayuko fiti, atawezaje? Unadhani naogopa kusema Mzee hali yake ni mbaya nanyi mnashiriki dhambi ya kumtumikisha ili kuvuna political capital!? Shame shame!

Kijana naona sasa mjadala umekuelemea maana unabadili hoja kila ukipost. Hoja iko wazi. Kama unasema Lowassa alikatwa na tume ya maadili kwa sababu ni fisadi, mbona husemi na kina Augustino ambao nao walikatwa na tume hiyo hiyo ni mafisadi as well? Kama Lowassa ni fisadi si angekatwa peke yake halafu wenzake 30+ wakaingia halmashauri kuu kupigiwa kura? Mbona hoja rahisi huielewi?

Huu ndio mfano wa uelewa wenu nyinyi watu mliosomea mitaala ya kina Mulugo chini ya CCM! Ndio maana kipaumbele lazima kipaumbele kiwe ELIMU, ELIMU na ELIMU. Kama watu wenye degree wanasema Zanzibar imeungana na Zimbabwe na Saddam alikuwa rais wa Kuwait, sikushangai wewe kwa kutoelewa hoja kama hii, kuna watu wana Phd wanaitwa madokta, lakini sentensi rahisi tu za kingereza zinawashinda, sasa sijui hizo Phd walisomea kwa lugha gani? Anyway nisiseme mengi sana... 'i am politicians' :A S wink:.

Tukitaka Rais wa kiingereza, tumpigie kura mzungu tumalize. Halafu ndio unajiita msomi wa enzi? Hahaha. Putin kila siku anahutubia kwa uhuru kwa lugha yake, hana kiingereza. Lugha sio Ishu na kuchapia ni suala la kawaida. Rais ambaye amepimwa kwa vigezo vya uwajibikaji ndiye suluhisho. Magufuli unamwonaje?? Ukitafuta records za Lowassa ni za kumwulika kwa tochi. Sana sana utasikia madili aliyokuwa anashiriki yeye na mzee wake Kingu (watoto wao pia ni shida nyingine mjini, wanatumia mivuli ya dingi zao kufanya dirty stuffs, u want me to name them? Rizimoko inclusive)..

Anayejua Kizungu ndiye yule anayetetemeka kwenye jua kali la Jangwani? Ndiye yule aliyesema 'People are becoming very poorer because of empty stomach'? Hahahah.. Unahitaji video yake? Worry not. CitizenTV Kenya got it for you.. Go check it..

Hujalazimishwa kumpigia Lowassa, nashangaa kwa nini unapinga haki yake ya kikatiba ya kugombea urais. Unachoogopa ni nini? Ingekuwa Lowassa ameunda jeshi la waasi kama M23 hapo sawa, ungekuwa sahihi kusema "anang'ang'ania", lakini mtu amechukua fomu kihalali tatizo lako ni nini? Kwa 'wazee' kama mimi naona unatishwa na mafuriko tu. Udhaifu wa mgombea wetu kwa nini linakuwa suala kwako? Kama anaharisha, tuko watu tutakaoharisha nae mpaka ikulu!
Dah! Haya sio mahaba kweli? Halafu ni mwanaume ndiye unayetamka maneno haya, Astaghfirullah! Harisha tu baba'ngu!

Whether CCM inashinda au Chadema inashinda sio tatizo kwangu. Mimi sifanyi mashindano kama nyinyi watoto wadogo mnaogeuza siasa kuwa vita. Ikishinda CCM maana yake ni kuwa watu wenye akili kama zako ni wengi kuliko watu wenye akili kama zangu. Wala haitakuwa na uhusiano wowote na suala la ubora wa CCM.

Takwimu za wajinga ni wengi. Na wachache hushinda kwa hoja. Kundi la ushindi haliwezi kuwa kundi la wajinga bali la werevu. Wajinga wakishinda, kelele watapiga nani?! Nyie mna kazi ya kupiga kelele tu. Mnasahau majukumu yenu kwa kuwa mnaalikwa Juisi Ikulu!? Hahaha.. Pole! Naona umeamua kuwa sympathetic baada ya kuona mambo hayaendi.. Kazi mnayo kuchaji battery yenu, maana mmeamua kutumia 'smatifoni ya kichina'..

Hahaha, wazee wa kukopi na kupesti kwenye ubora wenu. Lowassa akisema mabadiliko, Magufuli naye anasema yeye ndio mabadiliko, Lowassa akisema M4C, Magufuli naye anaiga M4C, mkiona nyomi la watu, nyie mnakodi bongofleva nzima, bongo muvi nzima na mafuso juu, ili tu mpige picha mseme na nyie mlijaza uwanja. Roma kaimba viva Roma, naona na wewe unaleta VivaCCM. Halafu bado unadai CCM iko juu? Haya bwana..

Hahahah! Bado sana. Tunaitafutia Sera ile 'Ulipo Tupo'. Maana naona nyie mna share na CRDB. Kwa taarifa yenu tu, CCM inaamua kucheza hii game in the name of campaign ili tu kuvuta muda. Ziara za Kinana unazikumbuka? Were them for nothing??? Kaa hapo hapo!!!

On a serious note: Mnamuumiza mzee wa watu. Mpeni muda apumzike. Politics aside, he's in pain.
 
*********

Hoja ya Ufisadi iliibuliwa nanyi. Mmeweza kuitetea?! Si ni hao mliowaita Mafisadi ndio sasa hivi mnawaita makamanda? Kuna jipya gani!? Huo sio Umalaya wa kisiasa?!

Asante kwa kujua kuwa hoja ya ufisadi ni zao la UKAWA na sio CCM. Sasa nipe sababu kwa nini CCM haikuwa na hoja ya ufisadi wakati Chadema walikuwa nayo? Kwa nini walikaa kimya? Pili, nikufahamishe kuwa hoja ya ufisadi haijafa, ipo pale pale. Lowassa ameondolewa kwenye hukumu na sasa Kikwete amemreplace. Hoja haijafa, watuhumiwa ndio waliobadilika ,mbona ni jambo simple kuelewa kijana? Kama umeelewa Sadam kuwa rais wa Kuwait unashindwaje kuelewa hili?
Umalaya wa kisiasa ni msemo ulioanzishwa na Mwalimu. Haina maana yoyote nyingine isipokuwa kuhama hama vyama. Sasa tuambie, Makongoro na Wassira waliohama CCM kwenda NCCR kisha kurudi CCM ni malaya wa kisiasa au sio?

Unaogopa kufa kana kwamba ni dhambi. Kusema yaliyo dhahiri ni tatizo? Nikisema amedhoofu na kama ni kweli shida iko wapi? Sina tatizo na kufa wala kuumwa, nina tatizo na mtu anayetaka ridhaa ya kuniongoza ilihali hayuko fiti, atawezaje? Unadhani naogopa kusema Mzee hali yake ni mbaya nanyi mnashiriki dhambi ya kumtumikisha ili kuvuna political capital!? Shame shame!
Nani kasema naogopa kufa? Umemtilia maneno Lowassa unaona haitoshi sasa unanitilia maneno na mimi? Kipi bora, aliyedhoofu na anaishi akiwa na akili timamu au anayepiga pushapu kumbe ana magonjwa yanayoweza kumuua anytime? Pili, Lowassa udhoofu kaanza lini? Maana kabla hajahama si alikuwa na vyeo kibao ndani ya CCM? Hamkuuona udhaifu wake back then? Tufanye Lowassa alienda kwa babu wa Loliondo kwa sababu ni mgonjwa, je huyu anayepiga pushapu hovyo yeye alienda kwa sababu anaumwa nini?

attachment.php



Tukitaka Rais wa kiingereza, tumpigie kura mzungu tumalize. Halafu ndio unajiita msomi wa enzi? Hahaha. Putin kila siku anahutubia kwa uhuru kwa lugha yake, hana kiingereza. Lugha sio Ishu na kuchapia ni suala la kawaida. Rais ambaye amepimwa kwa vigezo vya uwajibikaji ndiye suluhisho. Magufuli unamwonaje?? Ukitafuta records za Lowassa ni za kumwulika kwa tochi. Sana sana utasikia madili aliyokuwa anashiriki yeye na mzee wake Kingu (watoto wao pia ni shida nyingine mjini, wanatumia mivuli ya dingi zao kufanya dirty stuffs, u want me to name them? Rizimoko inclusive)..

Nilijua tu utajaribu kupindua hoja hii, lakini kwenye hili huchomoki kijana. Putin elimu yake toka msingi anafundishwa kwa lugha yake ya kirusi. Hivyo si ajabu kutojua kingereza. Huku kwetu kuanzia form one lugha ya kufundishia ni kingereza, sasa kama mtu ana degree tatu halafu anashindwa kujua matumizi ya singular na plural, mambo tuliyofundishwa primary school kwenye vitabu vya musa na neema (ulivitumia?), tumueleweje? Huyu ni bingwa wa kukariri tu, ndio maana hata kampeni yake anakopi na kupesti. Wewe lete video za Lowassa na Magufuli hapa tulinganishe sio unipe kazi za kwenda kuzitafuta, hoja si yako? Hoja zangu nilete video na za kwako pia nilete video? Mi nitachukulia kuwa hakuna kitu kama hicho.
Hayo mambo ya sijui mzee nani ni zile zile stori zako zisizokuwa na mashiko, sihangaiki kuzijibu kwa sababu HAZINA USHAHIDI. Halafu isitoshe wewe ndio ujieleze kwa sababu hao kina Rizmoko si ni wabunge wa CCM? Huyo mzee Kingu si mwanachama wa CCM? Mmewafukuza? Hapo ndipo unaponishangaza, mafisadi wamo kwenu lakini huishi kumtaja Lowassa tuu. Anyway, ushahidi uliopo ni ule wa kuuza nyumba za serikali kwa MICHEPUKO! Soma habari hii ambayo mwandishi wake ni MSEMAJI WA SASA WA IKULU YA CCM, jinsi inavyomuelezea mgombea wako wa CCM! Patamu hapo!
Bomu linalomwandama Magufuli

Info Post Subi Nukta

7/26/2015 07:50:00 PM

No Comment




[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]John Magufuli[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Habari hii ilichapishwa kwenye gazeti la RAI miaka michache iliyopita ikisomeka...

Huyu Ndiye Pombe Magufuli:

- Wasema nyumba 8,000 kauza kwa mkono wake mwenyewe
- Apuuza maonyo ya wataalamu- Mafaili ya Sundi na Musa aliyabeba kwapani

ALIYEKUWA Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, katika Serikali ya awamu ya tatu, aliteka madaraka na kuwa mwenyekiti wa zoezi la kuuza nyumba za serikali ambazo hadi sasa, zimeshauzwa 8,288 imefahamika.

Habari zilizopatikana ndani ya wakala wa Majengo ya Serikali (TBA), zimethibitishia Rai wiki hii kwamba Magufuli alihakikisha anashiriki kama Mwenyekiti katika zoezi zima la kuuza nyumba, ambalo kimsingi lilistahili kusimamiwa na Mtendaji Mkuu wa TBA.

Kwa mujibu wa vyanzo kadhaa vya habari ndani ya TBA, Magufuli alifanya kila aina ya ‘fujo' katika zoezi la kuuza nyumba hizo, wakati mwingine akibatilisha maamuzi yaliyofanywa na Kamati ya TBA ya kuuza nyumba hizo, akiwapangia watu nyumba kwa utashi wake na wakati mwingine akiwakemea wale wote waliomshauri kinyume na matakwa.

Ni chini ya utaratibu huo, habari zinaeleza kwamba Magufuli, aliyabeba yeye mwenyewe mafaili ya ndugu zake; Musa Magufuli ambaye ni mdogo wake, na Sundi Malomo ambaye ni mzazi mwenzake na kuwalazimisha watendaji wa TBA wafuate matakwa yake katika kuwapatia nyumba ndugu zake hao.

Habari hizo zinaeleza kwamba awali Mtendaji Mkuu wa TBA alimshauri Magufuli kwamba suala la mauzo ya nyumba kwa ndugu zake ni kinyume cha utaratibu. Hata hivyo, imeelezwa kwamba Magufuli alilazimisha huku akisema mdogo wake hana tatizo kwa sababu alikuwa tayari mfanyakazi wa Serikali.

Musa aliajiriwa kwa mkataba wa miezi mitatu, baada ya mwezi mmoja akauziwa nyumba na baada ya miezi miwili akaacha kazi.

"Kwa upande wa Sundi, kwanza ilikuwa Sundi auziwe nyumba moja kwa moja. Lakini Magufuli alipoonywa akashtuka na kusema suala hilo aachiwe yeye mwenyewe. Na ndipo akaibuka na jina la Stanley Manongi kwamba ndiye mnunuzi halisi na baba yake Sundi," vinasema vyanzo hivyo vya habari, vingine ambavyo vilishiriki moja kwa moja katika mchakato wa uuzaji nyumba hizo.

Habari hizo zinaendelea kueleza kwamba baadaye, Sundi alishtuka akitilia shaka uaminifu wa Manongi, kwamba angeweza kumdhulumu nyumba hiyo.

"Ndipo Magufuli aliibuka na mpango wa Sundi kuwa mtoto wa Manongi na mrithi wake na kisha kwa kuhakikisha kwamba hakuna dhuluma yoyote, mtoto wa Sundi naye akarithishwa na kama mrithi wa pili," chanzo hicho cha habari kinaeleza.

Chini ya sheria ya Executive Agency Act No. 30 ya mwaka 1997, TBA ilipewa madaraka yote ya kuuza nyumba za Serikali, kujenga nyumba mpya, kuzikarabati zilizopo pamoja na kugawa nyumba za madaraja A, B na C kwa wafanyakazi wa Serikali.

Sheria hiyo inaipa mamlaka ya kipekee ya kufanya shughuli zote bila kuingiliwa na chombo chochote.

Chini ya sheria hiyo, Waziri anaruhusiwa kuteua wajumbe wa bodi ya ushauri watakaomshauri Katibu Mkuu wa Wizara juu ya namna nzuri ya TBA kusimamia mamlaka yake.

Hadi Machi mwaka huu, wajumbe hao walikuwa ni J. Kijazi, E. Lipambila, E. Lugwisha, Msangi, E. Mwakalinga, D. Kisasi, P. Ncheye, F. Werema na A. Bukuku.

Hata hivyo, sheria haitoi nafasi yoyote kwa Waziri kusimamia shughuli za uuzwaji au upangaji wa nyumba za serikali.

Mtendaji Mkuu wa TBA Togolayi Makumba Kimweri, alipoulizwa kupitia kwa Katibu Muhtasi wake, alimwambia mwandishi wa Rai aandike maswali kisha asubiri kuruhusiwa kuingia ndani ya ofisi.

Hata hivyo, baada ya kusubiri kwa muda wa saa moja, mwandishi alipokwenda kuuliza akaambiwa kwamba Kimweri tayari alikwishaondoka ofisini kupitia mlango wa nyuma na asingeweza kurudi ofisini.

Lakini baadhi ya wafanyakazi wa TBA wameiambia Rai kwamba kinachoandikwa kwenye magazeti kuhusu ushiriki wa Magufuli kuuza nyumba za Serikali ni kidogo mno kuliko hali halisi.

Kama ilivyokuwa kwa mdogo wake Musa, waziri Magufuli alishinikiza mtoto wa dada yake anayeitwa James Doto Mgosha auziwe nyumba za serikali kwa kumtengenezea ajira ya muda mfupi katika TANROADS.

Tofauti na Musa, Doto ameuziwa nyumba hiyo kwa jina la mtu mwingine lakini anaishi katika nyumba hiyo, namba 64 iliyopo Kinondoni Flats.

Habari kutoka TBA zinaonyesha jina la mtu mwingine (tunalihifadhi) kuwa ndiye aliyeuziwa nyumba hiyo mtu huyo alipata kupitia utaratibu wa Magufuli kupeleka jina lake kwenye wakala wa majengo na kulazimisha apewe nyumba.

Alipoulizwa kwa njia ya simu, Doto alisema suala la ajira na nyumba waulizwe waliomwajiri na kumpa nyumba. Akakata simu.

Mfanyakazi mwingine alieleza Rai kwamba msichana mwingine (jina tunalihifadhi) akiwa na miezi minne tu kazini alipelekwa na Magufuli katika Wakala wa Majengo akilazimisha auziwe nyumba hata kabla ya kuthibitishwa kazini. Nyumba hiyo iko Block A, Ocean Road.

Hata hivyo, habari hizo zinaeleza kwamba msichana huyo ambaye hadi sasa anaishi na wazazi wake, ameipangisha nyumba hiyo kwa mfanyakazi mmoja wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa na analipwa kwa dola za kimarekani.

"Kuuza nyumba za serikali sawa, lakini kweli katika mtindo huu? Sisi tunaoshiriki kuzikagua na kuziratibu tukiomba hatupati, lakini wengine wanaingia serikalini miezi miwili wanapata nyumba. Na wengine hata si wafanyakazi, wanapata, hii si sahihi, alilalamika mfanyakazi mmoja aliyeandikia Rai kwa njia ya barua pepe.

Hadi Machi mwaka huu Wakala wa Majengo wa Serikali (TBA) walishauza nyumba 8,288 ambazo hata hivyo zilitakiwa kuuzwa kwa watumishi wa serikali.

Katika mauzo hayo, Serikali ilitarajia kupata jumla ya shilingi 60,016,556,439.00. Hata hivyo hadi sasa Serikali imepata shilingi 22,684,108,115.08.

Kwa sasa, Serikali imebakiwa na nyumba 1,098 zinazosimamiwa na TBA. Kati ya hizo, nyumba 692 zimetengwa kwa wafanyakazi wa Serikali, nyumba 675 kama tied quarters, nyumba 111 zinatumika kama Rest House za Serikali, wakati nyumba 40 zinatumika kama state lodges. Nyumba 24 zinatumika kama ofisi na nyingine 29 ni kama karakana na bohari.

SALVA RWEYEMAMU
RAI


Na nyingine tena just in case hutaki kuamini kuwa mgombea wako ana utata:

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameweka kiporo baadhi ya maswali likiwamo kuhusu uuzaji wa nyumba za serikali, kazi aliyoisimamia akiwa Waziri wa Ujenzi, katika Serikali ya Awamu ya Tatu.
Magufuli aliweka kiporo kujibu maswali hayo yaliyoelekezwa kwake wakati wa mahojiano maalumu yaliyofanyika mjini Tabora, Septemba 15, mwaka huu. Mahojiano hayo yalichapishwa Jumatano wiki iliyopita, katika Gazeti la Raia Mwema.
Mbali na swali kuhusu uuzaji wa nyumba za serikali, maswali mengine aliyoahirisha kuyajibu ni pamoja na kuhusu gharama kubwa za ujenzi wa barabara nchini ikilinganishwa na baadhi ya nchi, sambamba na ubora wa barabara hizo.
Swali hilo la nyumba, ambalo ni sehemu ya maswali 11 kwake liliuliza; "Suala la uuzaji wa nyumba za serikali ambalo limetekelezwa katika wakati ambao ukiwa Waziri wa Ujenzi bado gumzo na limekera Watanzania wengi. Unasemaje kuhusu hili?"
Kutokana na maswali hayo ambayo yalitangulizwa kwa Magufuli takriban wiki moja kabla ya mahojiano rasmi, maswali husika hayakujibiwa kwa maelezo kwamba yatajibiwa na Magufuli katika mahojiano yatakayopangwa wakati mwingine.
Uuzaji wa nyumba za serikali ulitekelezwa katika uongozi wa Rais Benjamin Mkapa na nyumba zaidi ya 8,000 ziliuzwa, baadhi zikiwa zimejengwa katika maeneo nyeti.
Inadaiwa kwamba katika uuzaji huo wa nyumba, Magufuli aliingilia mchakato wa uuzaji ambao unatajwa ulipaswa kusimamiwa moja kwa moja na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo ya Serikali (TBA).
Katika uingiliaji huo, Magufuli anadaiwa kufanikisha uuzaji wa mojawapo ya nyumba hizo za kwa Musa Magufuli ambaye ni mdogo wake, na Sundi Malomo anayedaiwa kuwa ni mzazi mwenzake na kuwalazimisha watendaji wa TBA wafuate matakwa yake katika kuwapatia nyumba ndugu zake hao.
Chini ya sheria ya Executive Agency Act No. 30 ya mwaka 1997, TBA ilipewa madaraka yote ya kuuza nyumba za serikali, kujenga nyumba mpya, kuzikarabati zilizopo pamoja na kugawa nyumba za madaraja A, B na C kwa wafanyakazi wa serikali na si Waziri wa Ujenzi wa wakati huo. Sheria hiyo inaipa mamlaka ya kipekee TBA ya kufanya shughuli zote bila kuingiliwa na chombo chochote.
Kwa mujibu wa sheria hiyo, waziri anaruhusiwa kuteua wajumbe wa bodi ya ushauri watakaomshauri Katibu Mkuu wa Wizara juu ya namna nzuri ya TBA kusimamia mamlaka yake.
Katika mauzo hayo ya nyumba, serikali inatajwa kutarajia kupata jumla ya shilingi 60,016,556,439.00, lakini taarifa zilikuwa zikionyesha kwamba imepata shilingi 22,684,108,115.08.
Miongoni mwa nyumba zinazomilikiwa na serikali kwa sasa ni 1,098 zinazosimamiwa na TBA, kati ya hizo, nyumba 692 zimetengwa kwa wafanyakazi wa serikali, nyumba 675 kama tied quarters, nyumba 111 zinatumika kama Rest House za Serikali, wakati nyumba 40 zinatumika kama state lodges. Nyumba 24 zinatumika kama ofisi na nyingine 29 ni kama karakana na bohari.
Katika bajeti ya mwaka 2010/2011, serikali, kupitia Wizara ya Ujenzi iliwasilisha bajeti yake bungeni mjini Dodoma na kueleza kwamba inataraji kutumia takriban Sh bilioni 5.7 kujenga nyumba mpya ili kuokoa mamilioni yanayotumika kuwalipia watumishi wanaolazimika kukaa hotelini kwa kukosa nyumba.
Hata hivyo, kiasi hicho cha fedha kilichotengwa kwa wakati huo ni pungufu ikilinganishwa na kile kilichotengwa awali, katika bajeti iliyotangulia ya 2009/2010, Sh bilioni 11.4 kwa ajili ya ujenzi huo wa nyumba. - See more at: Raia Mwema - Magufuli aweka kiporo uuzaji nyumba
 
Asante kwa kujua kuwa hoja ya ufisadi ni zao la UKAWA na sio CCM. Sasa nipe sababu kwa nini CCM haikuwa na hoja ya ufisadi wakati Chadema walikuwa nayo? Kwa nini walikaa kimya? Pili, nikufahamishe kuwa hoja ya ufisadi haijafa, ipo pale pale. Lowassa ameondolewa kwenye hukumu na sasa Kikwete amemreplace. Hoja haijafa, watuhumiwa ndio waliobadilika ,mbona ni jambo simple kuelewa kijana? Kama umeelewa Sadam kuwa rais wa Kuwait unashindwaje kuelewa hili?
Hahaha! Kweli mapenzi upofu. Wakati tukiwa na vita ya kupingana na mapenzi ya jinsia moja, naona kuna wengine bado mmo! Kweli Lowassa hapati mapenzi tu, bali Mahaba na ndiyo haya tunayoyashuhudia humu hahahaha.

Anyway, kilichofanya mbadilishe mashtaka ni nini? Na angekuwa hajahamia huko kwenu 'Mnngembadilishia mashtaka'? JK nae mashtaka yake pia yatabadilika? Na wale waliobaki kwenye ile orodha je? Bado hujajibu swali KWANINI MMEIONDOA ORODHA YA MAFISADI KWENYE SITE YA CDM, naona unaruka ruka tu mzee wangu!

Umalaya wa kisiasa ni msemo ulioanzishwa na Mwalimu. Haina maana yoyote nyingine isipokuwa kuhama hama vyama. Sasa tuambie, Makongoro na Wassira waliohama CCM kwenda NCCR kisha kurudi CCM ni malaya wa kisiasa au sio?
Kwahiyo umekubali kwamba hata ninyi ni malaya wa kisiasa?! Kopi na Kupesti au? Tufanye ni kawaida kwa kuwa wanasiasa hufuata maslahi, tupatoke hapo!

Nani kasema naogopa kufa? Umemtilia maneno Lowassa unaona haitoshi sasa unanitilia maneno na mimi? Kipi bora, aliyedhoofu na anaishi akiwa na akili timamu au anayepiga pushapu kumbe ana magonjwa yanayoweza kumuua anytime? Pili, Lowassa udhoofu kaanza lini? Maana kabla hajahama si alikuwa na vyeo kibao ndani ya CCM? Hamkuuona udhaifu wake back then? Tufanye Lowassa alienda kwa babu wa Loliondo kwa sababu ni mgonjwa, je huyu anayepiga pushapu hovyo yeye alienda kwa sababu anaumwa nini?
Umri wako na uzoefu wa kusikia/kusoma mengi bado tu hujang'amua uelekeo wa mantiki?! Kuna maneno yanatoa ujumbe zaidi ya yalivyo yenyewe, na hii ni kawaida. Sasa wewe kutaka maneno yaende vile unavyotaka wewe sijui nikusaidiaje? Umelelewa kwa shida mno achilia mbali darasani!

Nilijua tu utajaribu kupindua hoja hii, lakini kwenye hili huchomoki kijana. Putin elimu yake toka msingi anafundishwa kwa lugha yake ya kirusi. Hivyo si ajabu kutojua kingereza. Huku kwetu kuanzia form one lugha ya kufundishia ni kingereza, sasa kama mtu ana degree tatu halafu anashindwa kujua matumizi ya singular na plural, mambo tuliyofundishwa primary school kwenye vitabu vya musa na neema (ulivitumia?), tumueleweje? Huyu ni bingwa wa kukariri tu, ndio maana hata kampeni yake anakopi na kupesti. Wewe lete video za Lowassa na Magufuli hapa tulinganishe sio unipe kazi za kwenda kuzitafuta, hoja si yako? Hoja zangu nilete video na za kwako pia nilete video? Mi nitachukulia kuwa hakuna kitu kama hicho.
Bado, hakuna hoja hapo! Kiingereza ni big deal kwako? Hiyo PhD Magufuli aliiipatia hapa nchini? Au alighushi? Bado lugha sio swala la kushabikia kwa maana ni utumwa. Kikubwa ni, Je Kazi inafanyika?!

Hayo mambo ya sijui mzee nani ni zile zile stori zako zisizokuwa na mashiko, sihangaiki kuzijibu kwa sababu HAZINA USHAHIDI. Halafu isitoshe wewe ndio ujieleze kwa sababu hao kina Rizmoko si ni wabunge wa CCM? Huyo mzee Kingu si mwanachama wa CCM? Mmewafukuza? Hapo ndipo unaponishangaza, mafisadi wamo kwenu lakini huishi kumtaja Lowassa tuu. Anyway, ushahidi uliopo ni ule wa kuuza nyumba za serikali kwa MICHEPUKO! Soma habari hii ambayo mwandishi wake ni MSEMAJI WA SASA WA IKULU YA CCM, jinsi inavyomuelezea mgombea wako wa CCM! Patamu hapo!
Bado una tatizo la Uelewa. Hivi unadhani unaweza kumtenganisha Lowassa na CCM kwa haraka hivyo? Ni kitu kisichowezekana ndio maana hata yeye mwenyewe kwenye baadhi ya mikutano ya UKAWA alikuwa akiropoka 'CCM Oyeee'.

Ninachotaka kusema, EL ana watu wake ndani ya CCM alikoishi miaka mingi. Alijipanga kuwa rais, he could've spent everything he had to gain 'confidence' kutoka kwa watu wake. Subiri Magufuli akiingia utawaona tu, kwa sasa ni ngumu kuwaona coz ni chui waliomo kwenye ngozi ya kondoo! Nashindwa kukusaidia kuelewa kwa kweli, ni tatizo la kitaalamu zaidi.
Haahahaha hii skendo ya Magufuli huwa nabaki hoi tu. Hivi hujui hii skendo ilitokea enzi za Uwaziri Mkuu wa Mr Zero? Unajua Sumaye alisema nini kujibu hizi tuhuma zilizomwandama Magufuli? Hahahaa... We mzee ni wa kukuonea huruma tu. Gunia la M***v mlilloamua kulibeba haliuziki! Wait to see..

By the way. hili swali hata Jembe lenu Mbatia alishawahi kulichokonoa na Mr Zero aka Chief Campaign Manager wenu wa sasa alikuwa na haya ya kusema;



Swallow that!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha! Kweli mapenzi upofu. Wakati tukiwa na vita ya kupingana na mapenzi ya jinsia moja, naona kuna wengine bado mmo! Kweli Lowassa hapati mapenzi tu, bali Mahaba na ndiyo haya tunayoyashuhudia humu hahahaha.

Nasikitika siwezi kuendelea na mjadala na wewe kutokana na lugha zako za matusi. Staili hiyo ya mjadala ni chini (au tuseme juu) ya uwezo wangu. Tufanye tu kuwa umeshinda. Asante.
 
Nasikitika siwezi kuendelea na mjadala na wewe kutokana na lugha zako za matusi. Staili hiyo ya mjadala ni chini (au tuseme juu) ya uwezo wangu. Tufanye tu kuwa umeshinda. Asante.

Kwani tulikuwa tunashindana? Man up! Unatafuta cheap sympathy kukwepa mjadala.. I didn't mean to offend you anyway. Kumradhi.
But when things get hot misinterpretation is inevitable and for this matter u've badly got me wrong..

Best of luck in your way.
#TukutaneOkt
 
Back
Top Bottom