Mangungu atoa kauli sakata la Try Again kumteua MO kuwa Mwenyekiti Bodi ya Simba

Mangungu atoa kauli sakata la Try Again kumteua MO kuwa Mwenyekiti Bodi ya Simba

Yeye Try again kama amejiuzulu sawa hayo ni matakwa yake Binafsi,Ila Sisi wenye 51%ndio tutachagua Mwenyekiti mpya wa kufanya nae kazi hata huyo Mo mwenyewe hana maamuzi ya kuteua Mwenyekiti Tuheshimu katiba.

© MANGUNGU 🙌
Simpendi Mangungu lakini Kwa hili Yuko sahihi. Haiwezekani Mo alipojiuzulu akamteua Try Again, halafu Jana Try Again anajiuzulu anamteua tena Mo. Yaani ni kama mchezo wa Urais na uwaziri Mkuu wa Rusia!!!?
 
Wameshasema wasemaji huyu NI Yanga kaja kuvuruga Simba, tangu kaingia NI vurugu tupu
Mwanzoni nilikuwa nadhani wanamsingizia ila sasa kadhihirisha wazi kuwa ana kazi maalumu pale Simba. Washabiki, wapenzi na wanachama wa Simba jiandaeni kwa msimu mwingine wa kulia na kusaga meno. Kama kweli huyu mzee angekuwa Simba damu damu zile goli tano jumlisha kushika nafasi ya tatu zingekuwa sababu tosha za yeye kujiuzulu na kupisha wengine waongoze na sio kujibu kifedhulfedhuli namna hiyo.

Huyu mtu hana aibu kabisa na sijui hana mke, majirani, marafiki au watoto au zaidi hata wakwe zake wa kumshauri aachane na Simba afakafanye shughuli zake kama anazo kuliko kung'ang'ania huo uongozi ambao watu kibao wameshampinga. Hivi na ile kamati ya wakina Zungu na Tulia kule bungeni Dodoma kwa nini isitume ujumbe kwake aachie ngazi kwa maslahi mapana ya Simba?

Kama anataka kuongoza mpira si lazima ang'ang'anie Simba si aende akaifufue Pan Africa. Si anasema anazo pesa za usajili si akasajili wachezaji Pan Africa ili wapande daraja? Kwa nini anang'ang'ania asajili wachezaji hapo Simba bado hajaridhika tu na magarasa waliyoyaleta anataka aengezee mengine?
 
Mwanzoni nilikuwa nadhani wanamsingizia ila sasa kadhihirisha wazi kuwa ana kazi maalumu pale Simba. Washabiki, wapenzi na wanachama wa Simba jiandaeni kwa msimu mwingine wa kulia na kusaga meno. Kama kweli huyu mzee angekuwa Simba damu damu zile goli tano jumlisha kushika nafasi ya tatu zingekuwa sababu tosha za yeye kujiuzulu na kupisha wengine waongoze na sio kujibu kifedhulfedhuli namna hiyo.

Huyu mtu hana aibu kabisa na sijui hana mke, majirani, marafiki au watoto au zaidi hata wakwe zake wa kumshauri aachane na Simba afakafanye shughuli zake kama anazo kuliko kung'ang'ania huo uongozi ambao watu kibao wameshampinga. Hivi na ile kamati ya wakina Zungu na Tulia kule bungeni Dodoma kwa nini isitume ujumbe kwake aachie ngazi kwa maslahi mapana ya Simba?

Kama anataka kuongoza mpira si lazima ang'ang'anie Simba si aende akaifufue Pan Africa. Si anasema anazo pesa za usajili si akasajili wachezaji Pan Africa ili wapande daraja? Kwa nini anang'ang'ania asajili wachezaji hapo Simba bado hajaridhika tu na magarasa waliyoyaleta anataka aengezee mengine?
Hivi Simba yaani hamjui kuwa tatizo lenu ni Mo
Mo amejitokeza kuona baadhi ya watu wanaojielewa wanamsumbua saiv mbumbumbu wanaibuka tena wanarudiaha mangungu nyuma
 
Huyo ndo Sultani Mangungu kichwa kama parachichi ,bure kabisa yule mzee njaa kali sana
 
Mangungu hana weledi wa kazi ajiuzuli tu , simba chini ya mo inakua salama zaidi kimpira ushahidi tunao.
Mlipumbazwa na mafanikio mkasahau Mchakato uliowafikisha hapo, laiti mngesimia ule mchakoto wa uendeshaji club msingefika hapo, na ujinga anaokosea Mo ni kutaka kuiflience kuwa yeye ndiyo mwenye simba na anamamlaka wakati kwa mchakato ambao simba wamefika Mangungu ndiyo Boss, kumisolate utawaletea matatizo makubwa.

Mo anachotakiwa kufanya ni kushirikiana na Mangungu na waliopo kwenye bodi upande wa wanachama
 
Mwanzoni nilikuwa nadhani wanamsingizia ila sasa kadhihirisha wazi kuwa ana kazi maalumu pale Simba. Washabiki, wapenzi na wanachama wa Simba jiandaeni kwa msimu mwingine wa kulia na kusaga meno. Kama kweli huyu mzee angekuwa Simba damu damu zile goli tano jumlisha kushika nafasi ya tatu zingekuwa sababu tosha za yeye kujiuzulu na kupisha wengine waongoze na sio kujibu kifedhulfedhuli namna hiyo.

Huyu mtu hana aibu kabisa na sijui hana mke, majirani, marafiki au watoto au zaidi hata wakwe zake wa kumshauri aachane na Simba afakafanye shughuli zake kama anazo kuliko kung'ang'ania huo uongozi ambao watu kibao wameshampinga. Hivi na ile kamati ya wakina Zungu na Tulia kule bungeni Dodoma kwa nini isitume ujumbe kwake aachie ngazi kwa maslahi mapana ya Simba?

Kama anataka kuongoza mpira si lazima ang'ang'anie Simba si aende akaifufue Pan Africa. Si anasema anazo pesa za usajili si akasajili wachezaji Pan Africa ili wapande daraja? Kwa nini anang'ang'ania asajili wachezaji hapo Simba bado hajaridhika tu na magarasa waliyoyaleta anataka aengezee mengine?
Kosa la Mangunga hapo ni nini?
 
Mlipumbazwa na mafanikio mkasahau Mchakato uliowafikisha hapo, laiti mngesimia ile chako wa uendeshaji club maingefikia hapo, na ujinga anao kosea Mo ni kutaka kuiflience kuwa yeye ndiyo mwenye simba na anamamlaka wakati kwa mchakato ambao simba wamefika Mangungu ndiyo Boss, kuisolate utawaletea matatizo makubwa.

Mo anachotakiwa kufanya ni kushirikiana na Mangungu na waliopo kwenye bodi upande wa wanachama
Wewe ni wana uto Kafie mbali😁😁
 
Kupanda na kushuka ni jambo la kawaida kwenye taasisi, hata Yanga walipitia haya na mabakuli yao
Yanga hawajawahi kupandikizwa pandikizi kama tulivyofanyiwa Simba.
Huyu mzee ni pandikizi la utopolo na wanaowezesha hili wapo na hela wasizo na uchungu nazo
 
Mwanzoni nilikuwa nadhani wanamsingizia ila sasa kadhihirisha wazi kuwa ana kazi maalumu pale Simba. Washabiki, wapenzi na wanachama wa Simba jiandaeni kwa msimu mwingine wa kulia na kusaga meno. Kama kweli huyu mzee angekuwa Simba damu damu zile goli tano jumlisha kushika nafasi ya tatu zingekuwa sababu tosha za yeye kujiuzulu na kupisha wengine waongoze na sio kujibu kifedhulfedhuli namna hiyo.

Huyu mtu hana aibu kabisa na sijui hana mke, majirani, marafiki au watoto au zaidi hata wakwe zake wa kumshauri aachane na Simba afakafanye shughuli zake kama anazo kuliko kung'ang'ania huo uongozi ambao watu kibao wameshampinga. Hivi na ile kamati ya wakina Zungu na Tulia kule bungeni Dodoma kwa nini isitume ujumbe kwake aachie ngazi kwa maslahi mapana ya Simba?

Kama anataka kuongoza mpira si lazima ang'ang'anie Simba si aende akaifufue Pan Africa. Si anasema anazo pesa za usajili si akasajili wachezaji Pan Africa ili wapande daraja? Kwa nini anang'ang'ania asajili wachezaji hapo Simba bado hajaridhika tu na magarasa waliyoyaleta anataka aengezee mengine?
Kwa akili zako timamu,hii ni sawa?
 

Attachments

  • FB_IMG_17182094317651336.jpg
    FB_IMG_17182094317651336.jpg
    165.3 KB · Views: 1
Yanga hawajawahi kupandikizwa pandikizi kama tulivyofanyiwa Simba.
Huyu mzee ni pandikizi la utopolo na wanaowezesha hili wapo na hela wasizo na uchungu nazo
Point yangu n kwamba club Hua zinapita kwenye changamoto mbalimbali, hayo mambo ya kuna pandikizi Mm cyajui
 
Point yangu n kwamba club Hua zinapita kwenye changamoto mbalimbali, hayo mambo ya kuna pandikizi Mm cyajui
Wanaosema ni pandikizi ni maneno ya kishabiki tu,,pandikizi vipi wakati amechaguliwa kwa kupigiwa kura na wanachama..

Simba bado ni timu bora ila kwasasa imezidiwa na yanga kwenye eneo moja tu nalo ni uwajibikaji wa dhati wa kila mdau kwenye eneo lake.
 
Vyura wanapiga kelele sana kwenye huu uzi kama vile wapo ndani ya madimbwi ya matope.
 
Upande wa Mo unazingua ila Magungu ni hovyo zaidi,huyu mzee hatakiwi kabisa kuwa kiongozi Simba
 
Mangungu ni kizazi Kilichosalia cha enzi za migogoro SIMBA. ..lilikuwa kosa kuchaguliwa ...
Kwenye zama mpya za mabadiliko yenye kasi tuna mtu/ kiongozi analeta siasa kama za vyama ktk badala ya uwekezaji na ufundi wa soccer
 
Back
Top Bottom