BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Nimemsikiliza Mangungu mda huu anahojiwa Clouds, itoshe kusema huyu mzee anamuogopa Mo. Hakuna swali alilohojiwa akajibu moja kwa moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mangungu anafuata Katiba, apewe maua yake.Mangungu hana weledi wa kazi ajiuzuli tu , simba chini ya mo inakua salama zaidi kimpira ushahidi tunao.
Acheni utapeli nyie machawa wa MoHicho kizee kisitambe na 51% kinasahau katika hizo 51 kuna 20 za waanzilishi ambazo ni untouchable, so kiuhalisia wanachama wana 31 na mudi ana 49 ambapo kwenye maamuzi anakuwa na nguvu zaidi yao, sema hili jambo haliwekwi wazi tu.
Onyesha(prove me wrong) nilipokosea kabla ya kupayuka kibaraka wa mangungu......wahedAcheni utapeli nyie machawa wa Mo
Kwani we ni Simba? Maana naona Simba na Yanga zimeshakuwa kama chadema na ccm.Kyume5r yako Mo.
Tusikubali Tena kuchqngishana.Ni Bora tuchangie ujenzi wa matundu ya vyoo na madawati watoto wetu wasikae chini kuliko kuchangia hizo timu ambazo sehemu kubwa ya fedha inaliwa na waganga wa kienyeji.Kupanda na kushuka ni jambo la kawaida kwenye taasisi, hata Yanga walipitia haya na mabakuli yao