Hicho kizee kisitambe na 51% kinasahau katika hizo 51 kuna 20 za waanzilishi ambazo ni untouchable, so kiuhalisia wanachama wana 31 na mudi ana 49 ambapo kwenye maamuzi anakuwa na nguvu zaidi yao, sema hili jambo haliwekwi wazi tu.
Tusikubali Tena kuchqngishana.Ni Bora tuchangie ujenzi wa matundu ya vyoo na madawati watoto wetu wasikae chini kuliko kuchangia hizo timu ambazo sehemu kubwa ya fedha inaliwa na waganga wa kienyeji.