kwahiyo kumbe, kuna mtu nje hapo anapambisha hawa watu waondoke kwa moo.Simple tu mkuu..,.hapo anamtafuta mdhamini mowingine ( silent ocean).....kazi kwisha
Mtumishi tangaza habari njema, jihusishe. Achana na makoloANATOA pesa yake ya mfukoni? anafanya biashara gani huyu hadi ashindane na MO.
ahaahahaa sawa mtumishi.Mtumishi tangaza habari njema, jihusishe. Achana na makolo