Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wagswane na wachezaji [emoji23][emoji23]Hii Simba wangeigawa mara mbili. Simba Mangungu na Simba MO. Kama zamani si kulikuwa na Simba na Small Simba. Baada ya mgawanyo huo kila mmoja afanye analotaka sasa. Mashabiki wa Simba mtachagua upande mnao taka.Tumechoka na mivutano yao isiyo na tija.
[emoji32][emoji32] we bibi ....inajuaje kama mangungu ni muongo..... what if kumbe ndo mmiliki wa space xEwe mangungu, epuka adhabu ya kaburi na kiama kwa kujiepusha na uongo. Mwenyez mungu akurehemu ,mgeukie mola upate rehma.
Utoto Gani yani mtu anafanya mabadiliko ndani ya kampuni yake useme ni utoto? Punguza mihemko jielimishe kuhusu jambo unalotaka kuliongeleaNyie machawa ndio chanzo cha yote haya hata kama mtu huna akili huwezi kuona huo ni utoto? Try again amejihuzuru baade anamteua Mo hio power kaitoa wapi? wakati Mo nae alie teuliwa na mtu alie jihuzuru anateua mtu hapo bado hauoni kuna utata?
Manzoki alishindwa kumsajili....Duuu!!
Kumbe Boss Mangungu ana hela ya usajili na hamsemi!
Huyu naye tumpe angalau 20% hisa za Simba atatufaa😎
Nyuma ya Mangungu hakuna matajiri; hao unaoona ni mashabiki tu.Nyuma ya Mangungu inawezekana tayari kuna matajiri wengine wanaitaka hii timu. Si bure. Huyuhuyu Ngungu ndio afanye usajili wa kina Mayele!