Manispaa ya Kahama itakuwa kama Jiji la Mwanza miaka 10-15 ijayo

Acha uongo wewe nyegezi hadi Nyamuhongolo ni kama 20km haifik 30km. Ukipita ile bypass ya usagara hadi kisesa ile sio shortcut?
Sijaongelea bypass ya kisesa usagara kumbe hata mwanza huijui zaidi ya kukariri tu, nimesema labda shirtcut ya buhongwa adi igoma kupitia kishiri ndio inaweza kuwa 20+ km, lakin kwa mzunguko tu ni zaidi ya 30+ km.... Ngoj nikuache uendelee kupuyanga na ubishi, na hii yote kwasababu ya wivu wa kwanini Mwanza inastendi mbili.
 
Wewe unamawazo finyu kweli mimi Mwanza ni nyumbani Nyegezi kona pale ila sina ukabila au ukanda kama wewe.
 
Vimji vya hovyo kama magulio ya mifugo hakuna kitu Cha maana huko ni mlundikano wa watu mafukara tuu kwenye Miji yote 2.
 
Hao wasukuma wa kanda ya ziwa wako serious kusaka pesa,hiyo miji ongezea na katoro ya geita ni miji ya kumake money.
Kwanza kadiri maeneo mengi ya Nchi yanavyozidi kufunguliwa na kufika Kwa miundombinu aina mbalimbali,inazaliwa Miji mipya na pia uhamiaji kwenye Miji mikubwa unapungua matokeo yake hiyo Miji mnayoitaja Kwa Sasa haiwezi kukua Kwa Kasi ya awali.
 
Yes kahamaa..maendeleo ni hatua...now days kwa Tanzania situation n the same..kubwa n watanzania esp vijana wamebadilika sn kimawazo kuhusu kujenga..sahv ukienda hata vijiji vya ndani ndani hko unakuta kijana amejenga.hii inapelekea miji kutanuka...kifupi nchi imefunguka..hta hapo kaham Kuna Sehem sahv mnaona mapori...give it miaka 5 utanambiaa..watu wanaongezeka na vijana wamechamgamkaa....chamuhim vijana tuamke tuu
 
Kwani kupeleka chuo cha serikari na hospital ndio maendeleo. Mbona mwanza kitambo imeendelea bila hivyo . Kuna uhusiano gani chuo cha serikari na maendeleo
Tens hakukuwa na barabara ya lami inayounganisha na mikoa mingine zaidi ya barabara ya Mwanza - Musoma / Sirari ambayo iliishia Nyanguge lakini Mwanza iliendelea fresh tu wakati mikoa mingine ilikuwa inateseka
 
Sawa kabisa ila kumbuka mji mdogo wa Katoro wilayani Geita unakuwa kwa kasi kuliko hata hiyo Kahama. Miaka kumi ijayo Katoro itakuwa mji mkubwa sana.
 
Sawa kabisa ila kumbuka mji mdogo wa Katoro wilayani Geita unakuwa kwa kasi kuliko hata hiyo Kahama. Miaka kumi ijayo Katoro itakuwa mji mkubwa sana.
Ni kweli, uko sahihi kuwa Katoro inakua. Lkn haimaanishi kuwa Kahama inashindana na Katoro. Maeneo mengi nchini yanakua
 
Kinachoshangaza huo mji mdogo wa Katoro hata Katibu Tarafa hayupo, wala mkuu wa Wilaya lakini jinsi unavyokwenda kasi inashangaza sana.
Ndiyo changamoto ya miji ya Kanda ya Ziwa, maendeleo mengi ya miji iliyopo Kanda ya Ziwa, serikali imewekeza kidogo sana
 
Usagala kisesa km 17.kisesa mwanza town km18
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…