Tetesi: Manji akabiliwa na kesi ya tatu, hii ni kuhusu tigo

Tetesi: Manji akabiliwa na kesi ya tatu, hii ni kuhusu tigo

ulipo nichekesha ni hapo uliposema Manji ana miliki Tigo kwa 90% hahahahahah
Hivi unajua hiyo case yake na Tigo ilifunguliwa lini?
Nyie ndio huwa mnafanya Jf ionekanane muda mwingine ni kijiwe cha wazushi na majungu..
 
Kwa uwekezaji huu,sasa naanza kuelewa kwa nini Manji anaandamwa,maana ni tajiri ambae hanyenyekei watawala,na inaelekea yupo timu pinzani ya 2020,sasa anapigishwa bench ili ajitoe kwenye kikosi cha mpinzani!!

Ila ni upumbavu kwa mwekezaji mkubwa kama huyu kumfanyia fitna!!
 
Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe.Hata na sisi pia zamu yetu inakaribia,hivyo tujiwekeni tayari siyo kumlilia Manji.

Mkuu acha kuleta utabiri ambao hauwezi kutimia. Mawe hasa yale ya pembeni (ya msingi) hayataguswa. Huyajui? moja wapo ni ESCROW. Tafuta na mengine yapo mengi. Utabiri wako hautatimia, haya hayataguswa kamwe.
 
Mkuu acha kuleta utabiri ambao hauwezi kutimia. Mawe hasa yale ya pembeni (ya msingi) hayataguswa. Huyajui? moja wapo ni ESCROW. Tafuta na mengine yapo mengi. Utabiri wako hautatimia, haya hayataguswa kamwe.
Amina,
 
Mchawi wa maendeo ya mtanzania ni mtanzania mwenyewe!

Yaani maccm yamedhamiria kweli yamuangushe manji, kwa hili yatagaragazwa tu
 
Hizi kesi za Manji ni umiza kichwa. Kuhusu kampuni ya simu hiyo if an aggrieved party files a case, it must be a civil case and not criminal.

Hili la madawa ya kulevya kwa mtu ambaye haukumkamata na madawa ya kulevya bali unasema vipimo vyako vimeonesha ni mtumiaji, hilo ni kichekesho. Sababu hata mgonjwa wa kisukari akipimwa vipimo vitasema ni mtumiaji wa madawa ya kulevya. Tena hata dawa za mafua nazo ukitumia kisha ukaenda kwa mkemia mkuu watasema wewe ni mbwia unga.

Tanzania ya Magafuli.
 
Ingekua vizuri sana kama ungetoa details kama mleta uzi.
HAHAHA mleta uzi katoa details gani zaidi ya uzushi? Mmeanza kuisikia juzi case ya Manji na Tigo? Na mkadanganywa kuwa ni serikali imefungua case....
 
Hizi kesi za Manji ni umiza kichwa. Kuhusu kampuni ya simu hiyo if an aggrieved party files a case, it must be a civil case and not criminal.

Hili la madawa ya kulevya kwa mtu ambaye haukumkamata na madawa ya kulevya bali unasema vipimo vyako vimeonesha ni mtumiaji, hilo ni kichekesho. Sababu hata mgonjwa wa kisukari akipimwa vipimo vitasema ni mtumiaji wa madawa ya kulevya. Tena hata dawa za mafua nazo ukitumia kisha ukaenda kwa mkemia mkuu watasema wewe ni mbwia unga.

Tanzania ya Magafuli.
Kawadanganye machizi wenzio kila dawa ya kulevya ina aina yeke..vipimo vinaonesha aina...manji yeye ni Heroin sasa kama Heroin ni sawa na dawa ya mafua hakuna shida...
 
Sasa akinyang'anywa ikirudi kwa waingereza , sisi ndio tunapoteza kwahili serikali wangemtetea.
 
Safi Kabisa....MANJI anatakiwa aisome namba ili siku nyingine asirudie. Dharau ya Vijisenti vyake aipeleke kwa Mkewe na Watumishi wake aliowaajiri. Asicheze na AUTHORITY. Tumuache apate funzo stahili.
 
..ndio maana nimesema manji akitoka tu basi achanechane lile li kadi la kijani....alafu aanze upya mapambano na utawala huu...kupitia upinzani...kama kina lowassa...asipofanya hivyo matajiri wa nchi hii wataendelea kuwatumikia watawala hawa mwanzo mwisho....kwa angalau miaka 17 kuanzia sasa hadi huyu juma pondamali amalize mda wake...
 
Back
Top Bottom