Tetesi: Manji akabiliwa na kesi ya tatu, hii ni kuhusu tigo

Tetesi: Manji akabiliwa na kesi ya tatu, hii ni kuhusu tigo

Hii ndiyo tabia ya ccm, ukitofautiana nao tu basi utaandamwa mpaka upotee, hapa inabidi ukawa waingilie kati kumtetea maana hakuna namna
Kwa kesi ya tigo anayemshitaki siyo serikali, ndivyo nimeelewa.
 
Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe.Hata na sisi pia zamu yetu inakaribia,hivyo tujiwekeni tayari siyo kumlilia Manji.

Unaouhakika au wanachagua mawe ya kugeuza sema kusubiri kila wanapobagua wanapigwa niwe la kisogoni kukumbushwa manake vichwa vyao vigumu mno Kama walivyokumbushwa masogange, wahindi WA Dangote bado madongo yapo.
 
Hizi kesi za Manji ni umiza kichwa. Kuhusu kampuni ya simu hiyo if an aggrieved party files a case, it must be a civil case and not criminal.

Hili la madawa ya kulevya kwa mtu ambaye haukumkamata na madawa ya kulevya bali unasema vipimo vyako vimeonesha ni mtumiaji, hilo ni kichekesho. Sababu hata mgonjwa wa kisukari akipimwa vipimo vitasema ni mtumiaji wa madawa ya kulevya. Tena hata dawa za mafua nazo ukitumia kisha ukaenda kwa mkemia mkuu watasema wewe ni mbwia unga.

Tanzania ya Magafuli.
Acha udaktari wako uchwara.Vipimo vinaweza kuonesha mpaka aina ya dawa unazotumia.

Wanamichezo wanaopimwa na kubainika kutumia dawa za kuongeza nguvu mbona huwa hawatumii hiyo defence wakafaulu kesi zao?Dawa ipi ya kisukari imetengenezwa kwa heroine? Kwani Manji ana kisukari?

Haha hivyo sio kila anayepelekwa mahakamani lazima akutwe na hatia bali ni kuhakikisha haki ya kila upande inalindwa na ndiyo kazi ya mahakama.
 
16906919_1814625065470020_5235302002652610560_n-1.jpg
 
Mushimiwa anaigeuza Feri kua getto la uporaji, hii ndio shida ya kuangukia usipotarajia.
 
Back
Top Bottom