Manji aliamsha dude; ameahirisha safari ya Yanga kesho kwa gari, watasafiri kwa ndege

Manji aliamsha dude; ameahirisha safari ya Yanga kesho kwa gari, watasafiri kwa ndege

craq

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
859
Reaction score
1,866
Taarifa zinaeleza kuwa Mfanyabiashara Yusuph Manji amesitisha safari ya Yanga kuelekea Kagera kwa njia ya basi, sasa wataondoka na ndege kesho.

Yanga itasafiri mkoani humo kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar, siku ya Jumamosi.

Nb:typing error kwenye heading ni kesho na sio kesho kutwa

e4949cb633e01093ffd05e7f5c2c315d.jpg


cdcee626d069cf0fbc7735a21f7053ea.jpg


6a1e9c29e3136fd6bd1cd9442b22059b.jpg


6a31ddf899166f68550df9c589d60aa0.jpg
 
Back
Top Bottom