Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
21,859
Reaction score
19,736
Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama kupitia vyombo vya habari mbalimbali (Azam,Itv etc,social media) upande wa evidence

1.Kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)

2.Kemikali ambayo imeonekana kwenye report ni Benzodiazepines na sio heroin ambayo mashitaka yana accuse however inawezekana chemical ikawa zao la heroin

3.Benzodiazepines (benzos) zinapatikana pharmacy na unaweza ukaandikiwa na dakatari kwa indications za kitabibu kama insomnia (kukosa usingizi) ,seizures (convulsions au degedege) ,alcohol withdrawal, generalised anxiety disorder (stress au woga au stress quencher)

3.Mazingira ya ushahidi ulivyochukuliwa yana utata kwa mujibu wa muwakilishi wa mkemia "askari waliingia na Manji toilet" what if urine iliyo iliyoletwa ilikua ya afande? au waliifanyia switching? ( kumbuka hii ni case ya jinai)

Nakumbuka mwalimu wangu wa "chemistry" aliniambia criminal case -Judgment has to be done in benefit of the accused (benefit of doubt) na tukiweka kumbukumbu sawa tunayakumbuka mazingira ya mwanzo wa case

Ni muda sasa wa upande wa Jamhuri kuonyesha kuwa hakuna wingu la shaka

Nawasilisha lengo langu sio ku pre-empty court decisions ndio maana uzi huu umepanda mara baada yakusikia muondelezo wa mashitaka jana .

Ma bush lawyer wenzangu to discuss
Simba oyeeeee,nadhani mwenyekiti wao atakua amepata funzo pia kwa yeye mwenyewe na kizazi chake
 
Si muda mrefu tutakuwa nae uraiani
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
 
Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama upande wa evidence kuna utata

1.kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)

2.Kemikali ambayo imeonekana kwenye report ni Benzodiazepines na sio heroin ambayo mashitaka yana accuse however inawezekana chemical ikawa zao la heroin

3.Benzodiazepines (benzos) zinapatikana pharmacy na unaweza ukaandikiwa na dakatari kwa indications za kitabibu kama insomnia (kukosa usingizi) ,seizures (convulsions au degedege) ,alcohol withdrawal, generalised anxiety disorder (stress au woga au stress quencher)

3.Mazingira ya ushahidi ulivyochukuliwa yana utata kwa kujibu wa mkemia "askari waliingia na Manji toilet" what if urine iliyo iliyoletwa ilikua ya afande? au waliifanyia switching? ( kumbuka hii ni case ya jinai)

Nakumbuka mwalimu wangu wa "chemistry" aliniambia criminal case -Judgment has to be done in benefit of the accused (benefit of doubt) na tukiweka kumbukumbu sawa tunayakumbuka mazingira ya mwanzo wa case

Ni muda sasa wa upande wa Jamhuri kuonyesha kuwa hakuna wingu la shaka

Nawasilisha lengo langu sio ku pre-empty court decisions ndio maana uzi huu umepanda mara baada yakusikia muondelezo wa mashitaka jana .

Ma bush lawyer wenzangu to discuss
Simba oyeeeee
Mkuu Mwekundu hapo hakuna kitu tayari bali ni mwendelezo wa kuangukia pua chini ya uratibu wa ADB
 
Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama upande wa evidence kuna utata

1.kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)

2.Kemikali ambayo imeonekana kwenye report ni Benzodiazepines na sio heroin ambayo mashitaka yana accuse however inawezekana chemical ikawa zao la heroin

3.Benzodiazepines (benzos) zinapatikana pharmacy na unaweza ukaandikiwa na dakatari kwa indications za kitabibu kama insomnia (kukosa usingizi) ,seizures (convulsions au degedege) ,alcohol withdrawal, generalised anxiety disorder (stress au woga au stress quencher)

3.Mazingira ya ushahidi ulivyochukuliwa yana utata kwa kujibu wa mkemia "askari waliingia na Manji toilet" what if urine iliyo iliyoletwa ilikua ya afande? au waliifanyia switching? ( kumbuka hii ni case ya jinai)

Nakumbuka mwalimu wangu wa "chemistry" aliniambia criminal case -Judgment has to be done in benefit of the accused (benefit of doubt) na tukiweka kumbukumbu sawa tunayakumbuka mazingira ya mwanzo wa case

Ni muda sasa wa upande wa Jamhuri kuonyesha kuwa hakuna wingu la shaka

Nawasilisha lengo langu sio ku pre-empty court decisions ndio maana uzi huu umepanda mara baada yakusikia muondelezo wa mashitaka jana .

Ma bush lawyer wenzangu to discuss
Simba oyeeeee
Hii ni Contempt of Court. Bush lawyer sasa sio wakati wa mazungumzo haya .
 
Back
Top Bottom