Wewe ndo uache kuota ndoto.. mara ngapi serikali inafungua kesi kutuhumu watu na inang'ang'ana lakini wanakuwa hawana evidence za maanaacheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Sent using Jamii Forums mobile app