Wewe ndo uache kuota ndoto.. mara ngapi serikali inafungua kesi kutuhumu watu na inang'ang'ana lakini wanakuwa hawana evidence za maanaacheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
yahifadhi maneno yako,yawe hivihivi baada ya manji kutokaacheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Kwa uongozi huu wa bashite? Wote waliokamatwa wapo nje sasa kabaki Manji tu.acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Samahani, unazungumzia serikali gani vile? unajua ni kesi ngapi serikali imepigwa za macho? tena vikesi vingine vya kitoto kabisa wala havikuwa na haja ya kuvipeleka mahakamani. alafu unasema wanajirizisha kwanza.acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
We nae. umekaa kututisha tisha tu. Khaaa!!- Unzao akili na umenielewa that is all that is important!, mengine baki nayo tu!
le Mutuz
Mwili mkubwa akili nukta
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
kumbe ndio maana huku mitaani wanajitapa sana kuwa serikali na TFF ni ya simba hivyo yanga hawana lolote?!!!Napata shaka kama kwenye matatizo ya manj hakuna elements za u simba na uyanga
Baada ya kufukuzwa kama popi toka kwa Mosha nasikia siku hizi unashinda lumumba unajidai kuuza kahawa- Mwili mdogo akili gunia lakini umenijibu? hahahahahahahaha
le Mutuz
Umeonaeeeeeeeee? ila wana shindwa kujua kuwa yanga ni timu ya wananchikumbe ndio maana huku mitaani wanajitapa sana kuwa serikali na TFF ni ya simba hivyo yanga hawana lolote?!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki ni kichekesho cha karne.acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Kesi ngapi walijiridhisha wakatoka vichwa chini? Tafakariacheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Hakuna kesi hapo ni kupotezeana muda na visasi visivyo na msingi.acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Ukubwa wa mwili hauna uhusiano na ukubwa wa akili babu yangu, mara nyingi umekuwa unajisifu kuwa wewe ni akili kubwa kumbe si lolote wala si chochote, umeshindwa hata na watoto wadogo waliopewa uongozi kwenye chama na serikali, wewe pamoja na kuwa mtoto wa kigogo lakini hakuna anayekuamini hata kusimamia foleni ya watoto ya chakula.- Haya maelezo yanatakiwa mahakamani sio huku, hii sio siasa kumbuka Manji yupo rumande mnapoandika hivi mnawachkonoa wanasiasa sijui kama mnamsaidia Manji, cause mtu yoyote mwenye akili kubwa kama mimi ukisoma hii unajua kabisa kuwa imeandikwa na mtu wenye sababu maalum behind it, jamani hii Serikali sio ile ya zamani!!
le Mutuz
Kweli kabisa mkuu, ndiyo maana serikali uwa haishindwi kesi hata moja!!!!!!!!!!!!!!! Bombadier kushilikiliwa ni wivu tu wala siyo maswala ya kushindwa kesi!!!!!!!!!!!!!!!!acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.