Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Na wasiwasi na hii conclusion yako.
 
- Haya maelezo yanatakiwa mahakamani sio huku, hii sio siasa kumbuka Manji yupo rumande mnapoandika hivi mnawachkonoa wanasiasa sijui kama mnamsaidia Manji, cause mtu yoyote mwenye akili kubwa kama mimi ukisoma hii unajua kabisa kuwa imeandikwa na mtu wenye sababu maalum behind it, jamani hii Serikali sio ile ya zamani!!

le Mutuz
Una matatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama kupitia vyombo vya habari mbalimbali (Azam,Itv etc,social media) upande wa evidence

1.Kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)

2.Kemikali ambayo imeonekana kwenye report ni Benzodiazepines na sio heroin ambayo mashitaka yana accuse however inawezekana chemical ikawa zao la heroin

3.Benzodiazepines (benzos) zinapatikana pharmacy na unaweza ukaandikiwa na dakatari kwa indications za kitabibu kama insomnia (kukosa usingizi) ,seizures (convulsions au degedege) ,alcohol withdrawal, generalised anxiety disorder (stress au woga au stress quencher)

3.Mazingira ya ushahidi ulivyochukuliwa yana utata kwa mujibu wa muwakilishi wa mkemia "askari waliingia na Manji toilet" what if urine iliyo iliyoletwa ilikua ya afande? au waliifanyia switching? ( kumbuka hii ni case ya jinai)

Nakumbuka mwalimu wangu wa "chemistry" aliniambia criminal case -Judgment has to be done in benefit of the accused (benefit of doubt) na tukiweka kumbukumbu sawa tunayakumbuka mazingira ya mwanzo wa case

Ni muda sasa wa upande wa Jamhuri kuonyesha kuwa hakuna wingu la shaka

Nawasilisha lengo langu sio ku pre-empty court decisions ndio maana uzi huu umepanda mara baada yakusikia muondelezo wa mashitaka jana .

Ma bush lawyer wenzangu to discuss
Simba oyeeeee,nadhani mwenyekiti wao atakua amepata funzo pia kwa yeye mwenyewe na kizazi chake
Kesi ya Manji ni ya uzushi tu.

Wamemzushia kwa sababu katumia hela zake kuwafadhili rafiki zake walio wapinzani. Hilo ndilo kosa lake.

Habari za madawa ni geresha za kitoto tu hizo.
 
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Siyo kwetu hapa.
 
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Kwan hzo kesi wanazoshindwaga siku zote huwaga wanajiridhisha maridhisho hewaa!!??
For ur information 70% ya kesi dhidi ya jamhuri... Jamhuri hushindwa...
Swala sio jamhuri kung'ang'ania wala nn mawakili wa serikali wengi wao ni mabashite na wananunulika kirahisi hvyo usitegemee mtu kama manji kushindwa kesi dhidi ya jamhuri
 
wana Yanga naona mmejawa na hasira za jana. unajua manji angekuwa uraiani mngeshinda jana. halafu hata hamjamsaidia lolote tajiri yetu anahangaika peke yake tu. urafiki wenu upo tu uwanjani ila kwenye matatizo mnajifanya hammjui. poleni kwa kipigo cha jana hata hivyo niny ndala yeboyebo!
Mnyama OG
 
Si muda mrefu tutakuwa nae uraiani
Ukumbuke ana kesi 2, ya pili ndo iliyomweka keko,hii ya kwanza ya Madawa ya kulevya alishapata dhamana.


May Allah bless Me and You
 
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Si kweli.
Rejea kesi ya MASAMAKI,aliyekuwa mkurugenzi wa Tanesco na wengine wengi ambao walishtakiwa na mwishowe dola ikachemka

May Allah bless Me and You
 
Napata shaka kama kwenye matatizo ya manj hakuna elements za u simba na uyanga
Sidhani.
Maana hadi bosi wa TFF yupo huko,ukiacha rais na makamo wa rais wa simba

May Allah bless Me and You
 
- Haya maelezo yanatakiwa mahakamani sio huku, hii sio siasa kumbuka Manji yupo rumande mnapoandika hivi mnawachkonoa wanasiasa sijui kama mnamsaidia Manji, cause mtu yoyote mwenye akili kubwa kama mimi ukisoma hii unajua kabisa kuwa imeandikwa na mtu wenye sababu maalum behind it, jamani hii Serikali sio ile ya zamani!!

le Mutuz
Usiwanyime watu uhuru wa kujadili,mahakama itatoa hukumu kwa facts na si maelezo ya JF.

May Allah bless Me and You
 
Lengo nadhani sio kumfunga Manji kwa kutumia dawa za Kulevya ila ni kuwatisha hawa matajiri wanaoharibiwa na wauza dawa za kulevya kuacha kununua na kujidunga kwani zinawaharibu na wapo wengi. Kesi atalipa tu fine lakini atakuwa amejifunza kuacha kula madawa kwa faida yake na kizazi chake. wauzaji madawa ni wauaji.

kwa kesi hii ya aliyekuwa Rais wa watani zangu wa jadi kwa kweli namuhurumia sana Manji. Kijana mdogo lakini wamemuingiza kwenye madudu ya dawa. binaadam wabaya jamani. Mungu tuhurumie na utusamehe sisi na vizazi vyetu tuepushe na mtihani huu wa madawa ya kulevya unaomsibu Manji.

Pia usimwache Manji peke yake msaidie avuke salama na aachane na madawa ya kulevya. Wapige dafrau wauzaji wote wa madawa kwani ni wauaji. Amen
Alipe fine vipi na aina ya dawa alokutwa nayo inasemwa hata pharmacy zinapatikana.Subir mahakama iseme

May Allah bless Me and You
 
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.

Unazungumzia Serikali hii inayokurupuka kila siku kufungua kesi pasipokujua sheria zilizokiukwa?
Kweli kupenda chongo, utasema kengeza!
 
Kwan hzo kesi wanazoshindwaga siku zote huwaga wanajiridhisha maridhisho hewaa!!??
For ur information 70% ya kesi dhidi ya jamhuri... Jamhuri hushindwa...
Swala sio jamhuri kung'ang'ania wala nn mawakili wa serikali wengi wao ni mabashite na wananunulika kirahisi hvyo usitegemee mtu kama manji kushindwa kesi dhidi ya jamhuri
Hata akishinda lakini adabu atakuwa ameipata! Alikuwa ana dharau sana huyu mhindi
 
1.Kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)
Huyu Tundu Lissu anawapotosha sana ma bush lawyer kama wewe,kukataa kusaini hakuondoi tuhuma au kuupoteza huo ushahidi
 
Back
Top Bottom