Manji kuzikwa Marekani kumedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga. Tuna safari ndefu kama nchi katika katiba na elimu ya uraia

Manji kuzikwa Marekani kumedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga. Tuna safari ndefu kama nchi katika katiba na elimu ya uraia

..watu pia watofautishe passport na uraia.

..passport ni hati ya usafiri tu, ambayo hutolewa na serikali husika.

..kuwa na passport ya nchi fulani haimaanishi mhusika ni raia wa nchi uliyotoa passport.

..kuna watu wengi wamewahi kusafiri na passport za Tanzania wakati wao si raia wa Tanzania.

..kwa mfano, kuna kipindi Nelson Mandela, Thabo Mbeki, Yoweri Museveni, Raila Odinga, na wengine, walitumia passport za Tanzania kusafiri kwenda nchi mbalimbali.

..Passport sio Uraia.
Mkuu, salama lakini.

Ila hao wazee Hayati Mwalimu aliidhinisha wapewe diplomatic passport za dharura ndo wakawa wazitumia.

Hizo zaweza kurudishwa wakati wowote.

Hati za dharura uhamiaji wanazo.

Nchi karibu zote duniani wanazo.
 
Mkuu, salama lakini.

Ila hao wazee Hayati Mwalimu aliidhinisha wapewe diplomatic passport za dharura ndo wakawa wazitumia.

Hizo zaweza kurudishwa wakati wowote.

..salama mkuu.

..sikujua kwamba walipewa PASI ZA KIDIPLOMASIA / DIPLOMATIC PASSPORT.

..mimi nilidhani ni pasi za kawaida tu hizi tunazotumia hata walalahoi.
 
Ntaeleza kwa ufupi sana.

Yusuf Manji alikuwa na uraia wa Marekani na pia alibeba pasi ya kusafiria ya TZ. Hii ipo na sina haja ya kuilezea sana maana wengi wafanya hii kitu.

Hata Tundu Lissu nae ana pasi mbili ya Ubelgiji na ya Tanzania na abeba zote akisafiri.

Pili, baba yake Yusuf Manji Yusufali alikuwa ni raia wa Marekani ambako alienda kitambo sana na ana mali zake na familia yao karibu yote ipo huko na wali-settle sehemu ya Orlando Florida.

Huyo mtoto wake Mehbub nae huenda ana pasi mbili yaani ile ya Green Card na ya TZ ni kawaida kwani Green Card ni kwa permanent residency uraia wa kudumu.
Fahamu kwamba unaweza kupata passport ya kusafiria ya Marekani bila kuwa raia wa Marekani.
 
Wana hoja wahindi wengi sio wazalendo,wako huku kuchuma tu ila wana passport au nasaba ,mapenzi na nchi zingine,wahindi sio watu wa kuwaamini
Wanaotuibia na kutuuza kila siku kwa bei waitakayo wao ni raia wa nchi gani? Wana passport ya taifa gani?
Wananzengo tuamke. Tumekuwa mafala kupitiliza. Kuwa na passport mbili au tatu au nne havina uhusiano na uzalendo.
Tena Manji mwenye passport mbili au tatu inawezekana alisaidia watanzania wengi kuliko hawa wezi uchwara wanaoiba na kuficha pesa zetu kwenye mabenki huko nje.

Bottom line, passport zaidi ya moja ni kutafuta security na predictability kwenye daily life. Mara nyingi havina uhusiano na uzalendo.
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Ulikuwa na nafasi nzuri ya kutoa elimu ya uraia lkn haujafanya hivyo ukidhani elimu inatolewa darasini tu.Tz bado tunayo safari ndefu kweli kweli.
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Sasa kuliko kuponda tu mwanzo mwisho si ungetoa elimu hata kwa ufupi tu angalao ambao hawajui wajue
 
Mkuu hata waziri wa zamani wa fedha Habib Jamal alihamia Canada na akazikwa huko,yawezekana alikuwa na urai wa Canada pia.
Lakini sio wahindi tu,ni jambo pana sana.
Wengi wao wana uraia zaidi ya mmoja,.Ufike wakati uraia pacha uruhusiwe bila kificho,tuache kudanhanyana.
Ana hoja nzr asipuuzwe
 
Kwanza sio kweli kwamba huwezi kuzika raia wa nchi nyingine bila balozi wake kujulishwa, mtu wa nchi nyingine anaweza kuzikwa vizuri tu bila ubalozi wake kupata hata taarifa mradi kifo chake sio cha utata na post-mortem report ipo. Pia hakuna nchi yenye ubalozi au mahusiano ya kibalozi na nchi zote duniani.

Pili kama ubalozi umepata taarifa wewe utajuaje?? Balozi huwa zina taratibu za kutoa taarifa za vifo wa raia wanaofia kwenye nchi nyingine ikiwa aliyefariki anao ndugu, jamaa au rafiki katika hiyo nchi?

Tatu, hata kama ingekuwa ni utaratibu wa kimataifa kwamba kila raia wa nchi nyingine anayefia nchi tofauti na yake lazima ubalozi wake upewe taarifa hizo baasi hao wanaosema Manji sio raia wathibitishe kwamba wamepata taarifa kwamba ubalozi wa Tanzania huko Marekani haukupewa taarifa za kifo chake.
Mkuu umeshawahi kupata experience ya kuishi inje ya inchi?
Ukajifunza vitu..
Lazima uelewe kwamba binadamu sio mbuzi au mifugo kwamba unaweza ukajichukulia sheria unavyotaka.

Passport uliyonayo i ni identification kwamba wewe ni nani,,
Na unatokea wp?

So ni lazima ubalozi husika ujulishwe na maamuzi yafanyike kwamba mtu wako atapelekwa wp?

Ukiona mtu anazikwa popote kule elewa balozi imeridhia au ni raia wa hapo..
Wacha kushupaza shingo mkuu..

98% ya wahindi matajiri na waarabu sio raia wa Tanzania.
Wengi wana duo Citizens
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Kumleta Tanzania gharama ni kubwa
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Nimekuwa nikitafakari vp wasomali wana exposure kubwa sana duniani. Kwa mfano nimepata taarifa moja imeniimoress sana. Wasomali wamezaliwa tz, lkn kwasasa familia hiyo haipo tena tz. Wachache wako Zambia, watoto wengine wako uk, us, Canada na belgium.

Nikajiuliza kwanini nasi tusipigie hatua tuwafikia wao. Kinyume chake tuishi kwa kusubiri siku yetu ya kufa.

Tukubali kama vile akili ya walio wengi hawataki kurudi vijijini kwao na hiyari wabaki dar na kubangaiza na vibarua. Hivyo hivyo tukipata bahati kuondoka nje ya mipaka. Wengi watakataa kurudi tz. Dunia iko diverse jamani.

Gen Z inawahusu zaidi
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.

Kwani suala la mtu kuzikwa sehemu huangaliwa uraia, kama ni hivyo basi hizi sheria zilizo tungwa na binadamu za kijinga sana. Mtu akifa sehemu fulani azikwe huko huko, mambo ya kusafirisha maiti huonyesha ujinga wa watu.
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
We unadhani ccm wanatumia nguvu kubwa kutawala bongo
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
You nailed it mkuu..
Mimi nilibaki kusikitika.
Na inashangaza wengine nilipitia profile zao wamejiwekea wasifu bachelor.....
Ndio hii sample inayowakilisha watz wengi zaidi
 
Umetumia njia rahisi sana kutaka wewe pia ufundishwe kupitia comment maana hujui pia. Hakuna elimu ya bure
 
Sikusoma shule za kujazana ujinga za "Swahili medium". Kuandika na kusoma Kiswahili kwa kiwango kikubwa nimejifundisha hapa Jf
Ni kama Nyerere, alipokuja Dar ndiyo wazee wa Dar wakamfundisha Kiswahili.

Unalo?
Nyerere alipofika DSM kwanza hakuaa katika vijiwe vya jahawa, hakuambukizwa uvivu, uswahili na umwinyi, mambo ambayo mpaka leo ni mzigo uswahilini huku.

Nyerere alishuka toka Pugu kuwakomboa kwanza waswahili kwa kuishi pamoja nao Magomeni. With new radical thinking, waswahili WAKAMCHAGUA kuwaongoza!
Upo hapo?
 
Ok thanks for information hawa ngozi nyeupe wa kiarabu na kihindi wanachuma fedha africa wanazitumia africa ila wakifa wanaenda zikwa nje.
Wezangu na mimi weusi watachuma fedha africa au hata ulaya wataishi ulaya au marekani watawekeza ulaya au marekani ila wakifa wanakuja kuzikwa huku africa
Kuzikwa wapi haijalishi cha muhimu ukiwa hai uweze kutafuta pesa kwa ajili ya familia yako. Kuzikwa hata mwezini unaweza kupelekwa huko na kufukiwa iwapo pesa ya kufanya hivyo unayo.

Wahindi na waarabu ni wahangaikaji wa miaka na miaka wanalelewa wakifundishwa nidhamu za kimaisha ambazo sisi waafrika hatuna. Wanajua maana ya umoja ni nguvu sisi tunaishia kurogana na kuumizana wenyewe kwa wenyewe halafu akifa Manji tunahisi kupata muda wa kuwasimanga wahindi!.

Tubadilike kwanza sisi wenyewe.
 
Back
Top Bottom